mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,770
- 4,260
Habari IPO namna hii,
Mimi ni mwenyekiti wa kikundi Fulani na watu huwa wanatuma pesa zao kwenye akaunt yangu kwa ajili ya kuwalipia M-Koba..
Laini nnayoitumia nliisajili kwa kitambulisho cha nida cha mke,. Nikaona isiwe kesi ,mke afute usajili ili nisajili kwa kitambulisho changu..na wakati huo akauntu ilikuwa na sh.30000..
Cha kushangaza Mara baada ya mke kufuta usajili na nikasajili kwa kitambulisho changu ile 30000 wakaifyeka, nikawapigia wakasema niende voda shop iliyo karibu yangu niwaeleze watanipa fomu nijaze nikafika walichonijibu wanasema nihesabu nimepoteza hiyo hela na nikiitaka basi niende mkoani kampuni ya voda naomba chonde chonde rudishen pesa hiyo haraka kabla sijawaburuza mahakamani
Mimi ni mwenyekiti wa kikundi Fulani na watu huwa wanatuma pesa zao kwenye akaunt yangu kwa ajili ya kuwalipia M-Koba..
Laini nnayoitumia nliisajili kwa kitambulisho cha nida cha mke,. Nikaona isiwe kesi ,mke afute usajili ili nisajili kwa kitambulisho changu..na wakati huo akauntu ilikuwa na sh.30000..
Cha kushangaza Mara baada ya mke kufuta usajili na nikasajili kwa kitambulisho changu ile 30000 wakaifyeka, nikawapigia wakasema niende voda shop iliyo karibu yangu niwaeleze watanipa fomu nijaze nikafika walichonijibu wanasema nihesabu nimepoteza hiyo hela na nikiitaka basi niende mkoani kampuni ya voda naomba chonde chonde rudishen pesa hiyo haraka kabla sijawaburuza mahakamani