Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

Mzee Es you are missing my point na kuna wachache kama Mkandara wananipata taratibu mtanielewa kwa nini nimeleta maswali magumu hapa badala ya kwente maoni magazetini.Wekeni pembeni u CCM wenu watanzania si wamoja tena kuanzia kwenye Umoja hata kwenye maisha kwa kiwa Majaliwa Sharif hana kazi kaamua kuleta u CCM kula ki aina na wenye pesa zao UK kutumia ujanja wa kuupata uongozi nk . CCM ni chaka la kila aina ya uozo kujificha lakini hili nina waachia mimi nataka kujua uhalali wa CCM kuwa na matawi wakiwa Cham tawala . Majaliwa naomba useme tawi lenu limefuata katiba yenu at the same time natafuta na nitakuja na majib juu ya sheria ya UK inasemaje kwa Malecela kufungua tawi rasmi UK . Ingalikuwa ni club nisingalikuwa na shida . UK wanadhani wako na speed sana lakini wanatugawa sisi Watanzania . Influency ya mume wa balozi hata kama balozi kateuliwa na Mwenyekiti wa CCM lakini wakati wa Uteuzi mwenyekiti ni Rais wa Tanzania na si CCM .

Bado nangoja msaada wa anuani ya Reading jamani . Kuliwa pesa ama kutokuliwa mtajua tu maama CCM UK ni moto ngojeeni mtayasikia maana wote wale ni wajanja . Kwanza Majaliwa Sharif akiwa Tanzania alikuwa nafanya kazi gani ? Maana tuangalie na credibility yake na kila kitu maana amaemua kuja kweney public domain.

Swala la Majaliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM hata JK alilipinga na alimweleza wazi wazi wakati anaondoka kuelekea Norway ama Nchi za Scandinavia . Alielezwa kwa utani but the message was clear ila akaamua ku ignore . Mama balozi alimweleza mumewe pia kwamba achana na matawi kuna wenyeji waachie hawa uta complicate mambo hapa na kazi yangu kama balozi lakini jama kichwa ngumu kaendelea . Tuendelee kuleta habari .
 
Mzee Es,

Mkapa alichaguliwa na CCM kisha wananchi kuwa rais na kiongozi wetu lakini mkewe alikuwa na nguvu kuliko wananchi na CCM yenyewe!..
Hata Queen na Umalkia wake wote hutoa kilio cha furaha kumfurahisha mumewe kabla ya Uingereza! Ala kwani hao ma Prince watatoka wapi kama hakuweka maslahi yake mbele ya Taifa!..... Heee heee heee!
Usifanye mchezo na uwanja mdogo wa nyasi za velvet! Kinachoweza kuzuilika kizuiliwe!
 
Mzee Lunyungu,

Pamoja na heshima mbele, ninachoweza kujibu hapo ni kwamba mwenyekiti wa ccm, ambaye ni rais wa jamhuri yetu, kazi yake ni kutekeleza ilani za ccm ndani ya serikali, ndio maana kisheria tumempa vyombo vya dola kuhakikisha hilo linafanyika, smoothly, ndio maana tumempa kisheria power ya kuwachagua wasaidizi wake, ili wamsaidie katika kutekeleza sera hizo za ccm,

Mabalozi ni moja ya wasaidizi wenyewe, katika kumsaidia mwenyekiti wa ccm ambaye ni rais wa jamhuri, kutekeleza sera hizo, na ndio hasa nia na madhumuni ya kula kiapo cha utiiifu mbele ya rais, ndio maana rais aliposhindwa kumfukuza kazi waziri Mbilinyi, na Idd Simba, waliitwa kwenye kikako cha ccm na kufukuzwa kazi, hakukuwa na any complains kwamba kwa nini wamefukuzwa kazi na ccm, au wao wenyewe kwenda mahakamani,

Lakini mkurugenzi mmoja wa benki kuuu alipofukuzwa kazi na rais alikwenda mahakamani na kumshinda rais ambaye pia likuwa mwenyekiti wa ccm, kwa sababu kazi yake hakupewa na mwenyekiti wa ccm ambaye ni rais!

Mahalu anawashitaki media, lakini sio rais maana anajua kuwa alipewa kazi hiyo na rais ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa ccm, na shinikizo la kufukuzwa kwake lilitoka kamati kuu ya ccm, chama ambacho rais kama mwenyekiti wake anajaribu kutekeleza sera zake, kamati kuu ya ccm ilikutana kujadili hatima ya mkuu wa polisi Mahita, WHY? kwani yeye si mkuu wa polisi wa wa-Tanzania wote, ndio lakini amepewa kazi hiyo na mwenyekiti wa ccm, ambaye pia ni rais wa jamhuri, ili kumsaidia kutekeleza sera za ccm ambazo, ccm wamepewa mandate na wananchi wa Tanzania kwa aslimia 80%, katika uchaguzi uliopita!

Katika siasa, chama kimoja kinaposhinda kwa kura 80%, inamaana kwamba ilikuwa NONE-CONTEST, halafu ina maana chama kilichoshinda automatically, kimepewa mandate na wanachi kutawala as they see it ot be fit! Isipokuwa kukiwa na kura 51% kwa 50%, then walioshinda yaani 51% wanatakiwa kusikiliza na kuzitekeleza pia sera za 50%, until then ccm wana wajibu wa kutekeleza sera zao, as they see it fit na mabalozi wetu nje ni wasaidizi wa mwenyekiti wa ccm katika kutekeleza hizo sera za ccm!

But, yes! ninaona some ishus au data ndani ya post yako ambazo sina uhakika nazo na siwezi kusema kuwa hazipo, lakini siwezi kuzigusa!

Mzee Bob,

Heshima mbele, unayosema ni kweli kabisaa, ndio maana ninasema kuwa ikifikia hapo kwenye velvet, siasa ni lazima ifike to an-end! na bungeni kwetu tunahitaji kuwa na vote of confidence kwa rais wetu na viongozi wetu tunapokuwa na wasi wasi nao kuwa mambo ya huko velvet huenda yanatumika kututawala!
 
Duuh, msomi Lwama Papa,

Ok, Lunyungu, you are allowed to form any type of organisation or company so long you register it (even political parties with interests outside the UK, wapigie Companies House waulize kila kitu unachotaka). Ndio maana nikakwambia, Tamil Tigers wanafanya shughuli zao huku muda mrefu bila matatizo, ingawa wenyewe wanakuwa wanaficha jinsi wanavyokusanya pesa zao, au mienendo yao.

Lwama Papa, who leads CCM in London is of no interest to most people who are neutral (infact nobody gives a hoot about CCM's presence as they wont get involved), so not everyone has issues with who leads CCM-London/UK. It is clear they are in the UK to compete with CUF and.................

CCM should be bigger than this though. Why? Because, at the end of the day, this step will divide people. And I am telling you this, cos there are CCM supporters who were quiet pissed of at the campaign that was started when Mhe. was here for the 1st time. I think CCM are underestimating the damage they are doing, whether it backfires on them........i dont know. Like someone said before, they will alienate people even further. What I know is, CUF members have always been concerned with service/help from the Embassy in the UK. On the first meeting for electing the TA-UK, a guy(clearly from Zenj), raised his concerns about the help they get (or rather they have been getting pre-Majaar) from the Tanzanian Embassy. It was clear some people feel alienated. Me and you may not understand why these people will be afraid/distant (even with the open assurances from the current Balozi), but unless we are in their shoes, we shouldnt assume all is okay.

Now if you cant connect the dots..................

Peace, am out of this!!
 
Sio kweli hata, maana tunajua historia ya Watanzania ambao mko huko Uingereza, namna gani mko huko, kwa makundi, kuanzia walioletwa na Serikali kusoma, wakahitimu, wakaamua kubaki huko hata kama wana Masters Degrees, wakaamua kufanya kazi za udereva, uchinjaji kuku, kuna ambao walikuja huko wakisingizia eti nyumbani hakuna usalama wao, na wengine walikuja huko kwa sababu za kiuchumi, wakifikiri watajikomboa.

You know what, you have just confirmed alot.............
 
Issue za UK/London mara zote zinatuharibia mijadala. See, I have decided to take an unexpected action against all posts.

Lwama + Lunyungu; wazee wangu naomba mkijadiliana kumbukeni kuwa si ninyi tu mnaosoma! Umma unaona mambo mengine yasiyo ya lazima.

Inanisikitisha lakini ndiyo hali halisi
 
I never wanted to provoke anyone here.

Lakini nadhani this guy he took my posts too personal na kuanza kunishambulia nimeshangaa.

Lwama usije hapa ukadhani shule umeenda mwenyewe. I can access those info via online kwa mtu lakini hapa ni mahala pa kujadili na mjadala unahusu Tanzania na umoja.

Ukija na jina la Lunyungu bila ya kuelewa basi utanikuta. Jirekebishe mimi huwa nasema mawazo yangu. Sina unafiki.You went too far kuniita mimi house boy. Do u real know me?
 
Lunyungu,

Usipindishe hoja, anayeweza kujua maongezi kati ya mke na mume wake, mara nyingi anaweza kuwa "house boy" au "house girl". Ule ulikuwa mfano kwa kuwa uliandika taarifa kutueleza msawala ya maongezi kati ya mke na mume kuhusiana na kujihusisha na CCM.

Kama hauko karibu na mfano wa "house boy" ungeyajuwaje maongezi ya mtu na mke wake? "That is where the issue is". Tupe mbinu zinazokuwezesha kuwa karibu hivyo kati ya mke na mume wake na ukasikia wanayoshauriana. BASI VINGINEVYO TUELEZE KAMA ULIZUA MAJUNGU!

Baada ya hapo, ukanitukana matusi yote ya nguoni, lakini mimi sijakujibu kwa matusi kama yale.Haya nilisha kusamehe, ndio maana siku "react" kwa matusi kama wewe, ingawa mtu wa "level" yako angefanya hivyo.Tuendelee na mjadala endelevu bila matusi.
 
Lakini huwa kuna connection ndio maana labda London au UK huwa inakuja kwenye kila hoja
 
Lo!, "connection" ya kusikia maongezi private kati ya mke na mume? Basi kweli huko London au UK kuna mambo. Kwa kweli ukweli ni kwamba, au, NI MUJUNGU, au aliyetoa taarifa ya hayo maongezi na kwa "submission" yake ambaye ni Lunyungu lazima alikuwepo wakipeana ushauri! na alikuwepo kama nani kiasi hicho" SISEMI TENA nisije jikuta narudia tena "House boy".

Natoka Ofisini, maana sisi huku ndio usiku unataka kuingia hivyo. Bwana Lunyungu, karibu matoke, tutaongea kesho. Huku mtandao mpaka Ofisini!!
 
Issue za UK/London mara zote zinatuharibia mijadala. See, I have decided to take an unexpected action against all posts.

Lwama + Lunyungu; wazee wangu naomba mkijadiliana kumbukeni kuwa si ninyi tu mnaosoma! Umma unaona mambo mengine yasiyo ya lazima.

Inanisikitisha lakini ndiyo hali halisi

Invisible, sasa mimi imekuwaje mchango wangu umefutwa mkubwa? Sija-discuss mtu, nimetoa mawazo na data zilizoombwa. Sijawahi kugusa kwenye udaku, wala kudiscuss kina Chifupa, Zitto, Mbowe, you name it. I give my opinion on the issue without attacking/discussing the individual.
 
JAMANI WAPENDWA JF, Nitakuwa sipo kuchangia kwa maana, naenda DRC mpaka wiki ijayo jumatano,Wakimbizi wametuzidia uwezo hapa. Ngoja nikatafute ugali jamani. Bwana Lunyungu utanimiss?
 
UK TUMEZOEA KUONA MUME WA BALOZI MWANAIDI MJAAR AKIFUNGUA MATAWI KILA KONA...SASA SIJUI HUYU JAMAA HANA KAZI AU VIPI MAANA MWANZO TULIAMBIWA NI MFANYA BIASHARA LAKINI LOOKS LIKE KUFUNGUA MATAWI YA CCM NDIO BIASHARA YAKE SAA ZINGINE NAMUONEA HURUMA HUYU MAMA KUACHA HIGH FLYING LAW CAREER NA KUKUBALI NAFASI HII MAANA SIE WENGINE HATUMPUZISHI KWANI NDIO KESHAKUWA KWENYE SIASA ...

lakini huko Malaysia hali ni tofauti....

Ufunguzi wa Shina la CCM
kuala lumpur,
Malaysia.
------
Ndugu Wanachama, Wapenzi na Watanzania wote waishio jiji la kuala lumpur, Malaysia.
Mnakaribishwa katika Sherehe ya Uzinduzi wa Shina la CCM bukit jalil, itakaofanyika siku ya ijumaa, Tarehe: 03/21/2008, katika ukumbi wa:The petronas,twin tower,skybridge venue,city centrekuala lumpurqueen way.Kuanzia Saa 8:00 mchana mpaka saa 2:00 usiku.Baada ya ufunguzi wa Shina kukamilika, kutakuwa na barbeque,buffee, pamoja na drinks.pia hatuta husika na parking fee,sare za chama zitapatikana entrance.Anuani ni: 57000 vista komamwel A2-20-15.Wote Mnakaribishwa.Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali wasiliana na Ndugu Emanuel Magori Itang`are mwenyekiti wa chama kwenye namba 0122489704.
Prof:Noel Banzi
Katibu wa Siasa na uandikishaji CCM - Tawi La Bukit jalil Malaysia.
Kwa wenye kuitaji kadi za chama mapema
Wamuone makatibu wasambazaji,
Ndugu,Francis Shitindi.
Faraj Mohamed, na Frank D John
 
UK TUMEZOEA KUONA MUME WA BALOZI MWANAIDI MJAAR AKIFUNGUA MATAWI KILA KONA...SASA SIJUI HUYU JAMAA HANA KAZI AU VIPI MAANA MWANZO TULIAMBIWA NI MFANYA BIASHARA LAKINI LOOKS LIKE KUFUNGUA MATAWI YA CCM NDIO BIASHARA YAKE SAA ZINGINE NAMUONEA HURUMA HUYU MAMA KUACHA HIGH FLYING LAW CAREER NA KUKUBALI NAFASI HII MAANA SIE WENGINE HATUMPUZISHI KWANI NDIO KESHAKUWA KWENYE SIASA ...

lakini huko Malaysia hali ni tofauti....
GT, wewe ni hero wangu hapa JF katika kuweka mambo yaliyo nyuma ya pazia. Hii nimeipenda best. Mnaona wanavyoandaana? Bila kuwadhibiti hawa ni hatari kwa taifa. Watanzania hawawi trained kuwa wazalendo bali wanachama. Chuki inapandwa na kufundishana jinsi ya kulimaliza taifa. Mungu hajasinzia, chozi la mnyonge malipo kwa Mungu
 
GT, wewe ni hero wangu hapa JF katika kuweka mambo yaliyo nyuma ya pazia. Hii nimeipenda best. Mnaona wanavyoandaana? Bila kuwadhibiti hawa ni hatari kwa taifa. Watanzania hawawi trained kuwa wazalendo bali wanachama. Chuki inapandwa na kufundishana jinsi ya kulimaliza taifa. Mungu hajasinzia, chozi la mnyonge malipo kwa Mungu


Sasa Tina nnaelewa.

Nimekuwa nikujiuliza siku nenda rudi nini makusudio ya kuanzishwa haya matawi katika nchi za watu tena mchana kweupee!

Najiuliza fwedha hizi za vinywaji na mengine vinatoka wapi.

Nakuunga mkono kabisa kwamba hapa panatengenezwa njia kwa baadhi ya watu.

CCM sasa ina matawi London na vitongoji kadhaa, Reading na pale ubalozini Bond Street.

Sasa naona mambo zi mazuri.
 
Watafungua sana matawi kwenye nchi za watu lakini sijui ambavyo hao wanachama watakavyofaidi matunda ya huo uanachama especially ughaibuni. Labda ughaibuni bado watu hawajajua siri ya urembo SISIEMU. Ni ufisadi tu mpaka Makhah (I mean kama utelezi). Watu walishaanza kuchoka na SISIEMU, bado tunasubiri ripoti ya EPA tuone ile pesa iliyochukuliwa kwa madhumuni ya Usalama sijui wa Taifa au wa SISIEM zilifanya shughuli gani. Sasa ikigundulika kuwa hicho chama kilifisadi pesa ya serikali wataomba kuukana uanachama??????????
 
Hao wanapapatika maana kifo kinawakaribia ,ila wacha wafungue ili mambo ya walala hoi yawe fasta fasta ,unajua utawapa chochote wakufatizie mambo yako kwa halaka.
 
Dawa yao CCM ni kufungua matawi ya vyama mbadala nje ya nchi. Kukishakuwa na upinzani watafyata mkia. Matawi ya upinzani yatachunguza hata na kuibua hadharani ufisadi wa matawi ya CCM na hata balozi zetu huko. Duka likiwa moja linaweza kufunguliwa wakati wowote, lakini yakishakuwa mengi ushindani unafanya heshima iwe mbele.

Kwa anayeyaka kufungua tawi la CHADEMA mwezi huu wa nne atembelee http://www.chadema.net/uchaguzi/2008/taratibu.php kwa maelezo zaidi.

Asha
 
Hivi vyama vya upinzani vinakatazwa kufungau matawi nje ya nchi?Mbona wapo washabiki wengi CHADEMA huko USA akina mwanakijiji,mwafrika wa kike nk nao wao wanaweza fungua tawi lao huko USA!!
 
Back
Top Bottom