Wako imekuwaje mbona unamficha mdogo wako unataka mdogo wangu ndiyo nimpe gbefa basi akitaka nitampa, ila hujakosea kabila letu wakina manka wanataka mtu anayejituma kutafuta pesaTanzania ndio, ila kaka mpe basi yule mdogo wako
Pesa ndo gbefa anatafuta ndo maana nikaweka na msisitizo wa kabila ili apambane kwanza. Mie ningempa ila ndo ivoo tenaa mie ndo kitindamimbaWako imekuwaje mbona unamficha mdogo wako unataka mdogo wangu ndiyo nimpe gbefa basi akitaka nitampa, ila hujakosea kabila letu wakina manka wanataka mtu anayejituma kutafuta pesa
Kitindamimba ehh mpo wangapiPesa ndo gbefa anatafuta ndo maana nikaweka na msisitizo wa kabila ili apambane kwanza. Mie ningempa ila ndo ivoo tenaa mie ndo kitindamimba
Wangapi ni wanneKitindamimba ehh mpo wangapi
Wanne ndo wewe?Wangapi ni wanne
Wewe wa 4g yani watoto wa mjini wanavyosemaWanne ndo wewe?
Wewe unajua kubahatisha kweeli, mie wanne pachaWanne ndo wewe?
Wanavyosema mie sipendiWewe wa 4g yani watoto wa mjini wanavyosema
Sipendi mtu ambaye hajipendiWanavyosema mie sipendi
Sipendi hata mimi wakikuudhiWanavyosema mie sipendi
Wakikuudhi ww niambie [emoji14]Sipendi hata mimi wakikuudhi
Nambie Aisha utawafanyajeWakikuudhi ww niambie [emoji14]
Wakikuudhi wasameheSipendi hata mimi wakikuudhi
Utawafanyaje zaidi ya vibokoNambie Aisha utawafanyaje
Wasemehe saba mara sabiniWakikuudhi wasamehe
Wasamehe saba la sabini,Wakikuudhi wasamehe
La sabini sio ni mara sabiniWasamehe saba la sabini,
Saba mara sabini hapo watakiwa uwe na moyo wa mifupaWasemehe saba mara sabini
Wasamehe saba mara sabini,