Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

leo nimedownloard movie mbili zenye ukubwa wa 1.3GB kwa kutumia simu, vodacom pamoja sana.!!!!

Hallo mkuu naomba unipe maelekezo namna ya kudownload movie Kwa kitumia simu. Nina simu aina ya tecno M3. Natanguliza shukurani.
 
hv hamshtuki tu kuwa tcra ndio wanapanga hz bundle?
1. Kwa pamoja walieka vifurush vya kupiga mitandao yote
2. Kwa pamoja walieka kifurush cha 1gb kwa siku kwa buku
3.kwa pamoja walikitoa kifurush hapo juu
4.kwa pamoja wanaeka unlimited kwa buku tigo, voda nimeconfirm

Sijui,
ila kama TCRA wanahusika basi nahisi ilibidi tupewe mara mia zaidi ya Sasa.
 
Last edited by a moderator:
Hallo mkuu naomba unipe maelekezo namna ya kudownload movie Kwa kitumia simu. Nina simu aina ya tecno M3. Natanguliza shukurani.

Mkuu download app ya "show box " 1400791513574.jpg
Ukiifungua utakutana na kitu kama hiki 1400791591035.jpg kuna low, medium na quality unachagu mwenyewe kulingana na matakwa yako au uwezo wa kifurush chako. Pia unauwezo wa kuangalia online.
 

Attachments

  • 1400791793598.jpg
    1400791793598.jpg
    43 KB · Views: 361
mlioko town mnaenjoy sana huku vijijini mtandao mbovu sana, unaandika EDGE hata ufanyaje uwezi download movie au kutazama video youtube...wakuu naomba kama kuna jinsi ya kuongeza spidi mnijuze nataabika na mtandao sana

No way njoo mjini mkuu
 
Tigo ukipata 500KBps mpaka 1MB/s ni kwa bahati sana na mimi bila 1MB/sec bora niachane na kudownload yaani hainipi munkali kabisa

Speed inategemeana na mahala ulipo.
Mwingine voda ndio mtandao wenye kasi, na mwingine ni airtel na mwingine atakuambia ni tigo wakati kwa mimi nitakuambia hakuna mtandao wenye kasi kama zantel.
Hivyo mahala na idadi ya watumiaji ndio determinant ya speed utakayopata. Najua kuwa unajua kuhusiana na hili.
 
Speed inategemeana na mahala ulipo.
Mwingine voda ndio mtandao wenye kasi, na mwingine ni airtel na mwingine atakuambia ni tigo wakati kwa mimi nitakuambia hakuna mtandao wenye kasi kama zantel.
Hivyo mahala na idadi ya watumiaji ndio determinant ya speed utakayopata. Najua kuwa unajua kuhusiana na hili.

Yaap nalijua lakini iweje kwa watu wengi hapa Dar ambao nao ongea nao waseme Tigo kimeo ukilinganisha na watangulizi wengine ka Voda na Zanyel...
 
Huu utamu wa kupakua movie online wengine tunaukosa,natumia apple ipad 3 64gb lakini kudownload music inagoma,kupakua videos/movies inagoma na hata itunes haifunguki,nisaidieni waungwana


Sent from my iPad
 
Huu utamu wa kupakua movie online wengine tunaukosa,natumia apple ipad 3 64gb lakini kudownload music inagoma,kupakua videos/movies inagoma na hata itunes haifunguki,nisaidieni waungwana


Sent from my iPad


Ukiwa unatumia ipda unakua kama mfungwa yaani restrictions nyingi...think of Android tabs also
 
Jamani hii voda unlinited ya 1000 ukishamaliza gb yao speed inafika ngapi
 
Hii ndo feedback yangu kwa hii unlimited ya vodacom
unlimited voda 1000.jpg


si mbaya sana maana ilikuwa inapanda na kushuka lakini si chini ya 600kb/sec na tayari hapo nilikuwa nishadownload movie moja
 
Naomba mnielekeze jinsi ya kudownload movie kwa kutumia IDM kutoka torrent na pirate bay


Sent from my iPad
 
Naomba mnielekeze jinsi ya kudownload movie kwa kutumia IDM kutoka torrent na pirate bay


Sent from my iPad

hiyo haiwezekani ila TU kwa ku subscribe premium sites za kubadilisha Torrent files kuja direct links/downloads e.g ZBIGZ,Bybtex,justsee.it,put.io etc
Kazi kwako
 
Habari. Kwa sasa natumia utorrent kushusha movies and series. Ila naona haiko fasta kama nilivyokua natumia app ya kickass ku download. Tatizo tokea nibadili simu nimeitafuta hadi nimechoka app hii ya kushushia movies ya kickass ila sijaipata ila naona substitute zake tu.

Msaada hapa!
 
hv hamshtuki tu kuwa tcra ndio wanapanga hz bundle?
1. Kwa pamoja walieka vifurush vya kupiga mitandao yote
2. Kwa pamoja walieka kifurush cha 1gb kwa siku kwa buku
3.kwa pamoja walikitoa kifurush hapo juu
4.kwa pamoja wanaeka unlimited kwa buku tigo, voda nimeconfirm

Inawezekana kuna ukweli hapo..!! Sikuwa nimewaza hili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari. Kwa sasa natumia utorrent kushusha movies and series. Ila naona haiko fasta kama nilivyokua natumia app ya kickass ku download. Tatizo tokea nibadili simu nimeitafuta hadi nimechoka app hii ya kushushia movies ya kickass ila sijaipata ila naona substitute zake tu.

Msaada hapa!

Katika simu au computer?
 
hiyo haiwezekani ila TU kwa ku subscribe premium sites za kubadilisha Torrent files kuja direct links/downloads e.g ZBIGZ,Bybtex,justsee.it,put.io etc
Kazi kwako

Sasa nikitaka kudownload movie kwa kutumia IDM nifanyaje?


Sent from my iPad
 
Back
Top Bottom