Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,107
- Thread starter
- #41
Kuna Watanzania hawajali kabisa pale nchi yao inapofisadiwa. Wao kwa kuwa wanapata manufaa mawili matatu baasi, hawana mpango na manufaa mapana ya Taifa.
Hawana tofauti na Wale watu wanaowashangilia majambazi kea kupora pesa kisha wakamwaga chache barabarani watu wazigombanie ili wao wasepe kiulaini!
Hawana tofauti na Wale watu wanaowashangilia majambazi kea kupora pesa kisha wakamwaga chache barabarani watu wazigombanie ili wao wasepe kiulaini!