Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

Makosa mawili haya halalishi kosa ilo liwe sawa. Hii ni Tanzania mpya, vizazi vyote vimeamka sanaa na ndio maana utaona ata Tigo watawapa wakina Mwana FA bilion 2, pili sisi hatujazungumza mambo ya copyrights and neighbouring rights, sisi tunataka hawa waone aibu, warudishe fadhila kwa yale wanayo yapata toka kwa mzee huyu, na ni ubinadamu wakawaida tu.

Mkuu post yangu haikuwa kwako usikurupuke nilimjibu mtu aliyetaka huo msemo uwe na copyright sasa tulia tu.

Na pia na we inakugusa tu,wewe ungekuwa mpenda kuboresha maisha ya watu kuna watu wengi wana dhiki sana kila idara changia hapa mawazo kiujumla yatakayosaidia wao kupata msaada,

Kuhusu waandishi wao wanafanya kazi hata wanapokuwa wanaripoti habari za DANGOTE lengo ni kupata wateja wengi sasa kosa silioni na hata nyie NIA yenu naona ni kutafuta kiki tu.

Sijasahau kuhusu FA na AY wao wana haki ya kudai nyimbo zao zilitumika bila wao kulipwa,

Sasa kama unajali wanyonge mafukara wa nchii hii esp wazee leta UZI WENYE MAWAZO MAZURI JINSI YA KUWASAIDIA KWA NAMNA YOYOTE ILE,
 
Mkuu post yangu haikuwa kwako usikurupuke nilimjibu mtu aliyetaka huo msemo uwe na copyright sasa tulia tu.

Na pia na we unakugusa tu wewe ungekuwa mpenda kuboresha maisha ya watu kuna watu wengi wana dhiki sana kila idara changia hapa mawazo kiujumla yatakayosaidia wao kupata msaada,

Kuhusu waandishi wao wanafanya kazi hata wanapokuwa wanaripoti habari za DANGOTE lengo ni kupata wateja wengi sasa kosa silioni na hata nyie NIA yenu naona ni kutafuta kiki tu.

Sijasahau kuhusu FA na AY wao wana haki ya kudai nyimbo zao zilitumika bila wao kulipwa,

Sasa kama unajali wanyonge mafukara wa nchii hii esp wazee leta UZI WENYE MAWAZO MAZURI JINSI YA KUWASAIDIA KWA NAMBA YOYOTE ILE,
Seen.
 
Makosa mawili haya halalishi kosa ilo liwe sawa. Hii ni Tanzania mpya, vizazi vyote vimeamka sanaa na ndio maana utaona ata Tigo watawapa wakina Mwana FA bilion 2, pili sisi hatujazungumza mambo ya copyrights and neighbouring rights, sisi tunataka hawa waone aibu, warudishe fadhila kwa yale wanayo yapata toka kwa mzee huyu, na ni ubinadamu wakawaida tu.
Sure Mkuu atleast wamtoe hapo halipo wao wanapiga hela kupitia huyu mzee
 
Mkuu post yangu haikuwa kwako usikurupuke nilimjibu mtu aliyetaka huo msemo uwe na copyright sasa tulia tu.

Na pia na we inakugusa tu,wewe ungekuwa mpenda kuboresha maisha ya watu kuna watu wengi wana dhiki sana kila idara changia hapa mawazo kiujumla yatakayosaidia wao kupata msaada,

Kuhusu waandishi wao wanafanya kazi hata wanapokuwa wanaripoti habari za DANGOTE lengo ni kupata wateja wengi sasa kosa silioni na hata nyie NIA yenu naona ni kutafuta kiki tu.

Sijasahau kuhusu FA na AY wao wana haki ya kudai nyimbo zao zilitumika bila wao kulipwa,

Sasa kama unajali wanyonge mafukara wa nchii hii esp wazee leta UZI WENYE MAWAZO MAZURI JINSI YA KUWASAIDIA KWA NAMNA YOYOTE ILE,
Unazingua
 
Kupitia mahojiano mbali mbali ya baadhi ya waandishi wa habari na wapangaji wenzie wanaeishi na Dr. Shika tumeweza kujua namna maisha ya dokta huyo yalivyo ya tabu na ikisemekana kuwa dokta huyo hata chakula kwake ni tatizo kubwa sanaa, anaishi maisha ambayo hata mnyama ana afadhali, na hana msaada toka kwa ndugu wala jamaa yake yoyote yule anaishi kwa neema na qudra tu za Mungu.

Sasa geukia upande wa pili, hawa wanao report, kushare na kupost habari za dokta Shika wanapata mamilion mengi tu, mfano Millard Ayo, video zake zote alizopost YouTube zimekuwa namba moja kwenye trending na zimetazamwa na malaki ya watu huku pia wanaomzamini Millard Ayo wakizidi kumwagia pesa za kufa mtu na YouTube wakimlipa mamilion ya fedha.

Sio Millard tu, kuna Mwananchi, Global nk nk. Ambao sasa wanauza sana kuliko wakati wowote kwa kutumia mahojiano yao na mzee huyu, na habari za mzee huyu zina sikika kuliko ata nyimbo na matukio ya wasanii kuliko hata habari za wabunge na Serikali.

Je, kuna namna yoyote mzee anafaidika?

Baada ya muda upepo huu utakwisha na mzee atarudi kuishi maisha yake yale yale ya kushinda njaa na upweke na hapa sijagusia Airtel ambao wametoa offer mpya na wanaiita "u mia tisa itapendeza" hawa nao najua watakua wamefanya uhuni tu, bado wale wa mashati ya 900 itapendeza, bado wale wa stika za magari za 900 itapendeza.

Mungu ana maksudi makubwa na mzee huyu, katujulisha waTanzania, kamtoa chakani, basi tumsaidie huyu mzee, na nyie wakina Millard lipeni fadhila mrudishieni ata asilimia 10 basi ya faida mlizo ingiza kwa kupitia yeye.

Tumsaidie mzee
Yaaaa nadhani akipewa hata milioni 9 itapendeza zaidi
 
Bado bro! Ila unazingua vby sn, jishitukie kiana
Lazma uone hivyo kwa sababu hatupendi ukweli...

Soma nilichoandika halafu niambie wapi nazengua....

Rahisi sana kupenda mtu bila sababu za msingi na rahisi sana kuchukia mtu bila sababu za msingi...
 
Lazma uone hivyo kwa sababu hatupendi ukweli...

Soma nilichoandika halafu niambie wapi nazengua....

Rahisi sana kupenda mtu bila sababu za msingi na rahisi sana kuchukia mtu bila sababu za msingi...
Support ndo cha msingi, mengine hayo bro sifahamu
 
Umeongea kitu cha maama sana brother, akina milad na milegezo yake wanapata mamilioni kwa habar ya huyu mzee, lakin mzee wa watu ndio kama hivo, kweli watoe % hata kidogo tu
 
sio Airtel tu kuna DSTV nao wamesafiria nyota, bila hata aibu.
Duh hata dstv kumbe? Unajua kwa wenzetu huyu mzee ni milionea tayari,
watanzania pamoja na shida zetu lakin mzee kama huyu amefanikiwa kuweka tabasamu na vicheko katika nyuso zetu, tunaweza kumsaidia hata 500 tu hata nusu ya watanzania wakitoa 500 tu inatosha najua na wengine wanaweza kutoa zaidi
 
Mzee kwa alichokifanya amejenga tayar nyumba ya Lugumi, sema watu wanataka wamzulumu haswa hao Airtel maana wapo kibiashara kabisa. Mpeni hata tangazo basi la hyo U900 au kama hamtaki sura yake weken hata sauti basi katika tangazo. Binafsi naipenda sana na litavutia sana tangazo lenu.
 
Mzee kwa alichokifanya amejenga tayar nyumba ya Lugumi, sema watu wanataka wamzulumu haswa hao Airtel maana wapo kibiashara kabisa. Mpeni hata tangazo basi la hyo U900 au kama hamtaki sura yake weken hata sauti basi katika tangazo. Binafsi naipenda sana na litavutia sana tangazo lenu.
Yeah sure mkuu, wafanye kumpa ata tangazo basi waone aibu.
 
Duh hata dstv kumbe? Unajua kwa wenzetu huyu mzee ni milionea tayari,
watanzania pamoja na shida zetu lakin mzee kama huyu amefanikiwa kuweka tabasamu na vicheko katika nyuso zetu, tunaweza kumsaidia hata 500 tu hata nusu ya watanzania wakitoa 500 tu inatosha najua na wengine wanaweza kutoa zaidi
sio hata mbali kenya tu hapo, mwaka huu kuna mtu alikua ktk foleni ya kupiga kura uku kashika maviazi na makaranga, picha yake ilikua kituko kikubwa sanaa mitandaoni kenya, anaitwa Githeri Man, jamaa kapata matangazo kibao, kawa tajiri mkubwa sanaa kwa sasa na ana wanasheria wanaolinda maslai yake kisheria.
 
sio hata mbali kenya tu hapo, mwaka huu kuna mtu alikua ktk foleni ya kupiga kura uku kashika maviazi na makaranga, picha yake ilikua kituko kikubwa sanaa mitandaoni kenya, anaitwa Githeri Man, jamaa kapata matangazo kibao, kawa tajiri mkubwa sanaa kwa sasa na ana wanasheria wanaolinda maslai yake kisheria.
Dah githeri man ashatusua ?
 
Wanasheria wa Tz hawana uthubutu. Bora angekuwepo Lissu ni jasiri angemtetea
 
Back
Top Bottom