Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,557
- 3,902
Jamani Kampuni ya Vodacom mbona wananchi tunashindwa kuwaelewa haiwezekani leo inakaribia wiki moja mtandao wenu wa mawasiliano ni mbovu especially kanda ya ziwa simu hazitoki , data nazo ni shida, m pesa nayo ndiyo usiseme unatoa hela asubuhi inakuja message usiku hivi tatizo ni nini mtujulishe tujue hata kama mnajaribu kutatua tatizo. kwa sababu hii sasa ni too much....
Wamekusikia mafundi wao wapo Humu