Serikari ipi mpaka mtu ashindwe kuiendesha? Hii ambayo hata panya anaweza kuwa kiongozi na akafanya vizuri zaidi ya watuSasa kama hili dogo tu limewashinda Chadema, ku-mobilize na kupata support kutoka kwa vyama vyengine vya upinzani juu ya agenda yao ya "katiba" mpya wataweza lipi??
Kuendesha serikali??
I strongly doubt it.