William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Umemwelewa mtoa mada? huko kote unako ongelea mimi sina shida napo,swali langu kwako ni kwamba umemwelewa mtoa mada?
maana hii itakusaidia hata wewe mbeleni kuwa,unapokuwa umeulizwa swali ni vyema ukajikita ktk jibu la swali husika pasi kurefusha jibu na kutoka nje ya mada
- Again read my lips, hata siku moja siwezi kusaini karatasi ya kumpa Waziri anayetuhumiwa wizi nafasi ya kujiuzulu, ningeshauriana na Mh. Zitto, kwenda ambele zaidi kwa kudai wafikishwe kwenye Sheria,
- Nisingeweza kusaini karatasi ya kuwapa mwanya wa kujiuzulu tu! ni utamaduni mbovu sana kwa the future ya taifa letu!
William.