Kuna tatizo la vyombo vingi vya habari kuandika kwa sehemu kubwa habari za kihalifu na jinai kuliko habari za maendeleo, kiukweli watu wakiwa wanasoma hizo habari mara kwa mara kunaleta adiction fulani watu kuanza kuutekeleza uhalifu ule au kuanza kujenga hofu kwenye jamii.
Kwa muda sasa tumeona magazeti mengi yakiandika ukatili dhidi ya wanawake. Sasa tumeanza kuona wanaume nao wanaanza kukumbwa na kadhia za ukatili wa kijinsia ikiwemo kuchomewa moto ndani ya nyumba.
Ifike wakati hizi habari za kihalifu ziachwe kwa jeshi la polisi wao ndio wapewe jukumu la kuziwakilisha kwa umma na kwa namna gani, wapo watu wanazua fujo ili wapate umaarufu wa kisiasa bila kujali wanatengeneza taharuki zisizo za lazima kwa jamii.
Kuna vyombo viliandika kuwa Mbowe alikamatwa kwenye hotel ya taifive kwa polisi kukanyaga mlango wakati si kweli Mbowe alikamatwa katika hotel ya Freedom na sio kwa kukanyagiwa mlango.
Magazeti mengi yanahusisha kukamatwa kwake na harakati zake za kisiasa kumbe kakamatwa kwa makosa ya kihalifu tu, Mkuu wa Mkoa anazuia mikusanyiko kuwakinga watu na korona wengine wanahusisha na mikutano ya kisiasa na magazeti nayo yanashadadia
Kwa muda sasa tumeona magazeti mengi yakiandika ukatili dhidi ya wanawake. Sasa tumeanza kuona wanaume nao wanaanza kukumbwa na kadhia za ukatili wa kijinsia ikiwemo kuchomewa moto ndani ya nyumba.
Ifike wakati hizi habari za kihalifu ziachwe kwa jeshi la polisi wao ndio wapewe jukumu la kuziwakilisha kwa umma na kwa namna gani, wapo watu wanazua fujo ili wapate umaarufu wa kisiasa bila kujali wanatengeneza taharuki zisizo za lazima kwa jamii.
Kuna vyombo viliandika kuwa Mbowe alikamatwa kwenye hotel ya taifive kwa polisi kukanyaga mlango wakati si kweli Mbowe alikamatwa katika hotel ya Freedom na sio kwa kukanyagiwa mlango.
Magazeti mengi yanahusisha kukamatwa kwake na harakati zake za kisiasa kumbe kakamatwa kwa makosa ya kihalifu tu, Mkuu wa Mkoa anazuia mikusanyiko kuwakinga watu na korona wengine wanahusisha na mikutano ya kisiasa na magazeti nayo yanashadadia