Vyombo vya Ujasusi vyamshtukia Trump!

Vyombo vya Ujasusi vyamshtukia Trump!

Imeshakula kwao people are awaken from illusions, fake news etc
 
Rais mteule endelea kuviponda hivyo vyombo vimekuwa na unafika mkubwa Kwa kusapoti upende wa upinzani. Wamemsaidia Sana Obama kuendeleza Sera za propaganda.
 
Asee hebu tulia undike ueleweke,unapapaaaara kwan uko kwenye mashindano ya kupost?
 
Hawa watu wanafiki sana, wanaonyesha dhahiri kuwa walikuwa upande wa HC..
Kuna maswali ya msingi sana ambayo wanakwepa kuyajibu..

1. HC angeshinda, wangeibuka na hizi hoja za Russian kuinfluece uchaguzi..

2. Kwanini kipindi kile cha kampeni Wikileaks ilipochapisha email zilizodukuliwa Kutoka kwenye server za Democrats walishindwa kuchunguza udukuzi huu..

3. Kwanini wamevujisha kwa NBC "top secret bfiefings" zilizopaswa kuwasilishwa kwa trump jana??

4. Hivi kama Russia imeweza kuinfluece uchaguzi huo ni udhaifu wa nani?? Trumo au wao vyombo vya ulinzi na intelijensia??

Hapa ninachokiona ni juhudu za makusudi kuundermine uongozi wa Trump usipate kibali mbele ya wamarekani kwa kumjengea picha kuwa ameingizwa ikulu na Russia..

Very stupid!
 
Kwani mpaka warusi wanadukua hao homeland security walikuwa wapi?

FBI walikuwa wanafanya nini?

Au CIA ndio iliwafungulia backdoor wadukuzi??
Kwenye kila system kuna loophole

Hata uwe na uwezo vp chance ya kudukuliwa IPO

Muhimu ni kupunguza tu mashambulizi
 
Trump akiingia madarakani atapashwa kufanya mabadiriko makubwa sana kwenye vyombo vya kijasusi nchini mwake/Merikani.

Yaani badala ya wao kujishughulisha na masuala ya usalama wao wanachanganya siasa na usalama especial kipindi hiki cha awamu ya mwisho ya Admin. ya Obama wamejidhalilisha sana kwa taarifa zao za kubuni tu na kutaka Mataifa yasielewane, kisa? Kipenzi chao Hillary kashindwa kuiingia Ikulu lazima wamuvurugie Trump ili apate wakati mgumu akiwa madarakani.

Kundi hili ovyo wanacho sahau ni kwamba Trump ni tajiri mkubwa for a reason - moja ikiwa ni business acumen pili ni kuona mbali na tatu ni jinsi ya ku-deal na washindani wake wawe wa kibiashara au kisiasa wote hao anawapa enough rope ili wajimalize wenyewe na hili ndilo limewakumba akina Obama, Hillary, McCaine, Bush Jeb na makamu wa Rais Joe Biden wote hao wamejaribu sana kumzima Trump na wote wakaishia kuangukia pua - hawajifunzi kitu bado tu wanaendelea kubuni mbinu nyingine za kijinga.
 
S
Siyo rahisi mkuu, kwa wenzetu kuvifumua vyombo hivyo ambavyo viko independent operationally ni kazi kubwa.
Ndg yangu usijidanganye sheria zipo ila linapokuja swala la powers za rais utastaajab ya afrika na amerika au ulaya.
Us wanakitu kinaitwa presidential nin nini
 
Trump akiingia madarakani atapashwa kufanya mabadiriko makubwa sana kwenye vyombo vya kijasusi nchini mwake/Merikani.

Yaani badala ya wao kujishughulisha na masuala ya usalama wao wanachanganya siasa na usalama especial kipindi hiki cha awamu ya mwisho ya Admin. ya Obama wamejidhalilisha sana kwa taarifa zao za kubuni tu na kutaka Mataifa yasielewane, kisa? Kipenzi chao Hillary kashindwa kuiingia Ikulu lazima wamuvurugie Trump ili apate wakati mgumu akiwa madarakani.

Kundi hili ovyo wanacho sahau ni kwamba Trump ni tajiri mkubwa for a reason - moja ikiwa ni business acumen pili ni kuona mbali na tatu ni jinsi ya ku-deal na washindani wake wawe wa kibiashara au kisiasa wote hao anawapa enough rope ili wajimalize wenyewe na hili ndilo limewakumba akina Obama, Hillary, McCaine, Bush Jeb na makamu wa Rais Joe Biden wote hao wamejaribu sana kumzima Trump na wote wakaishia kuangukia pua - hawajifunzi kitu bado tu wanaendelea kubuni mbinu nyingine za kijinga.
Mwenyewe Trump anasema hajawahi kishindwa. Ila serekali ya marekani na vyombo vyake vya usalama visimlaumu putin. Wajilaumu wao wenyewe kwa kushindwa kuzuia kudukuliwa.

Wameanza kuwa na matamko kama viongozi wa ccm!
 
Utajiri wa trump ameachiwa na baba yake mzazi jaribu ata kugoogle uone jamani wabongo kusoma hamtaki mnataka mtunge vitu vyenu kishilawadu tu
Matayatarisho huanza mapema sana,je yule rais aliyeisambaratisha USSR si alikua agent wa CIA?,unaweza tayarishwa zaidi ya miaka 20 kuja kua rais,wenzetu wanajua kucheza chess
 
Joe Biden anesema sasa hivi kuwa Trump is "mindless" kwa kuipuuza Intelligence Community.
Trump anawapuuza kwa sababu ni hao hao waliotoa intelingesia za uongo kuhusu Iraq na hivyo kuiingiza Marekani katika vita vya kijinga vilivyochukuwa fedha nyingi sana.

Trump hataki kudanganywa kwa kisingizio cha jumuia ya kijasusi.
Ndo maana anaweka watu na washauri wake wapya wa masuala mbali mbali!
 
Hiki ni kituko cha mwaka, fbi, cia na vinginevyo vkkiwa vya ulinzi, hainiingii akili eti mmarekani kadikuliwa na Russians, eti wamejua baada ya trump dume kushinda, am sure Clinton angeshinda wasingepiga kelele, big up Russian
 
Russia ndo baba yao tu hata wase nn lazma watasaliti amri
 
Matayatarisho huanza mapema sana,je yule rais aliyeisambaratisha USSR si alikua agent wa CIA?,unaweza tayarishwa zaidi ya miaka 20 kuja kua rais,wenzetu wanajua kucheza chess
Yes rais gorberchev aliandaliwa muda mrefu kwa kazi moja tu kuiporomosha urusi sio ajabu Hata TRUMP akawa aliandaliwa na urusi
 
Back
Top Bottom