Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Kama wadau wengine walivyosema...mazoea ni mabaya sana...nimefanya majaribio ya kubadili line...lakini wapi ikashindikana kuna contacts nyingi sana za watu za kibishara na kawaida....lakini lazima nichomoke one day!
Mkuu hata mimi nilikuwa nashindwa kuhama lakini taratibu nimehama nilicho fanya nikawa na cmu 2 moja ya tiGo na ingine ya Voda watu wangu wa tiGo nikawa nawapigia kwa tiGo tena nilikuwa na namba nzuri sana ni hii ****900400 bahati nzuri nikapata tiGo namba hiyo hiyo aaah baadae nikafutilia mbali nimehama voda na sasa napeta na tiGo kwa siku gharama zangu za kupiga zimepungua kwa kiasi kikubwa kuliko nilivyo kuwa Voda sms xtreme ni 400/= kwa siku unachombeza na watu wote wa mitandao yote nchini. Mpaka sasa nimeota sugu dole gumba kwa kutuma sms.
Cha ajabu juzi kati hapa nilienda kuomba namba Zantel hizi hizi ****900400 nikanyimwa nikaambiwa nilipie Tsh.500,000/= kupata line hiyo nikamwambia mama hii kampuni inawateja kiasi gani mpaka nilipie kilo tanoi? Mbona nina namba ya voda na tiGo namba hiyo hiyo wakasema ndo sheria wamejiwekea kuwa eti namba inayo ishia na 00 lazima ilipiwe laki tano nikamwambia muda si mrefu kampuni yenu mtafulia endeleeni na utaratibu wenu.