GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,673
- 1,950
leo nimedownloard movie mbili zenye ukubwa wa 1.3GB kwa kutumia simu, vodacom pamoja sana.!!!!
Hallo mkuu naomba unipe maelekezo namna ya kudownload movie Kwa kitumia simu. Nina simu aina ya tecno M3. Natanguliza shukurani.