Vivuko vya Azam pale feri Dar es salaam kuna dalili za Ufisadi

Vivuko vyetu vinakalishwa sana tena makusudi huku Abiria wakipakiwa kwenye vile vya Azam. Sijui Azam wanalipwa kwa idadi ya trips wanazofanya?
Mkuu 'Missile', mara kwa mara huwa napenda sana aina ya mijadala unayoiibua hapa JF.

Kwa mfano hii ya leo, ni mfano mzuri sana kwa mtu anayependa kutetea hoja yake ya kwamba serikali haiwezi kufanya biashara. Ijitoe kabisa katika sehemu yoyote ile, hata kama ni eneo la huduma mhimu kwa wananchi.

Hapa Azm shaona fursa ya faida, na anatumia kila aina ya mbinu kuonyesha kwamba serikali haiwezi kufanya biashara; hata kama ni kwa njia za uhujumu wa kazi inazozifanya serikali.

Sasa mimi ningefurahi akajitokeza mtu kama Roat hivi, au Mo, na wao wakasema wanaitaka kazi hiyo ya kuwahudumia wanaKigamboni.
Nadhani hilo lingekuwa ni jambo jema sana.
 
Umeona eh!

Azam kapewa dili kimyakimya bila tenda kutangazwa. Ni Upigaji mwingine katika serikali ya awamu ya Sita.

Hiki chanzo cha Mapato kilikuwa ni chanzo cha uhakika cha mapato ya serikali, Leo wahuni, Mafisadi na Wapigaji inaelekea wameweka 10% yao kupitia hii kitu.

Wizi mtupu!
Na tiketi zao za kuchapisha :cool:
 
Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.

1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri

Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.

2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.

Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.

3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam

Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.

4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapeea dili wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo

1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida

Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.

Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085

Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?

View attachment 2468089
Very true
 
Wanalipwa kila trip Suma anaandika kikijaa full anaandika 250+ anaandika departing time na arriving time
Btw na mimi nilijua sheikh azam katoa msaada mpaka nlipokuja kujua kumbe wanahesabu na wao
Ni aina mpya ya kuwalaza akili waTanzania.

Subiri yatakayotokea TPA, baada ya TICTS; hivyo hivyo na sehemu nyingi mbalimbali nchini; hata kwenye siasa ni hivyo hivyo. Using new approach in doing the looting while achieving the same results.
 
Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.

1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri

Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.

2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.

Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.

3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam

Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.

4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapeea dili wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo

1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida

Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.

Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085

Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?

View attachment 2468089
Niliwaambia watu wapumbavu walio jazana jf na kwenye chama cha mabuzi wakapinga na kutukana
 
Niliwaambia watu wapumbavu walio jazana jf na kwenye chama cha mabuzi wakapinga na kutukana

Hata mimi ninashangaa watu humu JF wanaotetea mambo ya upigaji na ufisadi serikalini.

Azam amepewa hii tenda kinyemela, kimyakimya na kuna dalili za 10% za wakubwa katika hii huduma wanayotoa.

Ukifika pale Feri na Kigamboni, utaiona hujuma ya wazi ambayo vivuko vya serikali vinafanyiwa ili Vivuko vya Azam vipige kazi.

Yaani, Vivuko vya serikali vinakalishwa muda mrefu bila kuondoka, ili vya Azam vipige trip nyinginyingi maana abiria wanahaulishwa kwenye vivuko vya AZAM.

Kwa kuwa wenye magari hawana namna isipokuwa kuvuka kwa kutumia vivuko vya serikali basi wanapotezewa muda sana maana vivuko vya serikali vinakalishwa mno.

Pale feri kipindi kuna vivuko vya serikali peke yake hakukuwa na kuchelewa kuvuka, ulikuwa ukifika unakaa dakika chache tu za kusubiri. Kulikuwa na vivuko vikubwa viwili, vya Mv Kigamboni na MV Magogoni. Na vyote vilikuwa vinapiga kazi simulteneously, Kila kimoja kikienda upande mmoja kinakuta abiria wa kutosha wameshakusanyika, hakikai sana. Lakini leo vinasubirishwa ili Azam abebe abiria waliokusanyika huku vyenyewe vikikaa sana.

Hapa cha kujiuliza Azam analipwa sh ngapi kila tripu?

Tenda ilitangazwa lini?

Au wanamlipa kinyemela mzee Bakhressa aliwapa nini?

Kwa sasa uhitaji wa vivuko vya AZAM unatokana na nini wakati vivuko vya serikali vipo na vinafanya kazi vizuri?
 
Hajui huyu...
Huu ndio ujinga unaotumiwa vizuri sana na hawa wahujumu wa nchi.
Hapa mjinga kama wewe huoni hujuma inayofanywa kwa maksudi kabisa juu ya hivyo vyombo vya serikali ili vionekane haviwezi kufanya kazi kwa ufanisi..., halafu mtu mjinga kama wewe na huyo mwenzako mnashangilia nchi yenu kuhujumiwa!

Kuna kitu gani cha kipekee sana kinachofanywa na hivyo viboti vya Azam, ambacho serikali haiwezi kukifanya?
Watu wanahujumu juhudi za nchi, halafu wapumbavu fulani hapa wanashangilia!
Hovyo kabisa.
 
Huu ndio ujinga unaotumiwa vizuri sana na hawa wahujumu wa nchi.
Hapa mjinga kama wewe huoni hujuma inayofanywa kwa maksudi kabisa juu ya hivyo vyombo vya serikali ili vionekane haviwezi kufanya kazi kwa ufanisi..., halafu mtu mjinga kama wewe na huyo mwenzako mnashangilia nchi yenu kuhujumiwa!

Kuna kitu gani cha kipekee sana kinachofanywa na hivyo viboti vya Azam, ambacho serikali haiwezi kukifanya?
Watu wanahujumu juhudi za nchi, halafu wapumbavu fulani hapa wanashangilia!
Hovyo kabisa.
Sawa
 
Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.

1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri

Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.

2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.

Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.

3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam

Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.

4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapewa dili na wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo

1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida

Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.

Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085

Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?

View attachment 2468089
Umegundua leo!nchi hii kila Kona ni upigaji tu
 
Mv magogoni na vyezake haviko salama mtakuja zama mkakumbuka mwaka 1985 baada ya kivuko kuzama na kuua woooote
 
Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.

1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri

Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.

2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.

Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.

3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam

Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.

4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapewa dili na wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo

1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida

Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.

Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085

Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?

View attachment 2468089
Panda kile kivuko unachoona kiko salama.kwani ni lazima kupanda ya Azamu
 
Nina wasiwasi na ulichoandika hapo.

Nachokumbuka vivuko vya Azam vilipewa kazi baada ya vivuko vingine kuwa matengenezoni, hivyo pakawa na uhaba wa vyombo vya usafiri, ukawepo usumbufu kwa abiria, ndipo Azam wakaombwa kutoa hiyo huduma.

Kama kwa sasa pametokea hali isiyo ya kawaida, sioni kama hilo litakuwa ni tatizo la Azam, huo ni uzembe tu wa wasimamizi wa mamlaka ya usafiri huko bandarini.

Walichotakiwa kufanya kama vivuko vingine vilishapona, ni kusitisha mkataba na Azam, lakini kuwaacha Azam waendelee ni sawa na kukaribisha vurugu, japo pia, uwepo wa Azam unasaidia kuondoa adha ya usafiri inayokuwepo eneo hilo mara kwa mara.
Hujaelewa nini? Amesema kuwa kuna hujuma ya kufifisha vivuko vya umma na kuachia Azam achume kilaini. Hili jambo linaweza kuwa na ukweli ndani yake kwani hii serikali ya sasa kila mtu anashindana kupiga deal.
 
Back
Top Bottom