MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Huyu mvaa Kobadhi anafanya Nini kwa wana demokrasia?
Huyu mvaa Kobadhi anafanya Nini kwa wana demokrasia?
Bora ujiue tu ili mume wa dadaako apumzike kukulishaMkuu mrangi hafii mtu hapa. Nilijiamin Ndo maana nikaitoa Ruto lazima ashinde na awe rais. Na sasa hivi nasisitiza tena RAILA ODINGA AKISHINDA HUU UCHAGUZ NATEMBEA UCHI HADHARANI SIKU TATU MFULULIZO HALAFU KABLA YA KUJIUA NAKUNYA VIOLENTLY NAKUTANDAZA MAVI AGGRESSIVELY KUACHA HARUFU MBAYA NA LAANA.
Prince Kunta hydroxo Ncha Kali Nyamizi Glenn Victoire Magonjwa Mtambuka ras jeff kapita adriz raraa reree MUSIGAJI Extrovert
Hahaha dogo bana najua haupendi Raila ila unamuombea ashinde tu kwa ajili yangu nijiue.Bora ujiue tu ili mume wa dadaako apumzike kukulisha
Kinuke tu.Duh....
Kikinuka itakuwa balaaa. Tuwaombee amani ndugu zetu
Wacha wapasuane tu, tujue wapi panapo vuja.Ni suala la muda tu Kenya lazima kipigwe...utasikia Mtu anahojiwa anasema "Watangaze matokeo watu waendelee na shughuli zao".
Hao tume ya uchaguzi wenyewe wanajiandaa kisaikolojia kwanza maana wakitangaza matokeo ya uraisi ndio wamepiga filimbi "anzeni".
Hakuna wa kukubali mwenzake ashinde, sio Ruto wala Baba...tuwaombee sana jirani zetu hawa.
Hahaha mkuu una vitukoHuyo ndio mimi mwenyewe nipo kuhakikisha Raila anachukua kombe
Nasikia msimamizi wa uchaguzi katekwa huko, hiyo vipi ishawahi kutokea kwenye nchi ya Amani?Mnaombea itokee vurugu mpate kwa kuanzia?Bado.Kenya wameizidi Tanzania mbali sana izungumzwapo demokrasia.Tuna la kujifunza.Hajauliwa wala kupotezwa mkinzani.Intaneti ipo vema.Na wala Chebukati hajafuta uchaguzi ingawa Raila amedai yeye ni mshindi.
NB:Hivi Jecha yupo nchi hii?
Katekwa au kaenda kunywa gongo na wenzie?Ulitaka Afrika i-practise kitu gani mbali ya demokrasia?Nasikia msimamizi wa uchaguzi katekwa huko, hiyo vipi ishawahi kutokea kwenye nchi ya Amani?
Democrats Africa tunafosi tu.
Wewe huna akili za kutumia kuona makosa?Umesema yapo mengi sana... nimekuuliza swali simple tu, kama yapi?
Unaishia kutoa povu, nani hatumii akili kati yangu na wewe?
Mimi sijaona makosa, wewe uliyeona makosa mengi na unashindwa kutaja hata moja utakuwa zezeta la wapi?Wewe huna akili za kutumia kuona makosa?
Hapo ulipo unaamini kila kitu kilikwenda sawasawa?
Usinipotezee muda wangu na maswali ya kijinga.
Hujui au?Matokeo yana shida gani?