William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Huo ndio ukweli Ndugu yangu. Pale kwa CAG kuna watalaam wengi zaidi wa Mahesabu. Ukipata muda mtembelee Utouh akupe zaidi Info. Serikali ya CCM walifanya makusudi kutoipa uwezo wa kushtaki Ofisi ya CAG maana wanajua wao ndio wangekuwa Victims wa Kwanza.
- Finally, you see my point, saafi sana kwamba sasa unanielwewa kwamba bila Sheria, tunakuwa tunatwanga maji tu kwenye kinu! Mawaziri watuhumiwa watishia kujiuzulu tu sasa tutakuwa tumelisaidia ni nini taifa la kesho?
William.