Wengine wanaroga mkuuchungu au tamu zote zinatokea katika ndoa sio mara zote lakini kutokana na hulka ya mwanadamu kutaka kupata vitu vinavyofurahisha pekee akidhani machungu ni kwa ajili ya wengine
Wengine wanaroga mkuu
Mkuu wa mashetani alikuwa Lucifer
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi hapa duniani si nyingiTamaa mbele mauti nyuma ni msemo uliotumiwa na wazee wetu wa zamani lakini kwa sasa hauna maana maana tamaa ndio kipaumbele cha mwanadamu
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi hapa duniani si nyingi
Hatuna budi kumushukuru mwenyezi MUNGU kwa kila Jambo maana hatujui siku wala saa. Amen.
Amen mpendwa Blaki WomaniAmen mpendwa kwa maneno muruwa kutoka kwenye kitabu kitakatifu
Amen mpendwa Blaki Womani
Naomba kuchukua fursa hii kukukaribisha nyumbani tusherekee sikukuu hizi zijazo popote pale ulipo /utakapokuwepo.
Nipo Rock City (Mwanza)mitaa ya Mecko huku.utakapokuwepo nipe location nitakutafuta kwa udi na uvumba
udi na uvumba yani ni lazima umpate popote paleutakapokuwepo nipe location nitakutafuta kwa udi na uvumba
Pale nilipo mimi wala siyo pambaya sana maana napata kila kitu.udi na uvumba yani ni lazima umpate popote pale
Kitu kibaya kikitokea lazima upate isharaPale nilipo mimi wala siyo pambaya sana maana napata kila kitu.
Ishara ya kusema umesikia utamu ume enjoy ni ipiKitu kibaya kikitokea lazima upate ishara
Ipi ni dalili ya zikaIshara ya kusema umesikia utamu ume enjoy ni ipi
Zika can be passed from a pregnant woman to her fetus. Infection during pregnancy can cause certain birth defects upo hapo, ni wa kuogopa kabisa zika virusIpi ni dalili ya zika
Zika ukitaka nikuchambulie this virus uta enjoy kupata elimu yake ila unakwepesha majibu sana juu ya maswali nayokuulizaIpi ni dalili ya zika
Nayokuuliza Na unayoniuliza n mambo mengine haya uliza kuanzia Sasa unaotaka kujibiwaZika ukitaka nikuchambulie this virus uta enjoy kupata elimu yake ila unakwepesha majibu sana juu ya maswali nayokuuliza
Kujibiwa maswali hapo ndiyo haswa napataka, jana hujasema ni nini kilichokukuta, kuna watu huwa hatupendi kuona furaha ya mtu inatoweshwa hebu sema ili tuunde tumeNayokuuliza Na unayoniuliza n mambo mengine haya uliza kuanzia Sasa unaotaka kujibiwa
Tume isiundwe Kwa Sababu nilishamsameheKujibiwa maswali hapo ndiyo haswa napataka, jana hujasema ni nini kilichokukuta, kuna watu huwa hatupendi kuona furaha ya mtu inatoweshwa hebu sema ili tuunde tume