BangiNyeusi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 490
- 594
Kuna sie tulikua watoto wa mbwa yani hatujawahi kushiba kudadek ni lazima upige paper 2
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka kwasauti kubwa apa ghettoNakumbuka tulikuwa tunasoma na Mmasai mmoja hivi shule ya sekondari moringe, alikuwa anajifanya mbabe, tukaenda Monduli Mjini tukanunua kufuli aina ya solex moja matata, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua kufuli na kulibana kwenye sikio lake, asubuhi bweni zima tukawa wa kwanza kutoka na kumwacha mshikaji akiwa peke yake bwenini, tumekaa kidogo tukaona vumbi tu nje jamaa anakuja mbio huku shingo imekaa upande kwa uzito wa kufuli, kila mmoja akaanza kutafuta upenyo wake maana tukajua damu itamwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai, basi akashinda na kufuli siku nzima maana hakuna aliyethubutu kusema nani ana funguo wa wa lile kufuli, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua funguo akampenyezea kwenye blanketi lake, kufika asubuhi hamadi anakuta funguo, lakini aliyeuweka hakumjua hadi tunamaliza maana angemjua damu ingemwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Nakumbuka tulikuwa tunasoma na Mmasai mmoja hivi shule ya sekondari moringe, alikuwa anajifanya mbabe, tukaenda Monduli Mjini tukanunua kufuli aina ya solex moja matata, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua kufuli na kulibana kwenye sikio lake, asubuhi bweni zima tukawa wa kwanza kutoka na kumwacha mshikaji akiwa peke yake bwenini, tumekaa kidogo tukaona vumbi tu nje jamaa anakuja mbio huku shingo imekaa upande kwa uzito wa kufuli, kila mmoja akaanza kutafuta upenyo wake maana tukajua damu itamwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai, basi akashinda na kufuli siku nzima maana hakuna aliyethubutu kusema nani ana funguo wa wa lile kufuli, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua funguo akampenyezea kwenye blanketi lake, kufika asubuhi hamadi anakuta funguo, lakini aliyeuweka hakumjua hadi tunamaliza maana angemjua damu ingemwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai,
UmetishaKujitumia barua mwenyewe na kisha kwenda kuifungua na kuisoma mbele ya wenzako yenye maelezo demu wa loleza amekupenda sana.IYUNGA TECH,PCM
Mama yangu weh!Kupiga punyeto bafuniii baada ya demu kukuandikia barua ,,,,,,,, aseeeeee sitoweza sahahauuuu
Kuna watoto wa enzi hizo nilionana nao ambao kwa sasa wako kwenye Baraza la Mawaziri! Kweli nimezeeka...sisi tuliosoma Boarding za miaka ya warrant za Govt ndio tulifaidi
mnakutana na watoto wa Tabora girls, Jangwani, Weruweru, Korogwe nk
na mawasiliano ni barua unachora na moyo uliochomwa na mkuki.
Wengine wa umbwe walipata vilema vya maisha kaka bifu la hatari sanaHaha yule mjinga alipigika sana siku ile aisee....kipigo cha mbwa mwizi...
Mi nauhakika kama yule mjinga angepona kipigo kile siku ile hakika asingekufa bali angeishi milele!
Alikuwa kaka yakoVita yetu(lyamungo) na Umbwe.. yani kila nikikumbuka huwa inanitesa sana moyoni.. rest in peace brothers..
Kuna jamaa alikuwa anaitwa radislaux alikuwa mbabe sana alikuja kufatwa na polisi wa boma alifungwa pingu na kusepa nae alikuwa na wenzie kazaa dah hatri sana kwenda kombo kula mbege ndizi na mataka taka mengineLyamungo high school ...kuna canal moja imepita apo school ni mwendo wa kubatizanaa tuu. Form one na five walikua wanaamshwa SAA 9 usikuu wanaogeshwa kwenye ioo canal...
Hapana hapo walikuwa mafia kibaoDuh hadi form 5,hao walikuwa mafala
Teheteheeee....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]endelea mkuu