ili wazungu waweze kututawala ni kuhakikisha wanatokomeza tamaduni na mila zetu na mila kitu chetu na kutuletea vya kwao
Zamani babu zetu waliomba mvua kwa mila zao na mvua zilinyesha.
Babu zetu waliomba kwa mila zao na mabalaa yaliondoka.Babu zetu walikuwa na technology zao mbalimbali na walifanikiwa.
Babu zetu kwa kila jamii flani walikuwa na wakuu wao waliomba kupitia wao na ujumbe ulifika kwa mwenyezi mungu
Leo tunaomba mvua kupitia mila za kigeni mvua hainyeshi.
Leo tunatumia technology za kigeni kwa 100% na hatujafanikiwa.
Leo kila jamii inaomba kupitia wakuu wa kigeni mfn mt Joseph,mt ibrahimu hawa sisi hawatujuwi na wala hatuna ukoo nao inapotokea wewe msukuma unaomba kupitia Joseph au Ibrahim na kwa wakati huo huo muisrael naye anaomba kupotia hao hao wapeleke ujumbe kwa mwenyezi mungu hivi ujumbe upi utaanza kupelekwa jibu ni was muisrael coz ni wataifa lake ila kama msukuma angeomba kupitia mwanamalundi huyu angemtetea kwa mungu na kumlilia coz ni wataifa lake au mchagga angeomba kwa mangimeli mangimeli angempigania coz huyu ni mwanae
Leo wazungu,waarabu wametuaminisha ili uwe muislamu lazima uwe na jina la said,khamis,maimuna nk wakristo uwe najina la kiyahudi na kizungu km yohana,Mary nk
haya Yakima swai,maduhu,chaula,kibasila,shemuhonga,mwakitwange,chacha,kapinga,kamgisha,wazungu,waarabu,wayahudi wakayaita ni majina ya kipagani
Nitajie mchina mmoja anayeitwa Joseph,said,mary,nk kama hakuna ndipo utajuwa kwanini Leo wachina ni taifa lenye uchumi mkubwa na technology duniani
Ndp utajuwa kwanini leo tunaona dawa za kiasili za kichina zinatamba duniani.
Jiulize kwanini dawa zetu leo za asili zinauzwa bei ghali pengine kuzidi za kisasa
Jiulize wazungu waarabu walifuata nini kwa mzee was kikombe kama vyakwetu nivyakipuuzi
Sisi kamwe tutakuwa watumwa wao tu coz tumeua vyakwetu tukatukuza vya kwao