Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

leo nimedownloard movie mbili zenye ukubwa wa 1.3GB kwa kutumia simu, vodacom pamoja sana.!!!!
 
Wale wa Airtel naona promo ya switch on inayohusu vifurushi vya data, ebu wenye laini za airtel waangalie ilituone kama wana jipya.
 
Wale wa Airtel naona promo ya switch on inayohusu vifurushi vya data, ebu wenye laini za airtel waangalie ilituone kama wana jipya.

Ni kwrli ipo ila sijajua kama ni kwa ajili ya kuperuzi tu au na ku download pia
 

Attachments

  • 1400781362903.jpg
    1400781362903.jpg
    32.8 KB · Views: 319
Voda wezi wa kutupa.Net yao ndio ya mwisho kwa speed hata uweke gb ngapi. Airtel wanafanya vizuri so far.
 
Na enjoy unlimited bundle la week kwa 6000 toka vodacom
 
Ina download fresh bila tatizo. ..!!

Vifurushi vya kuunga unga kama hivi ni chenga kwa heavy downloaders kama sisi...
Mfano hapa natafuta Driver pack solution kutoka torrent ina 7GB na nataka latest Windows 8.1 update 1 inazo 4GB jumla kumi na moja sasa kwa net kama hizi unaweza kuta unafirisika ghafla
 
Voda kuna kitu kimewashitua na kuamua kurejea upya viwango vyao vya internet. Na hii kwa kiasi fulani itakidhi mahitaji kwenye simu zetu.

nimeona kwenye taarifa ya habari leo airtel wamezindua huduma mpya ya intaneti, naona ndio wanashindana.
 
nimeona kwenye taarifa ya habari leo airtel wamezindua huduma mpya ya intaneti, naona ndio wanashindana.

watuletee 4G bwana hawa watu tunazidiwa mpaka na Uganda wana LTE ya MTN,uzuri mtandao ukiwa unatoa huduma za 3G at the same time 4G hata kama siwezi mudu kulipia 4G walau na mimi ntakua na speed iliyo Enhanced ajabu
 
Tigo ukipata 500KBps mpaka 1MB/s ni kwa bahati sana na mimi bila 1MB/sec bora niachane na kudownload yaani hainipi munkali kabisa


Mi speed ya kawaida kwa Torrent ni 300kbps bila kutumia IDM !

Tigo wananipa raha sana !
Kuna watu wana bahati blackshade imekuwa terminated !
 
Vifurushi vya kuunga unga kama hivi ni chenga kwa heavy downloaders kama sisi...
Mfano hapa natafuta Driver pack solution kutoka torrent ina 7GB na nataka latest Windows 8.1 update 1 inazo 4GB jumla kumi na moja sasa kwa net kama hizi unaweza kuta unafirisika ghafla

Ni kweli kabisa
 
Vodacom walitujali sana mwaka 2012. Kwani tulifaidi saa 4 mpaka saa12 bila speed kutetereka, Sasa hivi naona wameleta maringo kwa kuwa tumewapa attention
 
Mi speed ya kawaida kwa Torrent ni 300kbps bila kutumia IDM !

Tigo wananipa raha sana !
Kuna watu wana bahati blackshade imekuwa terminated !

Tigo wanavyo vifurushi vya unlimited?
 
nimeona kwenye taarifa ya habari leo airtel wamezindua huduma mpya ya intaneti, naona ndio wanashindana.

hv hamshtuki tu kuwa tcra ndio wanapanga hz bundle?
1. Kwa pamoja walieka vifurush vya kupiga mitandao yote
2. Kwa pamoja walieka kifurush cha 1gb kwa siku kwa buku
3.kwa pamoja walikitoa kifurush hapo juu
4.kwa pamoja wanaeka unlimited kwa buku tigo, voda nimeconfirm
 
watuletee 4G bwana hawa watu tunazidiwa mpaka na Uganda wana LTE ya MTN,uzuri mtandao ukiwa unatoa huduma za 3G at the same time 4G hata kama siwezi mudu kulipia 4G walau na mimi ntakua na speed iliyo Enhanced ajabu

mi nadhani tatizo kubwa ni bei, maspidi ya kufa mtu tayari yapo! kwa sisi wengine power users hivyo vigiga vyao vya spidi ya kasi vinaisha kwa dakika tu.
 
hv hamshtuki tu kuwa tcra ndio wanapanga hz bundle?
1. Kwa pamoja walieka vifurush vya kupiga mitandao yote
2. Kwa pamoja walieka kifurush cha 1gb kwa siku kwa buku
3.kwa pamoja walikitoa kifurush hapo juu
4.kwa pamoja wanaeka unlimited kwa buku tigo, voda nimeconfirm

mi nadhani ni ushindani tu, kuna watu wenye kutumia sana intaneti hizi tofauti ndogo ndogo za bei zina matter sana.
 
Vodacom walitujali sana mwaka 2012. Kwani tulifaidi saa 4 mpaka saa12 bila speed kutetereka, Sasa hivi naona wameleta maringo kwa kuwa tumewapa attention


Tigo bado mnawachekea !
 
Back
Top Bottom