Ni dalili ya jamii iliyokosa matumaini katika mambo ya msingi.Yaani huyu jamaa, tokea ashindwe Kukamilisha malipo kwenye ule Mnada wa Nyumba za Lugumi, yaani sasa hivi kila kukicha ni Dr. Shika tu, Ukigeuka kushoto ni Shika,nenda kulia ni Shika, Angalia Kusini Ni Shika,nenda kaskazini ni Shika,. Mashariki, Magharibi ni Shika, looh!!, Tushachoka Fanyeni mambo mengine ya Msingi, mbona kuna Mambo mengi tu ya msingi na Sekondari!!, Kuna Changamoto nyingi Jamani ktk Jamii valieni njuga Hayo.
Dah!!, Sidhani, km angelikuwa ameshatumiwa mkwanja Vyombo vya habari vingelitangaza.vP mzigo wake umeshaingia mjini? maana alituambia will 48hrs baada ya kulipia bima. Nataka nikaombe kazi kwenye kampuni yake
Pamoja na Hayo Mkuu, Wabongo tumezidi Sana,kaishu kadogo tu, yaani tunajadili Karne nzima, kila kukicha ni hicho hicho, Wakati kuna watu ktk jamii yetu wana matatizo lukuki, km vile Ukosefu wa maji, Umeme, Barabara, Huduma za Afya, Masoko kwa mazao ya kilimo, n. K. Sasa kwanini tupoteze muda kujadili ishu zisizo na faida?. Tubadilike.Hujalazimishwa kusikiliza.