GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 5,962
- 8,497
Kuna dada anatumia namba angu ya simu,simu angu ikiwa offair ukipiga kuna dada huwa anapokea na anajibu hovyo nakutukana wanaompigia.ameshamtukana mke wangu mara 2,nahili limeshakuwa tatizo kubwa nakwa bahati mbya sipo nyumban nipo safarini.nimewapigia vodacom kuhusu hili tatizo langu bdo hawajalifanyia utatuzi wa tatizo hili.pls vodacom wenye tatizo hili nadhani wako wengi naombeni mlifanyie kazi.