Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

mshana jr
LEO NI SIKU KUBWA SANA!
NI CHRISTMAS ILIYOANGUKIA KATIKA FULL MOON,
MARA YA MWISHO CHRISTMAS KUANGUKIA KATIKA FULL MOON NI MWAKA 1977,JE MWAKA HUO NI NINI KILITOKEA TANZANIA?
TUTARAJIE TENA CHRISTMAS YENYE FULL MOON MWAKA 2034 MAJALIWA KAMA TUTAKUWEPO!
ii
 
Last edited by a moderator:
mshana jr
LEO NI SIKU KUBWA SANA!
NI CHRISTMAS ILIYOANGUKIA KATIKA FULL MOON,
MARA YA MWISHO CHRISTMAS KUANGUKIA KATIKA FULL MOON NI MWAKA 1977,JE MWAKA HUO NI NINI KILITOKEA TANZANIA?
TUTARAJIE TENA CHRISTMAS YENYE FULL MOON MWAKA 2034 MAJALIWA KAMA TUTAKUWEPO!
ii

Tuombeane uzima na afya tele tuweze kuiona tena siku hiyo
 
Last edited by a moderator:
Hakuna uchawi mzuri , uchawi wa aina yeyote ni mbaya ndio maana wachawi wote siku ya hukumu wataenda kwenye jehanamu ya moto
 
Hicho ni kipande tu cha karatasi kilicho baki tena baada ya kutafunwa na mbuzi... Sijui kama kina haruta na maruta wangeacha lile book zima ingekuwaje ... Watu wasingefanya kazi
 
Preta hii tufanye next week ili ikamilike vizuri, tukumbushane nikisahau
Ikiwahi Itakuwa kesho kule MMU

Mkuu huko utakakoiweka kama sikwenye huu uzi basi usiache kuniita huko....
 
Last edited by a moderator:
Acha kupotosha watu ww.. hivi mtu unakua kama huna dini hadi uamini ushirikina?... MUNGU pekee (ALLAH) ndo muweza wa kila kitu.. NOTHING can ever happen without his will.. hata uende kwa mganga gani au chuo gani huwezi kufanya kitu ambacho yeye hataki kifanyike. Mfano. Mwanamke hapati mtoto alaf anataka kwenda kwa mganga ili apate. Seriously? Hivi huyo mganga ndo anaweza umba kiumbe? Hivi huyo mganga yeye hakuzaliwa kutoka tumboni mwa mwanamke? Hivi yeye anauwezo wa kubadili alichokupangia Mungu?(Qadar) .. tuacheni udwanzi wa kifikra jamany. Tuamkeni.
 
Acha kupotosha watu ww.. hivi mtu unakua kama huna dini hadi uamini ushirikina?... MUNGU pekee (ALLAH) ndo muweza wa kila kitu.. NOTHING can ever happen without his will.. hata uende kwa mganga gani au chuo gani huwezi kufanya kitu ambacho yeye hataki kifanyike. Mfano. Mwanamke hapati mtoto alaf anataka kwenda kwa mganga ili apate. Seriously? Hivi huyo mganga ndo anaweza umba kiumbe? Hivi huyo mganga yeye hakuzaliwa kutoka tumboni mwa mwanamke? Hivi yeye anauwezo wa kubadili alichokupangia Mungu?(Qadar) .. tuacheni udwanzi wa kifikra jamany. Tuamkeni.

View attachment 312917 soma kwa makini uelewe huu ujumbe ili next time usidandie gari kwa mbele kama unatoka kufumaniwa ni hatari sana
 
Niliwah msikia msomali mmoja aliyeokoka akisema, elimu ya juu zaid ya uchawi duniani inapatikana Lebanon, kuna chuo maalum kwa ajili hiyo. Mtafute youtube anaitwa Adam Haji
 
Niliwah msikia msomali mmoja aliyeokoka akisema, elimu ya juu zaid ya uchawi duniani inapatikana Lebanon, kuna chuo maalum kwa ajili hiyo. Mtafute youtube anaitwa Adam Haji

Yaaah....huyu Msomali Ameokoka alisomea Sheria huko......Anayajua sana hayo mambo
 
Back
Top Bottom