Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,085
Mmmh, sijui maana kwa ule msafara wa Rais unavyokuwaga, sioni kabisa hiyo nafasi ya wananchi kuweza kusimama tu barabarani na kuzuia, otherwise waliambiwa kwamba Rais angepita maeneo hayo. Na sijui wakati wa kuzuia barabara walianzaje, ina maana walizuia na magari ya kawaida? Anyway sijui, but nafikiri ni jambo gumu sana, bora mngesema wameupopoa kwa mawe, lakini si kuzuia.
Lukolo mbona unakuwa kama mjinga... hivi mfano bara bara kama ile watu wasipopisha huo msafara kwa kuendelea na magari yao kama kawaida, atapita wapi? Wakipark bara barani atapita wapi? wakiweka mawe, magogo atapita wapi? wakilala bara barani atapita wapi? Jamani hata hili tunahitaji Phd zenu za kubumba?