Unavitaka au kuna nini. Weka maelezo vizuri.Vyuma a.bavyo vinawekwa mwilini mtu akivunjika ni mali ya nani? Kwanini huwa vinaftiliwa
Ukikata moto huwa wanachukua madini yao.Je nisipovitoa? Itakuaje?
I need to know if there's an effect Kama nimewekewa na najihisi Kupata some relief je nisipovitoa what will happen?Ukikata moto huwa wanachukua madini yao.
Wewe huwezi kujiona una ahueni ni mpaka pale utakapoenda kucheck.I need to know if there's an effect Kama nimewekewa na najihisi Kupata some relief je nisipovitoa what will happen?