Vyombo vya Ujasusi vyamshtukia Trump!

Hao CIA na FBI badala ya kulialia na kumlalamikia Trump wanapaswa kijieleza kwa wamarekani walikua wapi kipindi hayo yote yanatokea.
Maana wamewezeshwa na kupewa kila kitu ili kuilinda Marekani matokeo yake wanakuja kufanyiwa madhara na nchi wanayoizidi kwenye bajeti ya kila kitu na kuifanya marekani ionekane kama vile Kubwa Jinga tu huku Russia akionekana Dogo Janja.
CIA na FBI ni watuhumiwa, wasitafute pa kujifichia.
 
Trump akiingia madarakani atapashwa kufanya mabadiriko makubwa sana kwenye vyombo vya kijasusi nchini mwake/Merikani.

Yaani badala ya wao kujishughulisha na masuala ya usalama wao wanachanganya siasa na usalama especial kipindi hiki cha awamu ya mwisho ya Admin. ya Obama wamejidhalilisha sana kwa taarifa zao za kubuni tu na kutaka Mataifa yasielewane, kisa? Kipenzi chao Hillary kashindwa kuiingia Ikulu lazima wamuvurugie Trump ili apate wakati mgumu akiwa madarakani.

Kundi hili ovyo wanacho sahau ni kwamba Trump ni tajiri mkubwa for a reason - moja ikiwa ni business acumen pili ni kuona mbali na tatu ni jinsi ya ku-deal na washindani wake wawe wa kibiashara au kisiasa wote hao anawapa enough rope ili wajimalize wenyewe na hili ndilo limewakumba akina Obama, Hillary, McCaine, Bush Jeb na makamu wa Rais Joe Biden wote hao wamejaribu sana kumzima Trump na wote wakaishia kuangukia pua - hawajifunzi kitu bado tu wanaendelea kubuni mbinu nyingine za kijinga.

Pale White house palikua na Nigger, mwafrika Huyo hakuacha asili akavigeuza vyombo vyote vya usalama kuwa taasisi za chama tawala.
Navyo vikaingia kupiga siasa kwelikweli.
 
Trump anawapuuza kwa sababu ni hao hao waliotoa intelingesia za uongo kuhusu Iraq na hivyo kuiingiza Marekani katika vita vya kijinga vilivyochukuwa fedha nyingi sana.

Trump hataki kudanganywa kwa kisingizio cha jumuia ya kijasusi.
Ndo maana anaweka watu na washauri wake wapya wa masuala mbali mbali!
True mkuu, lakini vyombo vile vyaweza kumfanyizia kitu mbaya, na ni lazima vitachunguza hiyo jeuri ya Trump inatoka wapi.
 
Pale White house palikua na Nigger, mwafrika Huyo hakuacha asili akavigeuza vyombo vyote vya usalama kuwa taasisi za chama tawala.
Navyo vikaingia kupiga siasa kwelikweli.
Dead wrong!
Hata Trump katika criticism yake ni taarifa za vyombo hivyo kuhusu Saddam.
Mtawala wakati huo ni George Bush~Republican.
 
Hapo ndipo jeuri ya TRUMP ilipo.Inawezekana ameona system ya usalama ya marekani iko weak kwenye utawala wake labda atatumia security system ya kirusi kwa rafiki yake putin.

Inawezekana Trump alikuwa recruit wa russia kwa miaka nenda rudi akiandaliwa kuwa raisi wa marekani.Utajiri alionao waweza kuwa sio wake ni mali za warusi yeye ni agent tu na mshika mali za akina Putin na matajiri wa kirusi na shirika lao la ujasusi ndio maana anawang`onga wanausalama wa marekani
May be maana ki origin wazaz wa Trump sio Waamerika
Mamake Mskochi na Babake Mjeruman
 
Mkuu hao jamaa ni leaders of the underworld.
Tofauti kati ya majasusi na majambazi ni ndogo sana.
Alipouwawa JF Kennedy chunguzi zote ziliainisha uhusiano kati ya FBI na The Mob.
The Mob wanachukua contracts za kufanya kazu chafu zisizo weza kuchunguzwa.


Suala siyo nani kafanya/atafanya mauaji bali faida gani itapatikana na kwa manufaa ya nani?.
Pili je mauaji matokeo/madhara yake yanadhibitika kiasi gani?.

Angalia Picha kubwa kwa sasa ndani ndani USA.
 
Tatizo ni kukosa weledi na hivyo kutumikia vyama au viongozi kwa maslahi yasiyo ya kitaifa.


Na hilo ndiyo msingi wa tatizo kwa sasa ! Mob ya Wanasiasa wamekwisha jumuika na wapiga dili-na kwa sasa Trump anaonekana ni threat kwa mustakabali wao na kwa bahati mbaya magenge ya wapigadili na wanasiasa wana watu wao ndani ya system ambao ni sehemu ya Madili matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona.
 

Na hilo ndiyo msingi wa tatizo kwa sasa ! Mob ya Wanasiasa wamekwisha jumuika na wapiga dili-na kwa sasa Trump anaonekana ni threat kwa mustakabali wao na kwa bahati mbaya magenge ya wapigadili na wanasiasa wana watu wao ndani ya system ambao ni sehemu ya Madili matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona.
Umeonaee, hapo Mh Trump atasemwa kwa mabaya tu.Anatakiwa a-win yeye mapema kabla hawajamzunguka.
 
True mkuu, lakini vyombo vile vyaweza kumfanyizia kitu mbaya, na ni lazima vitachunguza hiyo jeuri ya Trump inatoka wapi.
Unajua ni kwa nini haiwezekani vyombo hivyo havitaweza kumfanyia vibaya?
Wakuu wote wa CIA NSA
True mkuu, lakini vyombo vile vyaweza kumfanyizia kitu mbaya, na ni lazima vitachunguza hiyo jeuri ya Trump inatoka wapi.
Mkuu nakuelewa sana. ISIPOKUWA itakuwa ni VIGUMU sana kwa vyombo hivyo kufanya lolote.
Kwanza idara hizi SI ZA KISIASA wao hufanyia kazi taifa lao na RAIS ALIYEKO SASA. Hawana UCHAMA kama sisi Africa.

Pili hapo zamani idara zote kama CIA, NSA, FBI na zingine zilikuwa kila moja INAJITEGEMEA na zilikuwa ZINASHINDANA.
Hata ndani ya CIA ilikuwa ni tabu tupu.
Nani ni MBABE kuliko mwingine.
Directorate of Information na Directorate of Science and Technology nao ni kuvutana na Kushindana na mwishowe ikawagharimu MADHARA makubwa ya 9/11.
Na hiyo ikabidi rais Bush kubadilisha na KUSUKA UPYA namna ya KURAHISISHA kushughulikia HARAKA habari za intelijensia na kuweka cheo cha DNI Director of National Intelligence ambaye ndiye BOSS wa vitengo vyote!

Baada ya haya mashirika YOTE kukusanya na kuzishughulikia anapewa DNI.
Baadaye YEYE mkurugenzi ndo ANAMWAMBIA rais yale yamfaayo kusikia/Briefings.
TOFAUTI na zamani ambako KILA kitengo kingetoa kila mtu na ripoti yake ILI AONEKANE na RAIS kuwa ni BORA sana kuliko mwingine.

Na Trump anakuja na WATU wake kwa kila kitengo. Hivyo yuko SALAMA salimini.!
 
Inawezekana kabisa Trump alikuwa a sleeper agent wa Urusi.
Si unaona anavyomung'unya maneno linapotokea suala la kusaidiwa na Putin?

Mkuu, sleeper agent wa design gani? Je, kama Hillary angeshinda uchaguzi wangeleta ujinga wao huu - wataalamu wa mawasiliano ya kimtandao wanajua si rahisi kudukua mafaili/info kwenye machines zilizo unganishwa kwenye intranet (ndani kwa ndani) mambo ya security concern yanaongezeka exponentially unapo jiunga kwenye cloud/Internet - yaani Wamerika pamoja na taaluma yao ya hali ya juu katika masuala ya security kwenye mitandao wangeweza kuwa so sloppy wakashindwa ku plug loopholes ambazo ma hackers wangezitumia kudukua au kudoctor mafaili/data muhimu - awasemi ukweli, in other words wasitafute visingizio vya kulauumu Mataifa mengine baada ya mteule wao kukataliwa na wapiga kura, wanaona aibu ndiyo inawafanya washikwe kiwewe na kuanza kumlaumu Putin kwa kila kitu as if Marekani ni mbumbumbu(Dunia ya tatu) katika masuala ya tekinilojia ya kimtandao, waongo kweli kweli hawa.

Ndiyo maana Trump yuko confident anapo wajibu kwamba taarifa zao za kiupelelezi niza kizushi tu hawana ushahidi wowote wa maana zaidi ya ku misqoute/misintepret newsreel za Russia Today, inasikitisha kuona Wakuu wa vitengo vya kijasusi Nchini Merikani wana behaving like toddlers mbele ya kadamunasi mmoja wao (one Claper) anajulikana kwa ulaghai wake wa siku nyingi - is a pathological liar par excellence!!

Luckily enough Trump is extremly intelligent and hardworking like all German descendants, awezi kukubali kuwa bulldozed na mijitu misanii tu yenye agenda za siri za kuendeleza utawala wa ruling class (Establishment) - wapiga kura wa Kimerikani have had enough ya kundi hili ndiyo maana wakahamua kufanya mapinduzi ya kimya kimya kwa kupitia sanduku la kura.
 
Wamarekani wote ni wahamiaji,hawana origin ya marekani.

Sawa, sasa chunguza katika historia ya Merikani asili mia karibu 98% za Marais wa Taifa hilo origin zao ni kutoka Taifa gani Ulaya and WHY?

Wakati wao ni asili mia 26% tu ya raia wote wa Merikani!!
 
d08ae4f8a09bb0ee8af80753d3216ab1.jpg
23a36da542ef5a7b92e2cc7cbfba323c.jpg
3233fe09ecab8d83caca666c143053d8.jpg


Source Sputnik
 
Sawa, sasa chunguza katika historia ya Merikani asili mia karibu 98% za Marais wa Taifa hilo origin zao ni kutoka Taifa gani Ulaya and WHY?

Wakati wao ni asili mia 26% tu ya raia wote wa Merikani!!
Mkuu data zako si sawa.
Waamerika ASILI ni Waamerika wekundu!
Wengine wote 100% ni UZAO wa WAHAMIAJI!!!
 
Sawa, sasa chunguza katika historia ya Merikani asili mia karibu 98% za Marais wa Taifa hilo origin zao ni kutoka Taifa gani Ulaya and WHY?

Wakati wao ni asili mia 26% tu ya raia wote wa Merikani!!
Religious PERSECUTION/ Mateso ya KIDINI!
 
Mkuu, sleeper agent wa design gani? Je, kama Hillary angeshinda uchaguzi wangeleta ujinga wao huu - wataalamu wa mawasiliano ya kimtandao wanajua si rahisi kudukua mafaili/info kwenye machines zilizo unganishwa kwenye intranet (ndani kwa ndani) mambo ya security concern yanaongezeka exponentially unapo jiunga kwenye cloud/Internet - yaani Wamerika pamoja na taaluma yao ya hali ya juu katika masuala ya security kwenye mitandao wangeweza kuwa so sloppy wakashindwa ku plug loopholes ambazo ma hackers wangezitumia kudukua au kudoctor mafaili/data muhimu - awasemi ukweli, in other words wasitafute visingizio vya kulauumu Mataifa mengine baada ya mteule wao kukataliwa na wapiga kura, wanaona aibu ndiyo inawafanya washikwe kiwewe na kuanza kumlaumu Putin kwa kila kitu as if Marekani ni mbumbumbu(Dunia ya tatu) katika masuala ya tekinilojia ya kimtandao, waongo kweli kweli hawa.

Ndiyo maana Trump yuko confident anapo wajibu kwamba taarifa zao za kiupelelezi niza kizushi tu hawana ushahidi wowote wa maana zaidi ya ku misqoute/misintepret newsreel za Russia Today, inasikitisha kuona Wakuu wa vitengo vya kijasusi Nchini Merikani wana behaving like toddlers mbele ya kadamunasi mmoja wao (one Claper) anajulikana kwa ulaghai wake wa siku nyingi - is a pathological liar par excellence!!

Luckily enough Trump is extremly intelligent and hardworking like all German descendants, awezi kukubali kuwa bulldozed na mijitu misanii tu yenye agenda za siri za kuendeleza utawala wa ruling class (Establishment) - wapiga kura wa Kimerikani have had enough ya kundi hili ndiyo maana wakahamua kufanya mapinduzi ya kimya kimya kwa kupitia sanduku la kura.
Mkuu taaluma ya hacking kwa sasa hivi ni talk of the town.
Internet haina mipaka wala distance seperation kati ya mataifa.
Hakuna border controls wala protocols.
Na ndio maana hii taaluma ya hacking inaogopwa sana kwa sasa, kutokana na madhara yake.

Wataalam wa hacking pamoja na US kuwa mbele sana kielekroniki ni pamoja na Urusi, China na hata North Korea.

Kwamba US ni wataalam sana wa IT haina maana sana kwani hackers wameweza ku breach defences zao na sasa siri zao nyingi ziko hadharani.
Si kwamba US wao hawafanyi hacking, la hasha, wana Idara nzima ya kuhack into any computer in the world.
Na ndio maana kila baada ya muda wanatoa security briefs kwa raia wao inapotokea mazungumzo kudukuliwa juu ya hatari ya shambulio la ugaidi.

Sema tu sasa hivi wamezidiwa ujanja.
 
nkumene, post: 19184718, member: 338682"]Mwsho wa cku tutaona hio vta ya trump Na majasusi wake mshnd atakua nan
Umeambiwa wanashindana?
Donald anavipasha vyombo vyake kama kuvitahadhalisha isijetokea tena jambo la kipuuzi litakaloigarimu nchi na serikali yake.[/QUOTE]

Mshindi atakuwa Marekani kama Taifa
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom