Vyoo vya kukaa vimenishinda

Personally napenda choo cha kukaa kwa matumiz binafsi, ila kwa public hapana.
Nakupa ushauri tu wa haraka haraka.
Kuhusu maji kuruka, make sure kabla hujafanya mambo yako kunja toilet paper kiasi then weka ndani ya choo, itayazuia maji kuruka.
 
Hahahha nitakuja kuanguka bure...mku ilikuaje hebu simuliaaa
Mwenzangu nilikaa kama lisaa hivi natafuta maji si unajua uswahilini kwetu shimo huna haja ya maji

Katika kufikiriaaa aaa nikaona wasinitanie ikabidi nichote maji na jagi nililikuta toi mwagia wapi!! Daah

Nikitoka na choo ni cha ndani lazima watajua ni mm,ikabidi niweke mkono juu nifikilie kwa makini nifanyaje

Lahaula kumbe nilipoweka mkono paka bonyea sehemu nikaona maji hayo aaaa wacha ninogewe nikaendelea na zoezi la kubonyeza hahaha.
 
Nani asiyependa kustarehe wakati wa kujisaidia?? Sio siri choo cha kukaa kina raha yake!!yaani unaweza shusha mzigo huku unasoma gazeti.....ninachokiona humu ni wachangiaji wengi hawa afford choo cha kukaa ndyo maana wanapeana moyo kuwa choo cha kuchuchumaaa ndyo kizuri!!
 
Personally napenda choo cha kukaa kwa matumiz binafsi, ila kwa public hapana.
Nakupa ushauri tu wa haraka haraka.
Kuhusu maji kuruka, make sure kabla hujafanya mambo yako kunja toilet paper kiasi then weka ndani ya choo, itayazuia maji kuruka.
Mi choo cha kukaa ndyo mwake!! Nikisafiri kwenye kuchagua lodge sifa mojawapo lazima iwe na choo cha kukaa!
 
Umenikumbusha umama thread wewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Mwanaume kukata gogo akiwa amekaa/amechutama, huo ni umama, mwanaume wa kweli anakata gogo akiwa amesimama au anatembea[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahhahahah ukiwa unatembea nao ni umama.
Mwanaume hakati gogo maana hali chakula.
 
Hahhahahah ukiwa unatembea nao ni umama.
Mwanaume hakati gogo maana hali chakula.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Toka hukooo....

Chakula nitakula sana tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Toka hukooo....

Chakula nitakula sana tu
Daah I wish nikuone ukiwa unakata ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Umejua kunichekesha Leo.
I'd za jf zinaficha mengi. Hapo kwenye hali ya kawaida usingeweza hata kusema hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah I wish nikuone ukiwa unakata ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Umejua kunichekesha Leo.
I'd za jf zinaficha mengi. Hapo kwenye hali ya kawaida usingeweza hata kusema hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Uzuri wanaonijua hadi sasa mmoja tu ndio kaona hiyo comment
 
Mkuu umefika lini kutoka Kolomije?¡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…