afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,211
HAPO PEUSI TII... Umegonga penyewe.
Kwa mwanzisha mada, wanawake kudanganywa kimapenzi, hakuna tofauti na wanaume wanavyodanganywa na waganga wa kienyeji.
Ni kiasi cha kucheza na saikoloji ya " mteja" kujua angependa kusikia nini kisha unampa ile kitu roho inataka.
Mwaume unapoambiwa kaleta kiungo cha albino nawe unaenda kuleta..ina maana akili yako haioni kuwa hakuna uhusiano wowte kati ya kiungo cha binadamu na cheo au utajiri? Wengine ni wasomi wazuri tena wa baiolojia na kemia na bado hawawezi kuona ukweli!
mmhh kwa kweli labda unaongelea watoto wa shule za sec..
kwa sisi tuliodanganywa mpaka hakuna..
sasa hivi hatuangaali mwanaume mara mbili
ndoo maana tuko single mpaka leo..a kazi zetu
ku keep busy..
kwa sababu unaona wanaume wote waongo..