Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Haya mambo ni mazito,
Hapo Kila alama na maana yake?

Tusaidiane kushare kile kidogo tulicho kipata kuhusiana na maarifa haya.
 
Kuna chuo kimoja kama sikosei kipo Magomeni ni chuo cha kufundisha uchawi, uganga na mambo ya majini na elimu ya falaki. Kina mkuu (principal) wake na kinafundisha hayo yote na ada ipo. Shekhe Mnyeshani aliyeokoka anatoa ushuhuda mzuri sana na amewahi kuwa mkufunzi pale. Angalia hapo utashangaa dunia Mshana Jr
 
Kuna chuo kimoja kama sikosei kipo Magomeni ni chuo cha kufundisha uchawi, uganga na mambo ya majini na elimu ya falaki. Kina mkuu (principal) wake na kinafundisha hayo yote na ada ipo. Shekhe Mnyeshani aliyeokoka anatoa ushuhuda mzuri sana na amewahi kuwa mkufunzi pale. Angalia hapo utashangaa dunia Mshana Jr
Asante sana fazili
 
Labda Africa tunafanya kwa Siri na kuogopa hizi dini zilizoletwa na Wazungu. Tupo nyuma kwa kuwa hatutaki kuweka vitu hadharani. Hakika aliyepiga hatua anafanya haya mambo kwa Siri huku akipasua Sala za kufa mtu kinafiki. Mtu anavaa tasibihi shingoni kumbe kwenye kiuno limefichwa hirizi.
 
Back
Top Bottom