Kwa taarifa yako hao ndio wateja wetu wakuu
Msata makaburini
hahahah jibu zuri sana hili...hivi lini jaman tutaenda ile safari ya makaburini? mwaka ndo umeisha hivooSiku wateja watakapokwisha
Hapana sidhani Kama Kuna hiyo Taaluma, nijuavyo mimi yale manyota ni elimu tu ya kiza pamoja na majiniMkuu @mshana jr nataka kujua namna Mchawi anavyong'oa Nyota ya MTU nakuipachika kwenye Simbols... kama yale maPETE wanayovaaga wafanyabiashara wakubwa na wanaSIASA ile inafanyikaje?
Hapana sidhani Kama Kuna hiyo Taaluma, nijuavyo mimi yale manyota ni elimu tu ya kiza pamoja na majini
Zile pete si zote zinahusika na nyota nyingine ni mambo ya kishirikina uchawi na majini ila wengi huzuga kwa kusema ni pete za bahati, Pete za nyotaHa ha haaa....mkuu ndio nataka kujua hiyo Taaluma ya Nyota ikiwa unaielewa vzr...maana mtu anavaa liPETE kuubwaa....duh.....
Nadhani alifariki huyu bingwa.Mtafute mzee matunge anaweza kukusaidia kufanikisha