Babuwatanga
Member
- Oct 29, 2022
- 8
- 5
Kuna mahala hujamuelewa mtoa mada...Huna akili Wala huna hoja kifupi unabwabwaja! Nikuachie tu swali dogo, je, Ni wawekezaji na watoa misaada wangapi wanaoipa tz pesa ambazo toka Uhuru tunasikiaga DENI LA TAIFA je unajua mikataba iliyopo? Vita dhidi ya ushoga inatakiwa ipigwe kuanzia individual level lakini sauti ya mwisho Ni sauti ya serikali ambayo Ni CCM