Vyama vya siasa vipewe muda vikamilishe Mahesabu-PAC

Vyama vya siasa vipewe muda vikamilishe Mahesabu-PAC

Kamati ya Bunge ya Mahesabu ya serikali PAC imetoa tamko la kuridhia vyama kukamilisha taarifa za fedha na kukabidhi kwa CAG ifikapo Januari 2014.

Hii ni baada ya Kamati hiyo kukutana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi leo jijini Dar es Salaam.

Pia kamati hiyo imemtaka msajili wa vyama kuendelea kuvipatia Ruzuku vyama hivyo.

Source:Mwananchi Breaking News

MODS Uongo kama huu ni hatari kwa Jf.PAC imeagiza CAG ahakikishea anavikagua vyama kufikia january 2014 akikabidhiri ripoti ya ukaguzi wa PAC na sio huu upotoshaji wa MOLEMO.
Mnaweza kuwasiliana na zitto akawambia ukweli na sio huu uongo wa vijana wa bukutatu wa chadema
 
Ninngemshangaa Jaji Mutungi angekubali harakati za watu binfs kwenye mambo ya kikanuni na sheria,aibu sasa kwa waliotayari kunyongwa ktk kutetea mambo Yao binafsi.

zitto amewashika patamu sana poleni sana wakuu.PAC imetoa agizo
 
MODS Uongo kama huu ni hatari kwa Jf.PAC imeagiza CAG ahakikishea anavikagua vyama kufikia january 2014 akikabidhiri ripoti ya ukaguzi wa PAC na sio huu upotoshaji wa MOLEMO.
Mnaweza kuwasiliana na zitto akawambia ukweli na sio huu uongo wa vijana wa bukutatu wa chadema
...Vipi Zitto hajawaagiza tena makatibu wa vyama? imekuwaje tena kamgeukia CAG, alipotea njia nini? nani sasa kamuonyesha, msajili?
 
Mkuu kuna mahali nimesema:


Wakurupukaji wajifunze.Tulisema PAC ilitakiwa ku-deal na CAG na Ofisi ya Msajili kwanza.

Hizi tabia za kukurupuka kama chafya ndizo zinazoharibu na kushusha kiwango cha siasa zetu

Ilimradi mtu una ajenda yako binafsi na mapovu ya kutosha basi unaitumia fursa kwa namna yoyote ile.

Hoja hazijengwi kisomi bali kwa jazba na chuki binafsi tu.Mbaya zaidi inapofanywa na wanasiasa wasomi

Haya sasa nashauri turudi kwenye mada za msingi.Katiba Mpya!

mwongo mkubwa wewe Ben saanane,yaani zitto anawashughulikiwa kwa maslahi ya Taifa mnaamua kupotosha umma?Wezi wakubwa nyie.Na sumu zako zisinifikie tafadhali
 
PAC inatimiza wajibu wake wa kuhakikisha fedha za umma zinakaguliwa. Agizo la kusitisha ruzuku lilitolewa na kamati wala halikuwa agizo la mtu binafsi ndio maana lilikwenda kwa maandishi. Msajili kaiomba kamati kwa maandishi kuwapa vyama muda wa kujirekebisha ili hesabu zao zikaguliwe. Kwa vyovyote vile kusitisha ruzuku kungeumiza sana CCM na nashangaa sana kuona vya upinzani vinashabikia jambo hili.
PAC Leo imeamua vyama vyote kupeleka mahesabu yao kwa CAG yakaguliwe. Hivyo ni dhahiri hayakuwa yanakaguliwa. Hakuna haja ya kulambana kwani tayari tumepata uthibitisho kwamba hesabu hazijakaguliwa na sasa zitakaguliwa.
Kuhusu fedha za kukaguq PAC imeagiza hazina watoe fedha za ukaguzi huo maalumu wa kuanzia 2009/2010, 2010/2011 na 2012/2013.
Mimi binafsi sina maslahi binafsi ya zoezi hili. Napenda tu kuona kuwa fedha za umma zinakaguliwa. Sasa zitakaguliwa na kumaliza tatizo.
Wenye kutaka kuonyesha wameshinda ni juu yao. Muhimu ni kwamba kuanzia sasa fedha za umma zitakaguliwa na CAG kama matakwa ya sheria yanavyotaka. Ni ushindi kwa watanzania wenye fedha zao.

Zitto huwezi kupendwa na watu wote, do what is right and move on!

Vyama vya upinzani vinashabikia kwa vile umevigusa! Si CDM wala CCM n.k, inaonekana 'fame' is better kwao than the nation.

Ndio maana sometimes nachukia siasa na wanasiasa!
 
Awali PAC ilikurupuka kwa kutoa "maelekezo" kwa msajili kusitisha ruzuku kwa vyama.

Baada ya wadau kuielimisha PAC juu ya mipaka ya madaraka Yao,na baada ya kubaini kwamba msajili alikuwa Makini sana kabla ya kuitikia wito wa kusitisha ruzuku,ndipo sasa PAC ilatambua kuwa ilikuwa imepiga wrong number!

Katika kujikosha na kutaka kufuta madhambi iliyokuwa imeyafanya,PAC imeluja sasa na kauli mpya ya kumtaka msajili aendelee kuvipatia vyama ruzuku.

Kimsingi bado PAC imechemka tena kwaluwa mamlaka Yao yanaishia kwenye kuvipa muda vyama ili viwe vimekaguliwa hadi hiyo January 2014
Suala la kuendelea au kutokuendelea kupata ruzuku linabaki chini ya mamlaka ya msajili,na PAC wasiendelee kujifanya wao wana mamlaka hayo.

Jambo la msingi ambalo mimi nilitarajia kulisikia Leo kutoka PAC ni namna ya kuiwezesha ofisi ya CAG kifedha ili iweze kufanya ukaguzi wa mahesabu ya vyama kwakuwa imeelezwa tangu awali kuwa ofisi ya CAG imeshindwa kufanya ukaguzi wa mahesabu ya vyama kwakuwa hawana bajeti ya kazi hiyo. Lakini naona Hilo hawajalizungumza,na hapo ndipo nataka kulibaliana na wadau kuwa PAC inafanya siasa badala ya kazi za kitaalamu na kisheria.
nadhani unachanganya mambo.

PAC inayo mamlaka ya kuzuia ruzuku kwa vyama vya siasa.Inayo mamlaka ya kuwaweka mahabusu wahasibu au hata makatibu/wenyeviti wa vyama vya siasa kama watahusika na uhujumu wa ruzuku.

Kitu cha pili, nadhani kuna kutokuelewa au kutokuwa makini tunapoandika miswaada na kuipitisha. uzuri wake nchi yetu haina lawyers wengi kama States, kwa sababu kuna loopholes nyingi sana kwenye sheria, hata katiba ya sasa na ijayo.

Kwa mfano, Public Audit Act, 2008 ilikuwa inataka institution yeyote inayopata fedha toka serikalini ikaguliwe naye lakini vyama vya siasa vilianza kukaguliwa na CAG kwa sheria kiraka ya 2009. Why?
Kwanini sheria ya vyama haikubainisha uhusika wa CAG wakati sheria ya ukaguzi inasema institution yeyote inayopata hela kutoka Consolidated Fund?

Pili, Bajeti ya CAG ... Hivi PAC, PMG na Treasury si ndiyo wanaohusika kupanga na kuipeleka bajeti ya NAOT/CAG bungeni? Sasa kwanini hakutengewa fungu? Na yeye alitoa maelekezo gani baada ya kukosa fungu?

Ila kuna caveat kwa hayo yote, kwa sababu hakuna sheria inayosema CAG atakuja ofisini kwako kukukagua. Kuna Tatizo gani kupeleka statements ofisini kwake CAG badala ya kusubiri ma-auditor waje ofisini kwako?

Section 30(1) zimetamka kuwa CAG ndiyo apelekewe statements siyo aje kuzifuata. Je, hivi vyama vilipeleka statements???
Hilo ndiyo suala la muhimu.
 
Kauli ya Mutungi

Akitoa ufafanuzi kuhusu ruzuku alipokutana na viongozi wa vyama vya siasa jana, Jaji Mutungi alisema suala hilo halitakiwi kuchukulikwa kisiasa, kusisitiza kuwa ni wajibu wa kila chama kukaguliwa kwa maelezo kuwa ruzuku ni fedha za serikali zinazotokana na kodi ya wananchi.

“Hakuna hata chama kimoja cha siasa ambacho hesabu zake zimekaguliwa na ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kama yapo nileteeni” alisema Jaji Mutungi, kauli ambayo haikupingwa na viongozi wote wa vyama hivyo.

Jaji Mutungi alisema licha ya kuwa Mwenyekiti wa Pac, Zitto Kabwe alimtaka kusitisha ruzuku ya vyama hivyo hadi vitakapowasilisha taarifa za ukaguzi, hawezi kutekeleza agizo hilo mpaka atakapozungumza na vyama husika na kujua sababu za kushindwa kuwasilisha taarifa hizo.
 
wewe mtoto nenda kavar nepi huko.Mbona unapotosha umma hivyo?Zitto kawashika patamu nyie wote wauza madawa lazima make.
PAC inadeal na chadema mwanzo mwisho kwa sababu ndio mnaongoza kulialia hapa Tanzania kumbe wezi wakubwa wa Ruzuku.
Sasa wewe gaidi mwenye laana ya damu ya wana Arusha unaandika nimi hapa?
Chama chenu cha magamba ndicho kina hali mbaya sana. Kama mnapokea ruzuki ya sh.2bilioni lakini mnawalipa viongozi wenu wa mikoa sh.100,000 na wengine sh.50,000 pesa nyingine mnapeleka wapi? Bila shaka mnaipeleka China kununulia mabomu. NA mtakapokaguliwa na CAG ndipo mtakapojutia matendo yenu ya kishetani.

Siku moja tu baada ya kauli ya PAC katibu mwenezi wenu aliitisha press conference na kuishia kumshambulia Zitto badala ya kujibu hoja za kamati yake ya PAC. Kama kweli mngekuwa mnajiamini na mahesabu yenu kwanini mkamshambulia?

Sasa imethibitika kwamba hakuna chama kilichokaguliwa na CAG tofauti na madai ya vuvuzela wenu kuwa mmeshakaguliwa,hii aibu mtaificha wapi? Unafikiri mkijikomba kwa Zitto ndiyo hamtakaguliwa? Kama ndiyo mawazo yenu basi mjiandae kulia na kusaga meno.
 
Wala haiingii akilini, vyama vyote vilidai mahesabu yao yako tayari na vingine yameshakakuguliwa, sasa miezi yote hiyo ya nini? Kwa nini wasiambiwe tu wakayakabidhi mara moja kwa CAG kwa ukaguzi. Wanawapa mad ili wayatengeneze!

Hakuna muda vyama wamepewa. PAC imeagiza ukaguzi maalumu wa miaka 4 na uwe umekamilika ifikapo january 2014. Vyama vimeagizwa kupeleka taarifa kwa CAG na CAG ameagizwa awe ameleta taarifa PAC ifikapo January 2014.
Kumbukeni CAG anatoa taarifa yake kila mwezi machi na PAC inatoa taarifa yake bungeni kila mwezi February. Lengo ni kuwa na taarifa ya ukaguzi maalumu kabla ya taarifa hizo.
Hili jambo la kisheria tusiligeuze la kisiasa.
Imedhihirika vyama havijakaguliwa. Sasa imeamuliwa vikaguliwe na fedha PAC imeagiza zitoke wapi. Tumepiga mstari, zama za vyama kuokoteza wakaguzi mtaani zimekiwisha na lengo la fedha za umma kukaguliwa na CAG limetimia. Mshindi mtanzania na kodi zake
 
PAC inatimiza wajibu wake wa kuhakikisha fedha za umma zinakaguliwa. Agizo la kusitisha ruzuku lilitolewa na kamati wala halikuwa agizo la mtu binafsi ndio maana lilikwenda kwa maandishi. Msajili kaiomba kamati kwa maandishi kuwapa vyama muda wa kujirekebisha ili hesabu zao zikaguliwe. Kwa vyovyote vile kusitisha ruzuku kungeumiza sana CCM na nashangaa sana kuona vya upinzani vinashabikia jambo hili.
PAC Leo imeamua vyama vyote kupeleka mahesabu yao kwa CAG yakaguliwe. Hivyo ni dhahiri hayakuwa yanakaguliwa. Hakuna haja ya kulambana kwani tayari tumepata uthibitisho kwamba hesabu hazijakaguliwa na sasa zitakaguliwa.
Kuhusu fedha za kukaguq PAC imeagiza hazina watoe fedha za ukaguzi huo maalumu wa kuanzia 2009/2010, 2010/2011 na 2012/2013.
Mimi binafsi sina maslahi binafsi ya zoezi hili. Napenda tu kuona kuwa fedha za umma zinakaguliwa. Sasa zitakaguliwa na kumaliza tatizo.
Wenye kutaka kuonyesha wameshinda ni juu yao. Muhimu ni kwamba kuanzia sasa fedha za umma zitakaguliwa na CAG kama matakwa ya sheria yanavyotaka. Ni ushindi kwa watanzania wenye fedha zao.

Very honest answer, sidhani kama unahitajika mjadala kwenye hili tena.
 
PAC inatimiza wajibu wake wa kuhakikisha fedha za umma zinakaguliwa. Agizo la kusitisha ruzuku lilitolewa na kamati wala halikuwa agizo la mtu binafsi ndio maana lilikwenda kwa maandishi. Msajili kaiomba kamati kwa maandishi kuwapa vyama muda wa kujirekebisha ili hesabu zao zikaguliwe. Kwa vyovyote vile kusitisha ruzuku kungeumiza sana CCM na nashangaa sana kuona vya upinzani vinashabikia jambo hili.
PAC Leo imeamua vyama vyote kupeleka mahesabu yao kwa CAG yakaguliwe. Hivyo ni dhahiri hayakuwa yanakaguliwa. Hakuna haja ya kulambana kwani tayari tumepata uthibitisho kwamba hesabu hazijakaguliwa na sasa zitakaguliwa.
Kuhusu fedha za kukaguq PAC imeagiza hazina watoe fedha za ukaguzi huo maalumu wa kuanzia 2009/2010, 2010/2011 na 2012/2013.
Mimi binafsi sina maslahi binafsi ya zoezi hili. Napenda tu kuona kuwa fedha za umma zinakaguliwa. Sasa zitakaguliwa na kumaliza tatizo.
Wenye kutaka kuonyesha wameshinda ni juu yao. Muhimu ni kwamba kuanzia sasa fedha za umma zitakaguliwa na CAG kama matakwa ya sheria yanavyotaka. Ni ushindi kwa watanzania wenye fedha zao.

hongera PAC hongera Zitto hongera watanzania wenye uchungu na mali ya Umma bila kufanya haya yalikuwa yameshakuwa mazoea sasa vyama vitaanza kukaguliwa
 
Last edited by a moderator:
PAC inatimiza wajibu wake wa kuhakikisha fedha za umma zinakaguliwa. Agizo la kusitisha ruzuku lilitolewa na kamati wala halikuwa agizo la mtu binafsi ndio maana lilikwenda kwa maandishi. Msajili kaiomba kamati kwa maandishi kuwapa vyama muda wa kujirekebisha ili hesabu zao zikaguliwe. Kwa vyovyote vile kusitisha ruzuku kungeumiza sana CCM na nashangaa sana kuona vya upinzani vinashabikia jambo hili.
PAC Leo imeamua vyama vyote kupeleka mahesabu yao kwa CAG yakaguliwe. Hivyo ni dhahiri hayakuwa yanakaguliwa. Hakuna haja ya kulambana kwani tayari tumepata uthibitisho kwamba hesabu hazijakaguliwa na sasa zitakaguliwa.
Kuhusu fedha za kukaguq PAC imeagiza hazina watoe fedha za ukaguzi huo maalumu wa kuanzia 2009/2010, 2010/2011 na 2012/2013.
Mimi binafsi sina maslahi binafsi ya zoezi hili. Napenda tu kuona kuwa fedha za umma zinakaguliwa. Sasa zitakaguliwa na kumaliza tatizo.
Wenye kutaka kuonyesha wameshinda ni juu yao. Muhimu ni kwamba kuanzia sasa fedha za umma zitakaguliwa na CAG kama matakwa ya sheria yanavyotaka. Ni ushindi kwa watanzania wenye fedha zao.

Kamanda Zitto maelezo yako yanajitosheleza,nadhani sasa suala la ukaguzi wa mahesabu ya vyama linaelekea kupata majawabu.

Ningependa kupata kauli yako au mtazamo Wako ni kwanini wajumbe wenzako wa kamati ya PAC hawataki kabisa kulizungumzia suala hili la ukaguzi wa mahesabu ya vyama? Tumeshuhudia hata katika kipindi ulichokuwa umesafiri nje ya nchi, hata makamu Wako Deo Filikinjombe hakuthubutu kulizungumzia suala hili hadi uliporudi ukaendelea kuanzia pale ulipoliacha.
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe gaidi mwenye laana ya damu ya wana Arusha unaandika nimi hapa?
Chama chenu cha magamba ndicho kina hali mbaya sana. Kama mnapokea ruzuki ya sh.2bilioni lakini mnawalipa viongozi wenu wa mikoa sh.100,000 na wengine sh.50,000 pesa nyingine mnapeleka wapi? Bila shaka mnaipeleka China kununulia mabomu. NA mtakapokaguliwa na CAG ndipo mtakapojutia matendo yenu ya kishetani.

Siku moja tu baada ya kauli ya PAC katibu mwenezi wenu aliitisha press conference na kuishia kumshambulia Zitto badala ya kujibu hoja za kamati yake ya PAC. Kama kweli mngekuwa mnajiamini na mahesabu yenu kwanini mkamshambulia?

Sasa imethibitika kwamba hakuna chama kilichokaguliwa na CAG tofauti na madai ya vuvuzela wenu kuwa mmeshakaguliwa,hii aibu mtaificha wapi? Unafikiri mkijikomba kwa Zitto ndiyo hamtakaguliwa? Kama ndiyo mawazo yenu basi mjiandae kulia na kusaga meno.

Ndio maana nashangaa Kwanini vyama vya upinzani vinaishambulia PAC. CCM imeomba sana ruzuku isisitishwe. Ilikuwa siku 10 za mashinikizo na vitisho na kujaribu kuwagawa wana kamati. Hivi chama gani kingeumizwa zaidi na ruzuku kusitishwa kama sio CCM? CCM wanavuta 18bn tshs kwa mwaka! Naona vijana wa CHADEMA wanaisemea CCM na kufurahia ruzuku kutositishwa. That is short sightedness
 
Kauli ya Mutungi

Akitoa ufafanuzi kuhusu ruzuku alipokutana na viongozi wa vyama vya siasa jana, Jaji Mutungi alisema suala hilo halitakiwi kuchukulikwa kisiasa, kusisitiza kuwa ni wajibu wa kila chama kukaguliwa kwa maelezo kuwa ruzuku ni fedha za serikali zinazotokana na kodi ya wananchi.

“Hakuna hata chama kimoja cha siasa ambacho hesabu zake zimekaguliwa na ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kama yapo nileteeni” alisema Jaji Mutungi, kauli ambayo haikupingwa na viongozi wote wa vyama hivyo.

Jaji Mutungi alisema licha ya kuwa Mwenyekiti wa Pac, Zitto Kabwe alimtaka kusitisha ruzuku ya vyama hivyo hadi vitakapowasilisha taarifa za ukaguzi, hawezi kutekeleza agizo hilo mpaka atakapozungumza na vyama husika na kujua sababu za kushindwa kuwasilisha taarifa hizo.

Zitto lakini bado naona kuna haja ya kurekebisha sheria ya utoaji wa ruzuku maana kama hatuwezi kuvipangia vyama matumizi ya ruzuku sidhani kama tunaweza kuhakikisha tuna vibana ipasavyo.

Daa ina maana viongozi wa vyama yale waliotowa kama vielelezo kuwa wamekaguliwa walikuwa wana danganya?.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Zitto maelezo yako yanajitosheleza,nadhani sasa suala la ukaguzi wa mahesabu ya vyama linaelekea kupata majawabu.

Ningependa kupata kauli yako au mtazamo Wako ni kwanini wajumbe wenzako wa kamati ya PAC hawataki kabisa kulizungumzia suala hili la ukaguzi wa mahesabu ya vyama? Tumeshuhudia hata katika kipindi ulichokuwa umesafiri nje ya nchi, hata makamu Wako Deo Filikinjombe hakuthubutu kulizungumzia suala hili hadi uliporudi ukaendelea kuanzia pale ulipoliacha.

Makamu kasema Leo kwenye mwananchi. Nimesoma mtandaoni. Msome tu.

Suala limekwisha. Tumelipatia majawabu stahili. Vyama vitakaguliwa na hazina itatoa fedha. Tumepiga mstari tufanye mengine sasa
 
Last edited by a moderator:
Zitto lakini bado naona kuna haja ya kurekebisha sheria ya utoaji wa ruzuku maana kama hatuwezi kuvipangia vyama matumizi ya ruzuku sidhani kama tunaweza kuhakikisha tuna vibana ipasavyo.

Daa ina maana viongozi wa vyama yale waliotowa kama vielelezo kuwa wamekaguliwa walikuwa wana danganya?.

Matumizi ya ruzuku yamepangwa kisheria. Yamo ndani ya sheria ya vyama vya siasa. Ndio maana lazima CAG akague. Sasa tumekata mzizi wa fitina.
Kuhusu walosema wamekguliwa namnukuu Msajili hapa chini
Kauli ya Mutungi

Akitoa ufafanuzi kuhusu ruzuku alipokutana na viongozi wa vyama vya siasa jana, Jaji Mutungi alisema suala hilo halitakiwi kuchukulikwa kisiasa, kusisitiza kuwa ni wajibu wa kila chama kukaguliwa kwa maelezo kuwa ruzuku ni fedha za serikali zinazotokana na kodi ya wananchi.

“Hakuna hata chama kimoja cha siasa ambacho hesabu zake zimekaguliwa na ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kama yapo nileteeni” alisema Jaji Mutungi, kauli ambayo haikupingwa na viongozi wote wa vyama hivyo.

Jaji Mutungi alisema licha ya kuwa Mwenyekiti wa Pac, Zitto Kabwe alimtaka kusitisha ruzuku ya vyama hivyo hadi vitakapowasilisha taarifa za ukaguzi, hawezi kutekeleza agizo hilo mpaka atakapozungumza na vyama husika na kujua sababu za kushindwa kuwasilisha taarifa hizo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna mahali nimesema:


Wakurupukaji wajifunze.Tulisema PAC ilitakiwa ku-deal na CAG na Ofisi ya Msajili kwanza.

Hizi tabia za kukurupuka kama chafya ndizo zinazoharibu na kushusha kiwango cha siasa zetu

Ilimradi mtu una ajenda yako binafsi na mapovu ya kutosha basi unaitumia fursa kwa namna yoyote ile.

Hoja hazijengwi kisomi bali kwa jazba na chuki binafsi tu.Mbaya zaidi inapofanywa na wanasiasa wasomi

Haya sasa nashauri turudi kwenye mada za msingi.Katiba Mpya!

Wewe ni mmoja wa wakurupukaji.Nyani haoni backside.
 
Mkuu MTAZAMO umesema kweli tupu......
Naona watu wengi tunaliangalia hili suala kiushabiki zaidi...(Kama Simba na Yanga vile) haka ka tabia ka double Standard katakuja kutugharimu sana kama taifa. Inakuwa haina maana kama watu tunataka upande Fulani tu uwe msafi wakati kwetu ni pachafu. Cha Msingi sharia ifuatwe bila kupindishwa!!! kitendo tu cha vyama kuongezewa muda mpaka Januari Mwakani kinatia shaka....
 
Wewe ni mmoja wa wakurupukaji.Nyani haoni backside.

Ndugu yangu usihangaike na waliosilimu wanaotaka ku prove kuwa wamesilimu kweli kweli. Mimi nawapuuza watu wa namna hiyo maana wanatafuta attention tu na waonekane wapo against Zitto. Bila kufanya hivyo ataaminikaje?
 
Back
Top Bottom