vocha for internet tunnel

vocha for internet tunnel

HA ha ha ha ha h heeeeeeeeeeeeeeeeeee hehe he he he maweeee
Devo kupata msaada piga 112 huduma kwa wateja humu ndani tunaroho mbaya
 
HA ha ha ha ha h heeeeeeeeeeeeeeeeeee hehe he he he maweeee
Devo kupata msaada piga 112 huduma kwa wateja humu ndani tunaroho mbaya

Mkuu Msamiati achana naye huyu. ni wa kumpotezea tu. si unaona hata hatumjibu tena...... fanya kama hamna kitu vile
 
Mkuu Msamiati achana naye huyu. ni wa kumpotezea tu. si unaona hata hatumjibu tena...... fanya kama hamna kitu vile
kulikoni mkubwa mbona memba wako wa Super-GURU wanapita pita kuomba proxy?
Je hainatiani tena au...........?
 
kulikoni mkubwa mbona memba wako wa Super-GURU wanapita pita kuomba proxy?
Je hainatiani tena au...........?
SAMRICH1 yeye ni mgeni wala hajui kuhusu tunnel guru. muda mrefu alikuwa nje ya JF kama alivyojieleza mwenyewe.
wala mimi sina kinyongo na wewe kaka. sema joining date yako ya JF tu ndio ilinipa mashaka.
kwa mwenye kutaka vocha zaidi ya moja bei imepungua hadi buku 8.
kwa mwenye vigezo ani PM
 
SAMRICH1 yeye ni mgeni wala hajui kuhusu tunnel guru. muda mrefu alikuwa nje ya JF kama alivyojieleza mwenyewe.
wala mimi sina kinyongo na wewe kaka. sema joining date yako ya JF tu ndio ilinipa mashaka.
kwa mwenye kutaka vocha zaidi ya moja bei imepungua hadi buku 8.
kwa mwenye vigezo ani PM
teeh.........!!!
 
DEVUQUARTER mwache mzee awe mzee tu kaa pemben sis wazito aka wakongwe tunaoujuwa uchungu wa kumpata bata tupishwe tujisevie mapaja nyie watoto wa saiz kaen pemben tusije tukawapa mapaja mkampa mbwa muwe mnasubir kashingo ka ucku a.k.a wajanja night offer
 
najpanga nami nipate sukar guru nlikua cjajua mambo y masomo yalibana kdogo wajomba
 
hii kitu hata gb 30 unashusha au ina limit jamani nielewesheni vizuri kabla sijanunua kw mlio wai kununua
 
mkuu Paje nimesoma thread yote hadi hapa nimetoka kapa, embu nifafanulie hii kitu inakuaje? yani sina nijuacho zaidi yakuchomeka kamoderm kangu nakufungua internet na ku'download kile ninachoweza, embu nipe darasa kamanda....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom