Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,063
- 2,873
Dodoma iliasisiwa kuwa makao makuu ya CCM wakati Wa chama kushika hatamu. Ndio kisa wakajenga jengo kubwa la CCm Kizota. Nchi yetu si ile ya miaka ya 70, 80,90, tumeshaunganishwa kila mkoa kwa barabara kuu.Kila eneo la nchi linafikika kiurahisi kwa barabara, simu zipo n.kUsihofu, yale ni matamko ya mwendokasi tu. Binafsi sioni faida kwa muda huu, labda kipindi cha Nyerere ndio palikuwa na tija. Kuhama ni gharama na si kipaumbele kwa sasa.