Vyote vyote vinafanyika huko
Utapenda kwenda nikualike Ijumaa ijayo?
Ukiweza soma online halafu kila weekend twende field msata na bagamoyo
Hapo Mahoutokoro Nimehitimu Mkuu,1998.
Siku wateja watakapokwisha
ngoja nijipange. Lengo ni kupata elimu tu na kujua kipi kinafanyika huko. Nimependa sana ule mtaala wa magical transportation na vitisho.
sasa why field iwe msata na sio makabe, Mabibo au kwingineko?
siku wateja watakapokwisha
With mshana jr ME you have nothing to fear....!!!
Mshana Jr nashindwa kukuelewa una mtazamo gani kuhusu uchawi na wachawi je ni watu wazuli ktkr jamii au ungetamani waache siku moja na kuokoka?
Je uchawi ni mzuri au ni mbaya?
Mtazamo na maoni yako tafadhari.
Tuition fee na gharama nyengine zikoje?,Hivi vyuo vingekuwa vinatoa scholarships wangekwenda wengi
mkuu mshana hizo symbol za vitu ulivyovileta vinafanana kabisa na hivyo picha nilizo post hasa hiyo bendera ya nchi ya ISRAEL ndio kabisa unataka kuniambia uchawi ulianzia israel maana wao ndo pekee bendera yao ipo kama hizo symbol za kichawi ulizoweka hapo
Ukiweza soma online halafu kila weekend twende field msata na bagamoyo
Mkuu mshana jr na wengine wenye ufahamu wa haya mambo ya uchawi hivi kuna uhusiano gani wa Mchawi kukuroga upande mzima wa Kushoto...natamani kujua hili sababu nilipokuwa nataabishwa na wachawi ninapofanya Maombi kuyatoa nilikuwa nakuta ni upande huo tu mmoja iliokuwa unabeba hizo photom nataka kujua umuhimu wa upande huo na uchawi