ukitaka kutumia utorrent kwa lengo la kudownload torrent tumia server za Romania. halafu nenda kwenye option = preferences= connection na utaona sehemu ya kuweka proxy. angalia mchoro huu hapo chini
ukitaka kutumia utorrent kwa lengo la kudownload torrent tumia server za Romania. halafu nenda kwenye option = preferences= connection na utaona sehemu ya kuweka proxy. angalia mchoro huu hapo chini
Teh teh teeh.. kho khoo..khoo ! kutangulia si kufika!!Join Date : 20th June 2012
<dt>Likes Given 2
</dt>
ukitaka kutumia utorrent kwa lengo la kudownload torrent tumia server za Romania. halafu nenda kwenye option = preferences= connection na utaona sehemu ya kuweka proxy. angalia mchoro huu hapo chini
Bado hamjanishawishi kabisa tena yaelekea wote mwaganga njaa tu.![]()
Mia mia kaka!!
Pole nasikia kulingana na status yako wewe pia ni mtoto tu so huruhsiwi kutazama picha la wakubwaMkuu naomba uni pm huu mchakato ama mimi pia nimekuwa banned ndani ya hichi chama?????
Bado hamjanishawishi kabisa tena yaelekea wote mwaganga njaa tu.
WeweShaffin Simbamwenenaona umekuwa mpiga debe wa karata tatu,Mr Kicheko twende kazi usifute mapondo bana kwa'n cha kuogopa nini hapa wewe ponda ponda tu if possible.
mkuu munjy1 achana na mautumbo ya huyo bwana,kifupi hana jipya huyo zaidi ya kuganga njaa tu.
Fanya juu chini uturudishie PD- yetu tuondokane na huu utumbo.
mpm muanzisha madaWaungwana punguzeni tafsida kidogo hebu niambieni nimeona kautaratibu kakutumia proxy sijui macho yangu au ndivyo ilivyo au vipi. sema vipi kuhusu java haiwi disabled? maana mabasi ya waenda kwa miguu ukitumia proxy java inakuwa disabled INAKERAAAAAAAAAAAA
wadhee mamboz?
mimi ni reseller wa vocha za TunnelGuru VPN, HTTP Tunnel, ICMP Tunnel, HTTP Proxy, Web Proxy kama kuna mtu anahitaji ani pm. ni buku 10 unlimited monthly. muda wa mauzo ni anytime lakini mara nyingi ni kuanzia saa 12 jioni ndio huwa nimeshatulia.... this little tunnel really kick ass
Naomba unieleweshe kuhusu hyo inshu vzuri. Cjaele kwamba hzo vocha ndo zna2mikaje au ndo kwa dizaini ipi?
Naona unakamua muwa mpaka unapagawa kaka!!Aisee Pajero we ni noma
mbona nishawachabo kitambo!!bro hizi vocha zina umri. Kwa ambaye hajatimia umri haruhusiwi. Ni kwa ajili ya watu waliojiunga jf kabla ya mwaka 2012. Sorry for that. I hope you will understand na hutokuwa kama devuquarter-devukota pale alipoambia hajatimia umri akaanza kuandika matapishi hali akidhani kuwa atapata angalau mtu mmoja wa kumsupport.
Nategemea wewe ni muelewa.