Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 443
nimekitumia hiki kifurushi, kiko very fast katika kubrowse, ila very slow katika kudownload
Siyo kweli. Speed IPO powa kabisa. Una-download kwa kutumia software gani ?
nimekitumia hiki kifurushi, kiko very fast katika kubrowse, ila very slow katika kudownload
Dah! Voda wachafanya yao hakuna UNLIMITED tena.
Nimejaribu leo kujiunga kifurushi cha unlimited hadi nimejuta ni kwanini nimejiunga maana kusurf tu ni shida, speed ya juu ya kudownload ni 30KB/s.. Mwanzo nilikuwa napata speed nzuri sana tu baada ya kujiunga na bundle hii speed imeshuka sana.
Kifupi ni nzuri nimeipenda natumia kila siku
Unamaana gani mkuu?
kwa maana Bundle wameli limit 1GB ikiisha bundle limeisha au?
Au ulimaanisha speed majanga
Hao watakua wanakupa mb kadhaa..then zikiisha ndio inakua very slow
Siyo kweli. Speed IPO powa kabisa. Una-download kwa kutumia software gani ?
natumia uc browser.. Kwene simu. But sidhan software ndo huwa ina determine speed
Huu utamu wa kupakua movie online wengine tunaukosa,natumia apple ipad 3 64gb lakini kudownload music inagoma,kupakua videos/movies inagoma na hata itunes haifunguki,nisaidieni waungwana
Sent from my iPad
Mie mbona natumia ios 7 nina apple ipad 3 na iphone 5 nafanya yote na download movie na miziki jifunze ku utilize kifaa chako mara nyingi ili ujie ujanja wote kukwepa restrictions za apple lazma uwe computer literate sio normal user itakusumbua but ukitumia youtube utajua mengi kuhusu kifaa chako cha apple na all i can say apple make the best device on the planet os yao ni user friendly i love ios xo much jifunze tuh mkuu utaja niambia ilivyo easy