Poa. Wafuate ofisini kwao waambie makavu makavu kuwa wanataka kukuvunjia ndoahapana nimesha cheki hakuna call diverted
Kuna dada anatumia namba angu ya simu,simu angu ikiwa offair ukipiga kuna dada huwa anapokea na anajibu hovyo nakutukana wanaompigia.ameshamtukana mke wangu mara 2,nahili limeshakuwa tatizo kubwa nakwa bahati mbya sipo nyumban nipo safarini.nimewapigia vodacom kuhusu hili tatizo langu bdo hawajalifanyia utatuzi wa tatizo hili.pls vodacom wenye tatizo hili nadhani wako wengi naombeni mlifanyie kazi.
Geba wee mtoto wa kiume usipende kuendeshwa na mwanamke. Akipigiwa simu na sauti ya kike. mwambie huyo alikua mpenzi wangu wa zamani lkn tuliachana. sio unaipigia papuchi magoti hawa wadudu wakishajua wewe ni dhaifu kwao utakula makande siku ya eid el fitr
hakuna janjanja,nimecheki hakuna call diverted tatizo lipo kwahao voda
Wewe acha kuwasingizia voda kubali ulichepuka huko ulikokuwa.
Ni kweli mkuu upo sawa kabisa lakin inawezekana kabisa hili tatizo halipo kwake ajaribu kuwasiliana na huyo dada kupitia no nyingine amuombe abonyeze hizo no.Ikishndikana hapo watembelee hao jamaa ofsin kwao bila shaka utasaidiwa.Na hilo ndo tatizo lako kubwa, ubishi, unashindwa kuaccept tatizo ili upewe utatuzi. King'asti kakupa utatuzi wa tatizo lako bado unabisha. So what do u think that will be the possible cause other than this boss? Maana unaposema tatizo lipo kwao nashindwa ku-imagine unamaanisha nini hapa.
Sasa nakupa 3 options.
1. Press ##002# OK. Au,
2. Go to Settings > Call Settings > Call divertion > select Cancel Incoming Call divertions/Cancel All Call Diverts
3. Ikiwa bado nafsi inakutuma kubisha basi ni-pm namba yako nikiingia kwa ofisi nikuchekie kama hzo settings zipo niku-deactivate.
Pole kwa masaibu.
Ni kweli mkuu upo sawa kabisa lakin inawezekana kabisa hili tatizo halipo kwake ajaribu kuwasiliana na huyo dada kupitia no nyingine amuombe abonyeze hizo no.Ikishndikana hapo watembelee hao jamaa ofsin kwao bila shaka utasaidiwa.
hahaaaaahaHii mitandao ina shida sana, mimi nasumbuliwa na tigo nikimtumia wife sms wanamtumia za zamani sana mpya haiendi au waunganisha kipande cha mpya na ya zamani nshawapigia lkn tatizo linaendelea tu, siku wakichukua sms ya mchepuko waipeleke kwa wife ndipo maji nitaita mma.
hahaaaaaha
Mkuu umenivunja mbavu asubuhi asubuhi na mchepuko akigundua atakutumia za mfululizo lol:smile-big:
Hii mitandao ina shida sana, mimi nasumbuliwa na tigo nikimtumia wife sms wanamtumia za zamani sana mpya haiendi au waunganisha kipande cha mpya na ya zamani nshawapigia lkn tatizo linaendelea tu, siku wakichukua sms ya mchepuko waipeleke kwa wife ndipo maji nitaita mma.
Geba wee mtoto wa kiume usipende kuendeshwa na mwanamke. Akipigiwa simu na sauti ya kike. mwambie huyo alikua mpenzi wangu wa zamani lkn tuliachana. sio unaipigia papuchi magoti hawa wadudu wakishajua wewe ni dhaifu kwao utakula makande siku ya eid el fitr