W J Malecela kwa hili la wizi na kutokuwajibika kwa mawaziri ungekuwa upande gani?

- CAG ni wakaguzi wa mhesabu sio wanasheria, ni simply Common Sense wala huhitaji PhD kuelewa hilo!, Crime huwa inakuwa established na DPP! au hata kamati ya Sheria ya bunge, lakini sio CAG!


William.

Dah! Aise kweli kukaa nje ya nchi unapoteza vingi. Kwa taarifa yako kwenye Ofisi ya CAG kuna wataalamu wa fani mbalimbali ili kuwezesha Kaguzi za kila aina. Nina best yangu kabisa yupo pale yeye ni Socialogist. Kuna Wanasheria wapo pale kwa ajili ya kufanya Audit of Contracts. Kuna Engeeneers wapo pale kwa ajili ya kufanya kaguzi za Value for Money katika Ujenzi wa Majengo, Barabara nk. Pia kuna Wahasibu uliowataja ambao kazi yao ni kuhakikisha sheria ya Fedha na kanuni zake zinafuatwa kwenye matumizi ya Serikali. Kuna Procurement Specialist wameajiriwa kwa ajili ya kuangalia kama Procurement Act and it's regulation inafuatwa.

Ni jambo la kusikitisha sana unaundermine uwezo wa Ofisi ya CAG. Anyway ni kutokujua! Lakini napenda nikwambie kwamba Auditing ya siku hizi siyo kama ya zamani ambayo ilikuwa Financial based audit. Siku hizi Audit ime-extend hadi kwenye Perfomance na Value for Value. Kwa hiyo huwezi kuacess vitu kama hivyo kwa kuwategemea Wakaguzi wa Hesabu tu. Pole sana!
 
We William, kwa kusoma majibu yako machache unaonekana ni mchumia tumbo na mwenye uvivu wa kufikiri...et LEGAL facts?We mzima kweli?Sheria bila namba itakusaidia nini, ishu hapa ni fedha za wavuja jasho zmethbika kuliwa na'mabwana' zako na miradi ya maendeleo haijatekelezwa...thats all!

Sheria ngap mbovu mnazkumbatia na magamba wenzako zinafutwa kila leo na nyngne mpya znatungwa?Ur just a TABULA RASA na point zako hazi-hold water!Now nmejua kwa nin bungen last time uliongea matakataka......
 
Asante kwa ufafanuz MDAU,
Dah! Aise kweli kukaa nje ya nchi unapoteza vingi. Kwa taarifa yako kwenye Ofisi ya CAG kuna wataalamu wa fani mbalimbali ili kuwezesha Kaguzi za kila aina. Nina best yangu kabisa yupo pale yeye ni Socialogist. Kuna Wanasheria wapo pale kwa ajili ya kufanya Audit of Contracts. Kuna Engeeneers wapo pale kwa ajili ya kufanya kaguzi za Value for Money katika Ujenzi wa Majengo, Barabara nk. Pia kuna Wahasibu uliowataja ambao kazi yao ni kuhakikisha sheria ya Fedha na kanuni zake zinafuatwa kwenye matumizi ya Serikali. Kuna Procurement Specialist wameajiriwa kwa ajili ya kuangalia kama Procurement Act and it's regulation inafuatwa.

Ni jambo la kusikitisha sana unaundermine uwezo wa Ofisi ya CAG. Anyway ni kutokujua! Lakini napenda nikwambie kwamba Auditing ya siku hizi siyo kama ya zamani ambayo ilikuwa Financial based audit. Siku hizi Audit ime-extend hadi kwenye Perfomance na Value for Value. Kwa hiyo huwezi kuacess vitu kama hivyo kwa kuwategemea Wakaguzi wa Hesabu tu. Pole sana!
 
Siwezi kuamini lisemwalo linatoka katika kinywa cha William Malecela. Ungeishi Tanzania tu ningeelewa. Lakini uzoefu wa kuishi nchi za nje na ambazo zina upeo wa hali ya juu katika uwajibikaji kwa watumishi wa umma halafu unakuja na utetezi dhaifu kama huu naweza kukuambia labda ulimi wako umeteleza au unajenga hoja ya watu wazidi kukudadafula tu.

Fact namba moja hapa kwa mawaziri ni uwajibikaji kutokana na ukweli kwamba wao ndio vichwa katika wizara zao, na wanawajibika kusimamia ipasavyo. Sasa kama wameshindwa kusimamia wizara na hivyo kusababisha hasara kubwa serikalini hata kama uzembe huo umesababishwa na walio chini yao ni kosa la msimamizi mkuu katika wizara yake ambaye ni waziri na anapaswa kuwajibika.

- Hata siku moja siwezi kukubali ishu serious kama ya CAG kuonyesha tatizo kwenye hesabu ya wizara, iishie kwenye Waziri Kujiuzulu, ningependa Waziri aende mahakamani, kudaai signature za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, ni kutoa mwanya kwa mawaziri wezi kuishis kujiuzulu tu, labda kungekwua na Signatures za kuitaka ripoti ya CAG, ipelekwe moja kwa moja kwa DPP, au kamati ya sheria ili mawaziri waliohusika wafike kwenye Sheria kwanza!

- Kulilia uwajibikaji baada tu ya ripoti ya CAG kuwekwa wazi ni kuwapa mawaziri mwanya wa kujiuzulu, infact inawapa hata mwanya wa ku-negotiate nao on what needs to be done, that is noe the right way, the right way ni kuwapa nguvu za kisheria CAG za kuwaunganisha na DPP.

- I mean ni commonsense zaidi, CAG wanagundua kuna uatata kwenye mahesabu ya wizara, inawarifu TAKUKURU au DPP na kamati ya Sheria ya bunge, Waziri anasimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa kisheria, and then uamuzi unatolewa either afikishwe mahakamani au la! lakini ripoti ya CAG kuishia kwenye makelele ya kisiasa na kuwapa mwanya wa kujiuzulu tu, sio msimamo wangu hata siku moja!


William.
 
Willie, laiti ungejua kwa nini hapo nyuma kidogo watanzania walishinikiza CAG apewe meno ndio ungeelewa kwa nini leo report yake ina impact kubwa katika kuwawajibisha watendaji wabovu.

Unataka report ipi ya kisheria? Kwani huelewi hata mahesabu, statistics, hata maongezi hutumika kama evidence na zipo admissible? Kwa maana hiyo kama CAG humuamini, kamati ya bunge huiamini then unataka umuamini nani? Utasema tume huru, sasa hiyo inakuwa tunaprolong mambo unnecessarily.

Kama CAG kapewa mamlaka kisheria na the last resort ni bunge then we mbunge part of bunge useme unahitaji facts za kisheria zaidi that is ridiculous my friend. Ile ni evidence tosha sanasana ungesema utawaconsult accounting experts ili wakufafanulie ujue ukweli wa mahesabu hayo, lakini hiyo pia itakuwa absurdity kwa sababu CAG tayari ni sehemu ya mhimili tena tulimuongezea uwezo kisheria kwa malengo haya na wa kuwajibisha ni bunge then mahakama.

Wazo la kurudi kwa wananchi ni zuri tu lakini sina uhakika kama wabunge hufanya hivyo ila sio vibaya.

All the best.
 
- Kwanza ningedai FACTS, so far sijaziona zote na very clear of what happened and what did not happen, with FACTS at hand kwanza ningerudi jimboni kwangu kuwafahamisha wananchi FACTS za kilichotokea na kuwauliza nini msimamo wao kwanza, maana ni wao ndio ninaowawakilisha kule Bungeni!

- Unajua unapomtuhumu Waziri wizi ni lazima kuwepo na Legal Facts, kwa sababu muhimu hapo ni historia ya mbele ya safari, unajenga utamaduni wa kujali sheria, kwa hiyo unatakiwa umakini sana kwenye conclusion kwamba kweli ni wezi, siamini kuwa kama FACTS zipo clear, kuna kiongozi yoyote bungeni angeshindwa kusaini!


William.


Huyu ndiye aliyetaka ridhaa ya kura za wabunge wetu kutuwakilisha bunge la East Afrika, sasa kwa mtazamo kama huu ambao hata ile tunaita common sense tu inateleza, tungewakilishwa na mtu wa aina gani?
 
Dah! Aise kweli kukaa nje ya nchi unapoteza vingi. Kwa taarifa yako kwenye Ofisi ya CAG kuna wataalamu wa fani mbalimbali ili kuwezesha Kaguzi za kila aina. Nina best yangu kabisa yupo pale yeye ni Socialogist. Kuna Wanasheria wapo pale kwa ajili ya kufanya Audit of Contracts. Kuna Engeeneers wapo pale kwa ajili ya kufanya kaguzi za Value for Money katika Ujenzi wa Majengo, Barabara nk. Pia kuna Wahasibu uliowataja ambao kazi yao ni kuhakikisha sheria ya Fedha na kanuni zake zinafuatwa kwenye matumizi ya Serikali. Kuna Procurement Specialist wameajiriwa kwa ajili ya kuangalia kama Procurement Act and it's regulation inafuatwa.

Ni jambo la kusikitisha sana unaundermine uwezo wa Ofisi ya CAG. Anyway ni kutokujua! Lakini napenda nikwambie kwamba Auditing ya siku hizi siyo kama ya zamani ambayo ilikuwa Financial based audit. Siku hizi Audit ime-extend hadi kwenye Perfomance na Value for Value. Kwa hiyo huwezi kuacess vitu kama hivyo kwa kuwategemea Wakaguzi wa Hesabu tu. Pole sana!

- Kama unayoyasema ni kweli, basi hao mawaziri sasa hivi walitakiwa wawe mahakamani sio ku-negotiate nao kama wajiuzulu au hapana kama inavyofanyika sasa hivi, kubali kwamba hatuna vipengele vya sheria vinavyotakiwa kuiunganisha CAG na Prosecutors, kwamba kama wamegundua wizi wanatakiwa kufanya kazi kwa pamoja na Sheria, tusingekwua na haya matatizo tuliyonayo sasa ya kusubiri Waziri Mkuu, au kokus ya CCM, wala Rais, sasa hivi tungekwua tunaelekea mahakamani, ndio siasa za kisasa mkuu wangu!

William.
 
- Hata siku moja siwezi kukubali ishu serious kama ya CAG kuonyesha tatizo kwenye hesabu ya wizara, iishie kwenye Waziri Kujiuzulu, ningependa Waziri aende mahakamani, kudaai signature za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, ni kutoa mwanya kwa mawaziri wezi kuishis kujiuzulu tu, labda kungekwua na Signatures za kuitaka ripoti ya CAG, ipelekwe moja kwa moja kwa DPP, au kamati ya sheria ili mawaziri waliohusika wafike kwenye Sheria kwanza!

- Kulilia uwajibikaji baada tu ya ripoti ya CAG kuwekwa wazi ni kuwapa mawaziri mwanya wa kujiuzulu, infact inawapa hata mwanya wa ku-negotiate nao on what needs to be done, that is noe the right way, the right way ni kuwapa nguvu za kisheria CAG za kuwaunganisha na DPP.

- I mean ni commonsense zaidi, CAG wanagundua kuna uatata kwenye mahesabu ya wizara, inawarifu TAKUKURU au DPP na kamati ya Sheria ya bunge, Waziri anasimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa kisheria, and then uamuzi unatolewa either afikishwe mahakamani au la! lakini ripoti ya CAG kuishia kwenye makelele ya kisiasa na kuwapa mwanya wa kujiuzulu tu, sio msimamo wangu hata siku moja!


William.

CAG hana uwezo wa kuwasiliana na DPP, sheria inambana ndo maana anamaliza report anakabidhi kwa mkulu then bungeni, unadhani pakoje hapo? Tumpe uwezo wa kupeleka mahakamani ndo watu watatia adabu.
 
william je unatambua kitu kinaitwa ministerial responsibility?na je mawaziri wetu wanafanya nini?uhalifu wa mtu huwa unathibitishwa mahakamani na si kwingineko na ndio maana kuna kushinda kesi na kushindwa umesha wai kujiuliza n kwa nini mtu anashinda kesi au anashindwa?
 
Kwa kufuatilia hii mada naona kuna tofauti ndogo sana katika kiwango cha kupitia mada na kutoa maamuzi kati ya huyu W. J. Malecela na huyu aliyeko tayari jimboni Mtera yaani Lusinde aka Kibajaji. Afadhali hata Kibajaji bila kusubiri hayo mambo ya legal facts alitoa hisia zake kuwa amechukizwa na huo wizi ingawa naye alikuja kutoweka kiaina kukwepa kuweka saini. Kati ya W. J. Malecela na Lusinde aka Kibajaji, afadhali ya Lusinde!!!
 
Honestly W.J unajichanganya,
wewe maelezo yako yanaonesha kuwa usingefanya chochote,hata mchango wa maandish usingetoa lyk Kigwangala

- Hapana kwangu the ishu ni sheria, kama mawaziri ni wezi kuwepo na njia ya moja kwa moja ya kuwafikisha kwenye Sheria bila ku-negotiate nao kama tunavyofanya sasa, sio modern politics hizo mkuu wangu! Nchi zote zilizoendelea Duniani hao mawaziri sasa hivi wangekwua kwenye sheria sio kwenye makelele ya siasa!

William.
 
Kwa kufuatilia hii mada naona kuna tofauti ndogo sana katika kiwango cha kupitia mada na kutoa maamuzi kati ya huyu W. J. Malecela na huyu aliyeko tayari jimboni Mtera yaani Lusinde aka Kibajaji. Afadhali hata Kibajaji bila kusubiri hayo mambo ya legal facts alitoa hisia zake kuwa amechukizwa na huo wizi ingawa naye alikuja kutoweka kiaina kukwepa kuweka saini. Kati ya W. J. Malecela na Lusinde aka Kibajaji, afadhali ya Lusinde!!!

- Ishu ya kumuita Waziri wa jamhuri mwizi siwezi kukurupuka nayo bila legal facts, kwa sababu in the process unajenga utamaduni wa mawaziri na viongozi kuwajibika kisheria, ndio maana ninalilia Sheria zaidi kuliko siasa za kujizulu! ha! ha! ha!

- huwa ninaogopa sana siasa za majina maana hazina anything productive kwa the future on our nation!, tulilie our future kwenye new sound policies kuliko majina zaidi!

William.
 
- Hata siku moja siwezi kukubali ishu serious kama ya CAG kuonyesha tatizo kwenye hesabu ya wizara, iishie kwenye Waziri Kujiuzulu, ningependa Waziri aende mahakamani, kudaai signature za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, ni kutoa mwanya kwa mawaziri wezi kuishis kujiuzulu tu, labda kungekwua na Signatures za kuitaka ripoti ya CAG, ipelekwe moja kwa moja kwa DPP, au kamati ya sheria ili mawaziri waliohusika wafike kwenye Sheria kwanza!

- Kulilia uwajibikaji baada tu ya ripoti ya CAG kuwekwa wazi ni kuwapa mawaziri mwanya wa kujiuzulu, infact inawapa hata mwanya wa ku-negotiate nao on what needs to be done, that is noe the right way, the right way ni kuwapa nguvu za kisheria CAG za kuwaunganisha na DPP.

- I mean ni commonsense zaidi, CAG wanagundua kuna uatata kwenye mahesabu ya wizara, inawarifu TAKUKURU au DPP na kamati ya Sheria ya bunge, Waziri anasimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa kisheria, and then uamuzi unatolewa either afikishwe mahakamani au la! lakini ripoti ya CAG kuishia kwenye makelele ya kisiasa na kuwapa mwanya wa kujiuzulu tu, sio msimamo wangu hata siku moja!


William.

Awamu ya kwanza ya utawala Tanzania, waziri mmoja ambaye nakumbuka aliwajibishwa kutokana na uzembe kama huo alifukuzwa uwaziri mkukumkuku ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi ambaye kwa jina alijulikana kana Waziri Mwingira. Ilitokea kashfa kubwa ya Kununua dege kubwa Boing 747, dege hilo liliweza kuruka toka huko lilikonunuliwa na kutua Uwanjani Tanzania ndo ikawa mwisho wa habari, ndege hiyo haikufanya kazi na ikawa upotevu wa hali ya juu wa fedha za taifa. Ilipobainika kuwa Waziri huyo ndiye aliyeruhusu ununuzi wa ndege hiyo, hawakuangalia kwamba wahusika wakuu ni walio chini yake serikali ilimwajibisha moja kwa moja bila kumtazama usoni.

Mrema akiwa Naibu Waziri Mkuu kipindi cha mwinyi kutokana na kutokuwa na ushirikiano wa karibu na mawaziri wenzake, nadhani wengi isue hii wanaijua, Mwinyi alimwachisha moja kwa moja bila ila wala waa.

Uwajibikaji aina hii uliwaogopesha wengi enzi hizo na kuwafanya wawe waangalifu katika utendaji na usimamizi katika wizara zao.
 
william je unatambua kitu kinaitwa ministerial responsibility?na je mawaziri wetu wanafanya nini?uhalifu wa mtu huwa unathibitishwa mahakamani na si kwingineko na ndio maana kuna kushinda kesi na kushindwa umesha wai kujiuliza n kwa nini mtu anashinda kesi au anashindwa?

- Mkuu please read my lips, tunatka sheria sio anything else or less, Sheria kwanza!, kama kuna Waziri mwizi anatakiwa kwenda kwenye sheria sio kujiuzulu tu!

William.
 
- Kama unayoyasema ni kweli, basi hao mawaziri sasa hivi walitakiwa wawe mahakamani sio ku-negotiate nao kama wajiuzulu au hapana kama inavyofanyika sasa hivi.

William.

Huo ndio ukweli Ndugu yangu. Pale kwa CAG kuna watalaam wengi zaidi wa Mahesabu. Ukipata muda mtembelee Utouh akupe zaidi Info. Serikali ya CCM walifanya makusudi kutoipa uwezo wa kushtaki Ofisi ya CAG maana wanajua wao ndio wangekuwa Victims wa Kwanza.
 
Wiliam, kama hueleweki vle....mbona kama 'vuguvugu'?Jaribu kuwa moto ama baridi...baada ya kupata ufafanuzi wa yote uliyokua umeenda 'chaka', kurudi kwa wananchi ni 'pumba', legal facts una lisaa tu kuztafuta BUT mbele yako una report ya CAG na karatasi la 'kamanda Zitto! Now, rudi kwenye swali then tupe jibu...
 
Awamu ya kwanza ya utawala Tanzania, waziri mmoja ambaye nakumbuka aliwajibishwa kutokana na uzembe kama huo alifukuzwa uwaziri mkukumkuku ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi ambaye kwa jina alijulikana kana Waziri Mwingira. Ilitokea kashfa kubwa ya Kununua dege kubwa Boing 747, dege hilo liliweza kuruka toka huko lilikonunuliwa na kutua Uwanjani Tanzania ndo ikawa mwisho wa habari, ndege hiyo haikufanya kazi na ikawa upotevu wa hali ya juu wa fedha za taifa. Ilipobainika kuwa Waziri huyo ndiye aliyeruhusu ununuzi wa ndege hiyo, hawakuangalia kwamba wahusika wakuu ni walio chini yake serikali ilimwajibisha moja kwa moja bila kumtazama usoni.

Mrema akiwa Naibu Waziri Mkuu kipindi cha mwinyi kutokana na kutokuwa na ushirikiano wa karibu na mawaziri wenzake, nadhani wengi isue hii wanaijua, Mwinyi alimwachisha moja kwa moja bila ila wala waa.

Uwajibikaji aina hii uliwaogopesha wengi enzi hizo na kuwafanya wawe waangalifu katika utendaji na usimamizi katika wizara zao.

- Hizi ni siasa at best, mkuu kwenye modern politics tunataka Sheria, kama unayosema ni kweli mbona leo tuna ATC ambayo haina ndege? I mean Sheria kwanza mkuu siasa pembeni!

William.
 
Wiliam, kama hueleweki vle....mbona kama 'vuguvugu'?Jaribu kuwa moto ama baridi...baada ya kupata ufafanuzi wa yote uliyokua umeenda 'chaka', kurudi kwa wananchi ni 'pumba', legal facts una lisaa tu kuztafuta BUT mbele yako una report ya CAG na karatasi la 'kamanda Zitto! Now, rudi kwenye swali then tupe jibu...

- Nina heshima sana na uwezo wa Mbunge Zitto, HOWEVER; kwenye hii ishu msimamo wangu ni nataka Sheria ichukue mkondo sio kujiuzulu tu!


William.
 
- Kama unayoyasema ni kweli, basi hao mawaziri sasa hivi walitakiwa wawe mahakamani sio ku-negotiate nao kama wajiuzulu au hapana kama inavyofanyika sasa hivi, kubali kwamba hatuna vipengele vya sheria vinavyotakiwa kuiunganisha CAG na Prosecutors, kwamba kama wamegundua wizi wanatakiwa kufanya kazi kwa pamoja na Sheria, tusingekwua na haya matatizo tuliyonayo sasa ya kusubiri Waziri Mkuu, au kokus ya CCM, wala Rais, sasa hivi tungekwua tunaelekea mahakamani, ndio siasa za kisasa mkuu wangu!

William.

CAG amefanya jitihada kubwa mno, na laiti angepewa makucha zaidi ya kuwafikicha wahusika mahakamani muda mrefu angekuwa ameshasafisha safu ya uongozi kwa kiasi fulani. Utaratibu wa kuweka wizara nyeti zote chini ya Office ya Rais kwa tafsiri ni kwamba office ya raisi imeweka rasimu ya kuwalinda wahujumu uchumi nchini.

CAG kwa dhamiri alipoona mambo yanazidi kuharibika bila hatua kuchukuliwa ndipo alipoamua kugeukia kwenye mhimili wa Bunge kuokoa jahazi. CAG imejitahidi kuokoa jahazi so far.

 
Back
Top Bottom