Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
We hao smart wapo nchi nzima ya wapi? Mi huku niliko kilosa cjawai ona network yao.
Hawa halotel pia japo wamepita huku nadhan huku hakujawashwa, niki search operators manually waliopo huku, naishia kuona voda, tigo na airtel tu
hawatumii band 2100 kama mitandao mengine ya kwetu tafuta simu yenye band nyingi kama s3, s4, s5, s6, iphone zote nk tumia kusearch ili uhakikishe kama upo.