KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nasikia akina mama wote duniani hawajui kutofautisha ukweli na uongo hasa pale anapokuwa anatongozwa!!hata angekuwa ba PhD!anaweza akatongozwa na mubeba kago shimoni kariakoo kwa uongo mdogo!jamani naomba mnidhirishie kwakujikumbusha ulivyotongozwa na mwanandani wako jinsi alivyokupiga kamba ukajikuta umedondokea pua!