Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

Kenya 2022 General Election
Kuna baadhi ya maeneo kwenye ngome ya mgombea wa urais kura za urais zimekuwa nyingi kuliko kura zilizopigwa kwa wagombea wengine kama gavana, seneta, mbunge nk. Ni kama watu walikuwa wanaenda kumpigia kura rais tu na kuondoka!
Tuwaombeeni jirani zetu.
Hiyo sio hoja kwenye kupiga kura kila chama kina wakala pili wakihesabu pamoja na kupiga picha matokeo tatu kura zinajumlishwa kijimbo na ile total ni rahisi kila chama kuhakiki baada ya hapo ndipo ile fomu na 34a na 34b inaletwa .makao makuu ya tume na tume inahakiki kama ile jumla iliyoletwa katika fomu na 34b inalingana na ile jumla iliyotoka kule shinani walikopiga kura yaani inztokana na fomu 34a. Sasa hata kama wakikosea kwa bahati mbaya kusahihisha inakuwa rahisi kwani kila wakala wa chama anajua jumla hivyo marekebisho yanafanyika hivyo mwanya wa fujo haupo kwani kila kitu kipo wazi. Pia aliyeshindwa anaweza kwenda mahakamani na ushahidi na mahakama ikatengua.

Raila ameishajua ameshindwa ndio maana jana waliitisha mkutano na makamu wake akautangazia umma kuwa Raila ndiye aneshinda na kuja na hoja nyepesi kuwa wameshinda viti vingi vya ubunge na ugavana wakati wanajua fika hata kwa ushahidi wa matokeo kuwa kuna majimbo yamechagua wawakilishi toka kambi tofauti kwa jimbo hilo hilo. Kama Rsila anajua kuwa ameshinda na kama hatatangazwa anaogopa nini kwenda mahakamani pale matokeo yatakapotangazwa?

Rjto ndiye Rais
 
ngoja wapigane uchumi wao ushuke
Ni suala la muda Kenya lazima kipigwe...utasikia Mtu anahojiwa anasema Watangaze matokeo watu waendelee na shughuli zao.

Hao tume ya uchaguzi wenyewe wanajiandaa kisaikolojia kwanza maana wakitangaza matokeo ya uraisi ndio wamepiga filimbi "anzeni".

Hakuna wa kukubali mwenzake ashinde, sio Ruto wala Baba...tuwaombee sana jirani zetu hawa.
 
Kuna baadhi ya maeneo kwenye ngome ya mgombea wa urais kura za urais zimekuwa nyingi kuliko kura zilizopigwa kwa wagombea wengine kama gavana, seneta, mbunge nk. Ni kama watu walikuwa wanaenda kumpigia kura rais tu na kuondoka!
Tuwaombeeni jirani zetu.
Ukienda kupiga kura unapewa karatasi za wagombea nafasi tofauti lazima idadi ya kura zilingane ila matokeo ndio yanaweza kuwa tofauti
 
Hiyo sio hoja kwenye kupiga kura kila chama kina wakala pili wakihesabu pamoja na kupiga picha matokeo tatu kura zinajumlishwa kijimbo na ile total ni rahisi kila chama kuhakiki baada ya hapo ndipo ile fomu na 34a na 34b inaletwa .makao makuu ya tume na tume inahakiki kama ile jumla iliyoletwa katika fomu na 34b inalingana na ile jumla iliyotoka kule shinani walikopiga kura yaani inztokana na fomu 34a. Sasa hata kama wakikosea kwa bahati mbaya kusahihisha inakuwa rahisi kwani kila wakala wa chama anajua jumla hivyo marekebisho yanafanyika hivyo mwanya wa fujo haupo kwani kila kitu kipo wazi. Pia aliyeshindwa anaweza kwenda mahakamani na ushahidi na mahakama ikatengua.

Raila ameishajua ameshindwa ndio maana jana waliitisha mkutano na makamu wake akautangazia umma kuwa Raila ndiye aneshinda na kuja na hoja nyepesi kuwa wameshinda viti vingi vya ubunge na ugavana wakati wanajua fika hata kwa ushahidi wa matokeo kuwa kuna majimbo yamechagua wawakilishi toka kambi tofauti kwa jimbo hilo hilo. Kama Rsila anajua kuwa ameshinda na kama hatatangazwa anaogopa nini kwenda mahakamani pale matokeo yatakapotangazwa?

Rjto ndiye Rais
Mwisho unasema Ruto ndiye rais wakati hata tume haijatangaza ,usipende kubuni vitu kwa ajili ya ushabiki mandazi weka kalio chini subiri matokeo.
 
Huyu Mzee Chebukati naye ni shida tupu.

Miaka zaidi ya tano yote yeye na tume yake hawakuweza kujipanga kuondoa makosa ya hovyo hovyo katika muundo wa uchaguzi?

Matatizo yanaweza kuanzia kwa hawa wajumbe wa tume ya uchaguzi.
Wakati huu ilitakiwa kila kitu kiwe kimekamilika, wao wanajivutavuta na kutia wasiwasi katika uchaguzi mzima.
Makosa gani? Anafuata katiba inavyo sema, hivi ubajua sabanu za Uchaguzi wa 2017 kutenguliwa na Mahakama ya rufaa? Ficha ujinga wako
 
Wanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.
👇👇👇
kila lisemwalo na Mwanadamu laweza kuwa la ukweli au la uongo.
 
Lijaluo Raila liliingizwa cha kike na JK wa Kenya,Uhuru Kenyatta na safari hii halitakuwa na namna ya kuitisha maandamano maana linategemea ulinzi toka kwa walinzi wa Uhuru

Ruto kaingia Ikulu bila kurusha ngumi hata moja
 
Back
Top Bottom