Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Ni vipi wewe uliamua kujifunza elimu hiyo angali unajua sote tumeumbwa na Mungu na ni lazima Tufanye mrejesho kwake kwa kuzishika,kuzifwata na kuziishi Sheria na Kanuni zake.
Huoni kama upo nje ya mstari?

Hapana katika ni maisha ni lazima ujue kila ukifanyacho lakini kuwa makini sana usifanye kila ukijuacho
Usiunyime ufahahamu wako elimu kwakuwa elimu haina mwisho lakini mwisho wa siku angalia ni kipi cha manufaa kwako na hakina madhara kwako na kwa wengine hiki kifuate
 
Mkuu vipi kuhusu admission kama unaweza kunipa maelezo ya ziada fees n.k
 
Uchawi ni kama moto au kama gesi au kama gari nk inategemea unakitumiaje... Ukitumia vibaya utapata madhara Ukitumia vizuri utapata faida... Ni kama bhangi tu sio mbaya kama vile tunavyoaminishwa... It's a kind of brainwashing

Mtazamo wangu:
Uchawi wenye kuokoa maisha, uchawi wenye kutibu uchawi wenye manufaa uchawi usio na madhara kwa wengine huo naupenda... Kinyume na hapo hapana

Mshana nafuatilia comments zako. Nakuelewa!
 
Econometrician! Mkuu angalia vizuri,bendera ya Israel ina pembe sita,hizo nyingine ni tano.
 
Econometrician! Mkuu angalia vizuri,bendera ya Israel ina pembe sita,hizo nyingine ni tano.

Sahihi kabisa ni hexagon 1451042956187.jpg
 
Mshana Jr katika ubora wake.mkuu wewe ulihitimu wapi?
 
sasa akupe habari gani tena wakati wewe ndo umetuletea na unapajua???

Sikufika kwenye hicho chuo nilivyofanya mimi ni kuweka vyuo husika hii haimaanishi kuwa nimepita kote huko
 
Last edited by a moderator:
Imeshatangulia Kwangu Elimu Ya Mungu, Hivyo Elimu Ya Uchawi Na Menineyo Hayana Mantiki Kwangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom