willzkichaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 422
- 190
Katika simu au computer?
Katika simu.
Katika simu au computer?
Katika simu.
Sasa nikitaka kudownload movie kwa kutumia IDM nifanyaje?
Sent from my iPad
IDM iki expire ni program gani nyingine nzuri ya kudownload vitu? naombeni msaada
IDM iki expire ni program gani nyingine nzuri ya kudownload vitu? naombeni msaada
Uki-uninstall na ku-install upya inakuaje?
(Marahaba kwa niaba yao)wamenitumia kuwa 1GB yangu imeisha ila mpaka sasa hivi nadownload vitu mpaka 400KB, Shkamoni Vodacom.
Nazani unazungumzia hii kitu. Au nimekosea???
Hewaaaa. Katika play store siipati. Hii nzuri mno maana unashushia hapohapo. Naipataje tafadhali
Hewaaaa. Katika play store siipati. Hii nzuri mno maana unashushia hapohapo. Naipataje tafadhali
Hizo firewalls unazibamizaje mkuu?
Ku injection tool unaweza kuitumia hiii inauwezo mkubwa wa ku-penetrate na kufanya injection ya firewall
![]()
Ku injection tool unaweza kuitumia hiii inauwezo mkubwa wa ku-penetrate na kufanya injection ya firewall
![]()
kaka hiyo speed kwa IDM ni kubwa sana afu MBPS kwenye dashboard ni ndogo, ukiconvert hzifiki huko..... must be a 1time thing
KwanzaNaomba mnielekeze jinsi ya kudownload movie kwa kutumia IDM kutoka torrent na pirate bay
Kwanza
Pili
- Ili kupata PREMIUM ACCOUNT wasiliana nami.
- Utapewa 1 TERABYTE [Yes GB 1,000] kwa cost ya tsh 10,000 tu.
- Kwa maelezo zaidi nipigie