Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,890
Ninataka kujua sheria inasemaje juu ya CCM kuwa na Tawi London!
Ni baada ya kuona watanzania tunazidi kugawanyika kwa kiasi kikubwa kisa ni vyama na si maslahi ya Tanzania nimeamua kuchukua hatua za makusudi za kutaka kuijua sheria ya Uingereza inasemaje juu ya kuanzishwa kwa vyama siasa au kuwa na matawi nchini humo.
Nimeshangazwa sana na hatua ya mumewe balozi kuwa kiongozi wa tawi wakati wakijua kabisa kwamba mkewe ni Balozi wa Watanzania wa vyama vyote na wasio kuwa na vyama .Hii ni hatari sana maan nimesha ona matamko hapa kwmaba hata baadhi wanataka kuanza kususia mambo ya TA UK kwa kuwa yana baraka za kisiasa.
Viongozi wote wa TA UK ni wana CCM lakini wanasahau kwamba walichaguliwa na watanzania wote. Kwa habari hii leo balozi atakuwa na wakati mgumu maana tutaanza kumshuku kwa kuwa mumewe ndiyo kinara wa CCM na hatuwezi kusema kwamba wana tofauti hapana .
Mimi naomba msaada wenu pamoja na kwamba nimeanza kuandikia mambo ya Nje ya UK nitawapa na anuani za ofisi hizo na mamlaka zingine waweze kutueleza kama ni haki kuwa na Chama cha Siasa rasmi kama ilivyo CCM.
Watu najua mtasema CUF lakini CUF ni wapenzi tu ambao wana mshikamano. Hawana matawi wala nini na ni wa kimbizi baada ya serikali yetu ya CCM kumwaga damu kule Zanzibar.
Napinga kitendo cha bwana Majaliwa Sharif kuwa kiongozi wa CCM wakati mkewe ni Balozi tutashindwa kuuamini Ubalozi na kufika kusaidiwa na ni vyema watu wa Ubalozini kujitenga na Siasa za aina yeyote wawapo on duty. Mumewe balozi ni kiungi kikubwa hatuwezi kusema tu kwamba si balozi na hafanyi kazi Ubalozini lakini influency je ?
Ni baada ya kuona watanzania tunazidi kugawanyika kwa kiasi kikubwa kisa ni vyama na si maslahi ya Tanzania nimeamua kuchukua hatua za makusudi za kutaka kuijua sheria ya Uingereza inasemaje juu ya kuanzishwa kwa vyama siasa au kuwa na matawi nchini humo.
Nimeshangazwa sana na hatua ya mumewe balozi kuwa kiongozi wa tawi wakati wakijua kabisa kwamba mkewe ni Balozi wa Watanzania wa vyama vyote na wasio kuwa na vyama .Hii ni hatari sana maan nimesha ona matamko hapa kwmaba hata baadhi wanataka kuanza kususia mambo ya TA UK kwa kuwa yana baraka za kisiasa.
Viongozi wote wa TA UK ni wana CCM lakini wanasahau kwamba walichaguliwa na watanzania wote. Kwa habari hii leo balozi atakuwa na wakati mgumu maana tutaanza kumshuku kwa kuwa mumewe ndiyo kinara wa CCM na hatuwezi kusema kwamba wana tofauti hapana .
Mimi naomba msaada wenu pamoja na kwamba nimeanza kuandikia mambo ya Nje ya UK nitawapa na anuani za ofisi hizo na mamlaka zingine waweze kutueleza kama ni haki kuwa na Chama cha Siasa rasmi kama ilivyo CCM.
Watu najua mtasema CUF lakini CUF ni wapenzi tu ambao wana mshikamano. Hawana matawi wala nini na ni wa kimbizi baada ya serikali yetu ya CCM kumwaga damu kule Zanzibar.
Napinga kitendo cha bwana Majaliwa Sharif kuwa kiongozi wa CCM wakati mkewe ni Balozi tutashindwa kuuamini Ubalozi na kufika kusaidiwa na ni vyema watu wa Ubalozini kujitenga na Siasa za aina yeyote wawapo on duty. Mumewe balozi ni kiungi kikubwa hatuwezi kusema tu kwamba si balozi na hafanyi kazi Ubalozini lakini influency je ?