WayOut
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 752
- 173
Tarajieni Voda na tigo kushusha bei vibaya sana na kutoa mabando makubwa makubwa ya data
Furaha kwetu walaji
ndio habari ya mjini
Tarajieni Voda na tigo kushusha bei vibaya sana na kutoa mabando makubwa makubwa ya data
Furaha kwetu walaji
Kama alivyokuwa Lowassa Mlutheri!
Tangu jana natumia mtandao wa viettel kiukweli upo fasta Sana na 3g Yao. Wanafanya majaribio tu lakini nimewakubali,ngoja tusubiri uzinduzi rasmi wiki ijayo
Hii laini nimeichukia jana ila kwenye simu yangu galaxy s3 data hazisomi ....msaada tafadhali .....nimefanya setting yote lakini tatizo liko pale pale ila yenyewe inasoma vizuri upande wa mawasiliano.
Nashindwa elewa kwanini TTCL imekufa na hata kusimama haisimami...
Inakuwaje nchi tunaikaribisha kampuni ya Kijeshi ya nchi nyingine kuja kuwekeza kwenye mawasiliano nchini kwetu?
Hii nchi akili hatuna... na bado kuna wengine wataichagua CCM...
TTCL yafaa
Hao Halotel wajiandae kisaikolojia maana upinzani wa Tigo, Voda, Airtel ni noma sana
wamekufa vipi? juzi tu nao wamezindua 4g yao.
jamaa hawana wafanyakazi kabisa na minara nafkiri ni ya ttcl sitashangaa siku nikiona financial result zao wakiwa wanapiga profit kubwa kushinda wakongwe.
Kama ndo hayo mbona maisha ya laini yangu ya tigo yako mashakani
Kaka sijakupata vizuri kwenye red hapo. Naomba ufafanuzi.
hawa smart wanapatikana nchi nzima lakini hawana ofisi kabisa huko mikoani, na kama hawana ofisi ina maana hawana wafanyakazi mikoani. pia minara wanayoitumia si yao, mmiliki simjui ila nahisi itakuwa ni ya ttcl/serikali minara hii pia ilikuwa inatumiwa na voda kama roaming, ina coverage kubwa sana hadi vijijini ambapo 3g haijafika hii minara imefika.
kama huna ofisi na wafanyakazi inamaana gharama za uendeshaji zinakuwa ndogo sana, inawezekana wakawa wanapata faida kubwa tu. ila ni theory yangu tu wanaweza pia kuwa wanakula hasara
pengine haitengenezi setting za internet automatic utahitajika kutengeneza mwenyewe manual.
nenda setting then more network then mobille network then acess point name,
unachokiona hapo ndio setting zako za internet kama hakuna kitu inabidi utengneze, bonyeza menu button (kushoto chini) chagua new apn halafu connection name andika chochote na apn jaza internet. turn back hakikisha setting zako zipo activated utaona data inafanya kazi
Nimeshafanya hivyo lakini hakuna kitu ziko kimya tu data haipandi.
hawa smart wanapatikana nchi nzima lakini hawana ofisi kabisa huko mikoani, na kama hawana ofisi ina maana hawana wafanyakazi mikoani. pia minara wanayoitumia si yao, mmiliki simjui ila nahisi itakuwa ni ya ttcl/serikali minara hii pia ilikuwa inatumiwa na voda kama roaming, ina coverage kubwa sana hadi vijijini ambapo 3g haijafika hii minara imefika.
kama huna ofisi na wafanyakazi inamaana gharama za uendeshaji zinakuwa ndogo sana, inawezekana wakawa wanapata faida kubwa tu. ila ni theory yangu tu wanaweza pia kuwa wanakula hasara
We hao smart wapo nchi nzima ya wapi? Mi huku niliko kilosa cjawai ona network yao.
Hawa halotel pia japo wamepita huku nadhan huku hakujawashwa, niki search operators manually waliopo huku, naishia kuona voda, tigo na airtel tu
We hao smart wapo nchi nzima ya wapi? Mi huku niliko kilosa cjawai ona network yao.
Hawa halotel pia japo wamepita huku nadhan huku hakujawashwa, niki search operators manually waliopo huku, naishia kuona voda, tigo na airtel tu