Vodacom ni balaa

Mkuu mbona mimi napata kama kawa?
Kuna jamaa angu yupo kwa wauza sembe Colombia iwa ananitumia sms kama kawa.
Una bahati, manake jamaa zangu wamejaribu kubadilisha kampuni kadhaa huko majuu ili wanipate kwenye TiGo pasipo mafanikio.. wakanishauri niingie Voda ama Zantel..

Lkn Colombia sawa na Bongo tu..hivyo sio ajabu
 
Kama mi nimekuongepea Nyamayao niombee basi hiyo namba nije nichukue kwako kama hutatajiwa kilo tano omba namba hii kama mi naongopa ****900400


babake sio kwamba unaongopa, nimeshangazwa na hiyo gharama....khaa
 
yes! huu mjadala ni safi sana! Imagine voda pesa mtu unalipa mara mbili mtumaji 900 kwa mfano na mpokeaji 900 jumla 1800 per transaction! huu si wizi jaman afu ooh kuna voda foundation et wametoa dawati 20! wizi mtupuuuuu! Alafu jamani tukumbushane hizi rate si ni kabla ya VAT kushukaaaa? sasa mbona rate bado ziko juu wakati tunaambiwa cost in vat inclusive1 I think they have to rethink if not us to rethinks!
Thanks
 
babake sio kwamba unaongopa, nimeshangazwa na hiyo gharama....khaa

Hehehe ndo hivyo mama mitandao mingine tunaogopa kuingia kutokana na terms and condition kuwa ngumu wanadai ni special number kwa watu maalumu mapapaa.
 
Mkuu mbona mimi napata kama kawa?
Kuna jamaa angu yupo kwa wauza sembe Colombia iwa ananitumia sms kama kawa.


hata mie nikiwa home mtandao ninaotumia ni tigo na ninapata msg za nje kama kawaida.
 
Una bahati, manake jamaa zangu wamejaribu kubadilisha kampuni kadhaa huko majuu ili wanipate kwenye TiGo pasipo mafanikio..

Mkuu ungejaribu kuwauliza kwa nini hupati sms toka ng'ambo alafu nina jamaa angu China nae iwa ananitumia sms kama kawa.
 
hata mie nikiwa home mtandao ninaotumia ni tigo na ninapata msg za nje kama kawaida.

Yeah mi nashangaa watu wanasema hawapati sms wengine mbona tunapata ni bora kuwapigia tiGo wenyewe kwa huduma ya haraka piga namba hii 0713800800.
 
huyo asiepata sms toka nje may be hand set yake analog, Tigo unapokea popote, sasa wewe unataka voda kupokea sms toka nje? mara ngapi unapokea na unapiga cmu za nchini ngapi? tafakari nyie ndo mabuzi ya voda
 
Wakuu,

Si jambo la busara kuamua kuhama Company A kwenda B kwa sababu ya "hisia" kuwa Company A "inakuibia". Jambo la busara ni kufanya uchunguzi/utafiti mdogo na kutambua ni nini kinachojiri. Kupiga simu mbili ikachukua Tshs 5000 si kigezo sahihi cha kusema "rate" zao ziko juu au wanatumia njia fulani "kuiba".

Hebu tupige "Custama Kea" tujua rates halafu turudi jamavini na data halisi. Baada ya hapo mtoa mada atwambia hizo "simu" mbili alikuwa anapiga wapi (Local fixed line/VodaCom/Other Mobile Operator, Regiaonal e.t.c)

Baba Enock, mie sikubaliani na ww kwamba kumwambia mtu ahame mtandao A na kwenda mtandao B ni hisia, watu wanaongelea facts hapa. Angalia jamaa alivyokokotoa bei ya kupiga dk 1 kwa simu ya voda hapo juu, then ujue ni kiasi gani mnakamuliwa na kampuni yenu.
Mie naona ukimwambia ndugu yako ahame mtandao wa ghali na kuhamia wa bei rahisi ni kumsaidia.
Kuhusu huduma kwa wateja, makampuni yote hayapishani, haziridhishi kabisa. Huduma kwa wateja ni mbovu sana. Km huamini piga Zain 100 usikie unachoambiwa, utachoka! Hali kadhalika mitandao mingine ni hivyo hivyo. tumeshajadili sana suala hili la huduma kwa wateja hapa JF, sina haja ya kulirudia.
Gharama za voda ziko juu!


Sikushauri uziamini sana hizi rates zilizo ktk mtandao, cha kufanya ni kupiga simu na kuangalia hali halisi, ili ujue iwapo hicho walichoansika mtandaoni ni sahihi ama la, ndipo utapata jibu sahihi.
Gharama za voda ziko juu!


............Mitandano ya kutumia ni zantel na tigo bse gharama zao ni nafuu.

Ni kweli.
Ushahidi ni kwamba, hayo makampuni mawili pamoja na zain wana huduma za kupiga simu kwa siku nzima kwa gharama isiyozidi TZS 2000/-, kwa mteja wa mtandao wao, au unachagua kupiga simu kwa TZS 1/- kwa sekunde (plus 18% VAT) kwa mtu yeyote wa mtandao huo kwa saa 24 (tigo na Zantel).
Je voda wana huduma hizi kwa kila mtu wa mtandao wao?


......Kama wakaa uko nje ya mji au vijijini kwenye mitandao ya tigo na Zantel, voda au zain za nini?...

Wahusika watakujibu

.....Kuokoa hgarama za maisha tumia tigo na zantel kwisha kazi unaongea kwa raha na amani....
Kabisa

....Wito washushe bei kama wenzao simu sio ANASA JAMANI!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama wana masikio na wasikie!

....lakini lazima nichomoke one day!

Nahisi hio one day unayoongelea ni pale ambapo utaweka shs 10,000/- na kuongea dakika 2 halafu alarm ya kushiwa salio inabip. Angalia pia usije kuingia zile huduma zao za kujisajili, huwa zinawalia watu pesa bila wao kujua.

...Tatizo nililokuwa nalo ni kuwa sijui niende wapi kwenye afadhali....

Zantel au Tigo.
Nukta
 
Last edited:
Ama kweli JF kuna promo ya Tigo. au JF inafadhiliwa na Tigo? ndio maana wengi waisifu
 
Ama kweli JF kuna promo ya Tigo. au JF inafadhiliwa na Tigo? ndio maana wengi waisifu
unakosea hapa hatuongelei tigo tunaongelea bei, hata voda wakiwa bei chini hakuna haja ya kuwahama!! cmu ghali kuliko hata msosi unaokula kwa siku?
 
Wana JF salaam,wahenga wanasema baniani mbaya kiatu chake dawa... licha ya gharama za Vodacom kuwa kuuuubwa lakini Network Quality na Clarity haswa katika Mikoa hii ya kusini ni nzuri kupitiliza,Zain na tigo hakuna lolote Network si nzuri... nashukuru kuwa Zantel wanafanya Roaming nao hivyo nafurahia huduma nafuu ya Zantel kwa kutumia mtandao wao nadhani ni wakati mbadala wa WanaJF kujiunga na Zantel kwa gharama nafuu na kupata huduma za uhakika za Vodacom...Pamoja na kwamba Zantel wana-roll out Network yao nipo Sumbawanga Zain Kaputi,tIGO Kaputiiii...
 
Wana JF salaam,wahenga wanasema baniani mbaya kiatu chake dawa... licha ya gharama za Vodacom kuwa kuuuubwa lakini Network Quality na Clarity haswa katika Mikoa hii ya kusini ni nzuri kupitiliza,Zain na tigo hakuna lolote Network si nzuri... nashukuru kuwa Zantel wanafanya Roaming nao hivyo nafurahia huduma nafuu ya Zantel kwa kutumia mtandao wao nadhani ni wakati mbadala wa WanaJF kujiunga na Zantel kwa gharama nafuu na kupata huduma za uhakika za Vodacom...Pamoja na kwamba Zantel wana-roll out Network yao nipo Sumbawanga Zain Kaputi,tIGO Kaputiiii...

Jinsi tunavyopenda uzushi wa rejareja ...

Hiyo umefikiaje ndugu? Au umejuaje juaje yani kwamba Vodacom ndio wanaongoza kwa netowk quality?

Ninavyojua zipo jinsi za kupima network quality ili kupata picha nzuri ya network quality. Na baadhi ya makampuni ya simu huwa wanafanya hili zoezi, Voda ikiwapo, ili waweze kulinganisha quality zao na za competitors. Nnakuchallenge upate report ya hayo majaribio, hata kutoka kwa voda, uziangalie halafu uje hapa uyaandike tena hayo uliyoyaandika ukiwa unajua ukweli.
 
,,,,aah asikuambie mtu bwana tiGo ni pouuuwa kabisa kwa sisi watu wa kipato cha kati na pangu pakavu tia mchuzi,yaani huna presha ya kuongea kwenye simu ka unakimbizwa,unaweka jero lako,na unasemezana na watu kibao,na siku hizi Dole gumba ndo litakoma,,,,Mzee KIBUNANGO settings katika simu yako(handset) zipo ok lakini??,,Manake mie napata sms kibao tu toka UK na hata DUBAI mzee.
 
unakosea hapa hatuongelei tigo tunaongelea bei, hata voda wakiwa bei chini hakuna haja ya kuwahama!! cmu ghali kuliko hata msosi unaokula kwa siku?
Hata kama bei ingekuwa chini kama unaupiga vita hupaswi kutumia Vodacom...
 
Lunyungu aliwahi kuleta hoja binafsi hapa jamvini akiwaasa kuachana na vodacom.Ile kampeni iliishia wapi ? Sisis Watanzania bwana
 
Back
Top Bottom