Hiyo sio hoja kwenye kupiga kura kila chama kina wakala pili wakihesabu pamoja na kupiga picha matokeo tatu kura zinajumlishwa kijimbo na ile total ni rahisi kila chama kuhakiki baada ya hapo ndipo ile fomu na 34a na 34b inaletwa .makao makuu ya tume na tume inahakiki kama ile jumla iliyoletwa katika fomu na 34b inalingana na ile jumla iliyotoka kule shinani walikopiga kura yaani inztokana na fomu 34a. Sasa hata kama wakikosea kwa bahati mbaya kusahihisha inakuwa rahisi kwani kila wakala wa chama anajua jumla hivyo marekebisho yanafanyika hivyo mwanya wa fujo haupo kwani kila kitu kipo wazi. Pia aliyeshindwa anaweza kwenda mahakamani na ushahidi na mahakama ikatengua.Kuna baadhi ya maeneo kwenye ngome ya mgombea wa urais kura za urais zimekuwa nyingi kuliko kura zilizopigwa kwa wagombea wengine kama gavana, seneta, mbunge nk. Ni kama watu walikuwa wanaenda kumpigia kura rais tu na kuondoka!
Tuwaombeeni jirani zetu.
Mzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui
Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas
Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa chumba cha uhalifu akimaanisha haamini mchakato wa uhakiki
View attachment 2323329
Ni suala la muda Kenya lazima kipigwe...utasikia Mtu anahojiwa anasema Watangaze matokeo watu waendelee na shughuli zao.
Hao tume ya uchaguzi wenyewe wanajiandaa kisaikolojia kwanza maana wakitangaza matokeo ya uraisi ndio wamepiga filimbi "anzeni".
Hakuna wa kukubali mwenzake ashinde, sio Ruto wala Baba...tuwaombee sana jirani zetu hawa.
Uchumi wao ukishuka,wakwako utapanda?ngoja wapigane uchumi wao ushuke
Sijui laana. Yule hatakaa aje kuwa Rais wa Kenya.Raila ana bahati mbaya sana.
Ukienda kupiga kura unapewa karatasi za wagombea nafasi tofauti lazima idadi ya kura zilingane ila matokeo ndio yanaweza kuwa tofautiKuna baadhi ya maeneo kwenye ngome ya mgombea wa urais kura za urais zimekuwa nyingi kuliko kura zilizopigwa kwa wagombea wengine kama gavana, seneta, mbunge nk. Ni kama watu walikuwa wanaenda kumpigia kura rais tu na kuondoka!
Tuwaombeeni jirani zetu.
Atafute mganga amtoe jini mchafu huyoSijui laana. Yule hatakaa aje kuwa Rais wa Kenya.
Mwisho unasema Ruto ndiye rais wakati hata tume haijatangaza ,usipende kubuni vitu kwa ajili ya ushabiki mandazi weka kalio chini subiri matokeo.Hiyo sio hoja kwenye kupiga kura kila chama kina wakala pili wakihesabu pamoja na kupiga picha matokeo tatu kura zinajumlishwa kijimbo na ile total ni rahisi kila chama kuhakiki baada ya hapo ndipo ile fomu na 34a na 34b inaletwa .makao makuu ya tume na tume inahakiki kama ile jumla iliyoletwa katika fomu na 34b inalingana na ile jumla iliyotoka kule shinani walikopiga kura yaani inztokana na fomu 34a. Sasa hata kama wakikosea kwa bahati mbaya kusahihisha inakuwa rahisi kwani kila wakala wa chama anajua jumla hivyo marekebisho yanafanyika hivyo mwanya wa fujo haupo kwani kila kitu kipo wazi. Pia aliyeshindwa anaweza kwenda mahakamani na ushahidi na mahakama ikatengua.
Raila ameishajua ameshindwa ndio maana jana waliitisha mkutano na makamu wake akautangazia umma kuwa Raila ndiye aneshinda na kuja na hoja nyepesi kuwa wameshinda viti vingi vya ubunge na ugavana wakati wanajua fika hata kwa ushahidi wa matokeo kuwa kuna majimbo yamechagua wawakilishi toka kambi tofauti kwa jimbo hilo hilo. Kama Rsila anajua kuwa ameshinda na kama hatatangazwa anaogopa nini kwenda mahakamani pale matokeo yatakapotangazwa?
Rjto ndiye Rais
Makosa gani? Anafuata katiba inavyo sema, hivi ubajua sabanu za Uchaguzi wa 2017 kutenguliwa na Mahakama ya rufaa? Ficha ujinga wakoHuyu Mzee Chebukati naye ni shida tupu.
Miaka zaidi ya tano yote yeye na tume yake hawakuweza kujipanga kuondoa makosa ya hovyo hovyo katika muundo wa uchaguzi?
Matatizo yanaweza kuanzia kwa hawa wajumbe wa tume ya uchaguzi.
Wakati huu ilitakiwa kila kitu kiwe kimekamilika, wao wanajivutavuta na kutia wasiwasi katika uchaguzi mzima.
Tume iko ndani ya muda sawa? Ile sio NEC inafanhia kazi zake gizani? NEC hadi leo hii matokeo hayajawekwa kwenye webesite yao. Hivi NEC ingeruhusu kweli hata waandishi kwenye maeneo ya kujumlishia kura?Tume badala ya kupunguza mianya ya vurugu ni kama inachochea vurugu.
Kwani miaka mingine huwa hawatangazi? Hahaa wanasiasa kule wanaogopa sana ICC nani anataka kupelekwa Uholanzi?;Tume ya uchaguzi kwanza wanajiandaa kisaikolojia, maana wakitangaza matokeo ya uraisi ndio wamepiga filimbi, *wananchi kuliamsha.
Ndo mwisho wake sasa, namuonea huruma sana kwa sababi ndio mwisho, anaenda sasa kustafu siasa rasimiSijui laana. Yule hatakaa aje kuwa Rais wa Kenya.
Hahaaa usha ingoa kwenye Portal ya tume yao? Fomu zote ziko mule wanacho fanya sasa ni kuhakikisha hard copy basi, hakuna kingine, Ile sio NEC yenu inayo ongoza maiti za KitanzaniaMwisho unasema Ruto ndiye rais wakati hata tume haijatangaza ,usipende kubuni vitu kwa ajili ya ushabiki mandazi weka kalio chini subiri matokeo.
👇👇👇Wanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.
kila lisemwalo na Mwanadamu laweza kuwa la ukweli au la uongo.
Ndugu, usifananishe Tume huru ya uchaguzi na mipaka ya Kenya (IEBC) na takataka ya Tz!...Hivi NEC ingeruhusu kweli hata waandishi kwenye maeneo ya kujumlishia kura?