vocha for internet tunnel

vocha for internet tunnel

Iwe isiwe itahamika tu kwamba Hanna kitu hapo maana mtoa mada simuamini, labda angekuwa e2themiza wa ukweli au chief-mkwawa ningewaelewa

tarehe yako ya kujiunga na JF na status yako kuwa wewe ni just MEMBER tu, kunakufanya usiruhusiwe hata kufungua hii page. wewe hii haikuhusu. bado ni too young to recieve any information. tena mwezi ulojiunga weye ndio lile gari likapinduka.......hii inanifanya nikushuku. he he he heeee
 
tarehe yako ya kujiunga na JF na status yako kuwa wewe ni just MEMBER tu, kunakufanya usiruhusiwe hata kufungua hii page. wewe hii haikuhusu. bado ni too young to recieve any information. tena mwezi ulojiunga weye ndio lile gari likapinduka.......hii inanifanya nikushuku. he he he heeee
Paje Hachana na huyo "sizitaki mbichi hizi" Kamanda wangu
 
Last edited by a moderator:
baada ya kuwaomba, wamekubali kuongeza idadi ya server na kuruhusu torrents. sasa wanaruhusu torrents katika high speed server ila kuna servers zinaruhusiwa torrents , na kuna servers zisizoruhusiwa kudownload torrents ,,,,,,,,, kuwa makini ...... ukihitaji torrents hakikisha upo kwenye servers zinazoruhusiwa torrets ..... zicheki kwenye website yao....
 
angalau wamekubali torrents maana niliona ngumu kidogo bila torrents, japo ''zbigz'' ipo.
Ila bado shida moja: waombe ili ikubali kwenye computer zaidi ya moja maana sasa hivi ni unaweza kuitumia kwenye computer hiyo tu uliyoji-register nayo account yako.
Yaani nilitaka nitumie kwenye laptop na baadae ni-shift kwenye desktop ninapokuwa nimetulia kwa maza ki-home.
 
wadhee mamboz?
mimi ni reseller wa vocha za www.tunnelguru.com kama kuna mtu anahitaji ani pm. ni buku 10 unlimited monthly. muda wa mauzo ni anytime lakini mara nyingi ni kuanzia saa 12 jioni ndio huwa nimeshatulia.... this little tunnel really kick ass
Mkuu naomba uni pm huu mchakato ama mimi pia nimekuwa banned ndani ya hichi chama?????
 
Mkuu naomba uni pm huu mchakato ama mimi pia nimekuwa banned ndani ya hichi chama?????
usijali kamanda. kwa sasa wanafanya marekebisho ya server. nilichelewa kuona PM yako. wakirekebisha nitakutafuta.....
 
yeah. wakuu kuna tatizo tokea jana. lililosababishwa na wanaijeria. mambo yao ya spamming na ku attack servers. kama walivyofanya kwa pd proxy. lakini jamaa wamesema watajitahidi hadi jumanne watakuwa wamerekebisha zile servers za us. za romania zitapona karibuni. hii hapa email WALIYONITUMIA....
Dear User,
Massive SPAM attack carried out using yahooMail service which
terminated all our USA servers. .We have ordered for new servers from
other ISPs , due to weekend order will be executed on Monday.

Pls use ROMANIA server till that time. Those are working as expected.
ServerList - http://web-tunnel.com/serverlist.php

Thanks for cooperation
Admin
 
Romania servers are working now. nita wa update walioni PM baada muda muchache...... hii server iko swafi hadi leo 93.114.43.209
 
Mkuu Paje hiyo ni basi gani? Hata kwa PM mkuu plz reply!!
 
Last edited by a moderator:
tayari wameweka server za united kingdom. sasa hali imerudi swari full speed kama kawa. server za uingereza haziruhusiwi torrent. za romania zinaruhusiwa. i hope utakuwa makini......
zbigz.com premium account kwa muda wa siku tatu kuanzia leo:
cookie name😛HPSESSID
cookie value:jtp170ktsamasq78npnmlpk9s7 (haina space between the letters....)
tumia mozilla firefox lakini inatakiwa uwe tayari ushajisajili zbigz.com. kupata premium rekebisha cookies zako kwa msaada wa addon inaitwa cookies manager plus https://addons.mozilla.org/en-us/firefox/addon/cookies-manager-plus/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom