Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

Poleni sanaa dooh, mie nlikuaga zangu day both o level na high level, alaf shule za serikali za maana tu... nakula vizuri home na nna tia sanaa watoto wa watu mitaani... kumbe nyie mlikua mnaangaika na maisha kiasi iki? Daaah.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Iwalanje high school-mbeya, wadau tuliita iwalaxy college.
Sitasahau maisha ya pale.
 
kupiga simu chooni, kuvuta mjani, kugonja walimu wa kikeni waliokuwa wakija field, kuuza biskuti, kuvunja makontena ya vilaza, watu tulikuwa na funguo zaid ya 500 hizi ni za kupampu makufuli, wakati tuko shule, tunamiliki shamba bondeni, la nyanya na miwa, kupiga walimu wanoko mida ya prep, kutoroka usiku tunaenda mlima zinaa, kulala ktk mabweni ya wasichana na wasichana kujichanganya ktk mabweni ya masela, kuingia class na vi bom, kupiga simu chooni, disko vumbi, kuwekeana mafta ya taa ktk chakula, kuchambia godoro, kulamba sahani baada ya kula, kupiga passpot size, njuka mnyonge alibanduliwa au kunyonya rungu, kufunga mawe ktk mataulo kisha taa inazimwa dakika tano, muda wa kufunzana adabu, hii kila siku saa tano usiku, kupakana losheni, au kuvunjiwa yai ukilala kisha wanasingiziwa vibwengo, kuuza magodoro ya walioingia darasani wiki dume, godoro linabadilishwa na sahani ya wali maharage, mchaka mchaka saa kumi za usiku kisha mnafuata maji ya kuoga chini ya mlima..na mwisho tukachoma shule moto kisa hawakutupikia wali wiki mbili mfululizo....nilikuwa waziri wa chakula, kampani yangu walijaziwa kuliko maadui zetu, sisi chakula tulikuwa tukiweka katika ndoo ya lita 20 watu watano, tulikuwa wanafunzi 1200 lakini nyama inapikwa kilo kumi na tano tuu, hapo waziri wa msosi nachoma kilo moja na ikiiva najaza kisado, wengine wanakunywa supu...tulibadilishana wali kwa penzi....pamoja na yoote, darasani tulikuwa vizuri....mvua ikinyesha woote tulitoka nje uchi tukioga...kutokana na utukutu niliokuwa nao, pesa ya matumizi nilipewa buku na panadol tu, lakini nikirudi rikizo nilikuwa na zaidi ya laki tatu...
We jamaa Kiboko
 
Iringa nakumbuka mwanafunzi mwenzetu aliletewa wali samaki na wazazi wake walikuja kumtembelea bana, mie sikuwa najua hili wala lile, niko nazungukia zangu mabweni mara paap kitu wali samaki kimetengwa pembeni ya kitanda, sasa anawakaribisha wenzie "njooni mle basi" nikaona madogo wanaremba, mie nikasogea nikakaa [emoji3] njooni tule, wao wanaangaliana tu. Basi mie nikaupiga msosi wote na samaki dadeki.. Haikupita dk 10 mwenye wali wali wake asinipandishie mashetani [emoji3][emoji3] ati sijui kiti kinadai ubwabwa wake, we nilitoka nduki za hatari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Boarding wengine ndo tulijifunza kunyonga kuku za walimu, unamsakizia kuku kuingia chooni, akishaingia tu mnamalizana huko huko unatoka ushanyonga unaenda kupika porini huko.
 
Uji wa muda wa breakfast " Sifongo " yaani bila kitafunio , kupiga walimu flash ( kuwamwagia maji machafu wanafunzi na walimu wanoko ) , week 3 bila kuoga , foleni isiyoisha siku za Wali au nyama , kugomea zamu za usafi , kubishana na skauti mwisho wake ilikuwa corporal punishment , kupiga walimu Wanoko muda wa prepo, kugoma kunyoa ndevu / mzuzu, kurudia chakula ,vyoo na mabafu machafu , kukesha kuangalia movies siku za weekend,migomo , misuli chamber dah ! Tosamaganga ilikuwa noma sana
 
Kufuta stamp kwa sponji iliyolowanishwa kwenye maji yenye sabuni.Ule mchanganyiko wa vitunguu,dagaa na mafuta uliokaangwa na pilipili umenikumbusha mbali,prepo mwisho saa nne usiku,ila nakumbuka wakati wa national exams tulikuwa tunakesha kwenye store moja,Maisha ya boarding kwa kweli ila ilikuwa hapana aisee.Sitaki wanangu wayaishi.Ninatamani siku moja nikatembelee na wanangu shule nilizosoma na niwaonyeshe shamba,viwanja vyenye nyasi tulivyofeka.Maana wao shuleni kwao hizo kazi zinafanywa na wafanyakazi.
Stamp hata mimi nilifuta sana. Kama shule niliyosoma tatizo kubwa lilikuwa kwenye mlo! Tulikuwa tunaambiwa fungu letu halijaletwa toka Serikalini kwahiyo hatuna haki kula fungu la wengine! Mlo ndo kila kitu.
 
Umenikumbusha maisha ya kazi na sala kusoma usiku wa manane Ubundi kuoga hadi siku ya wali tulikuwa tukienda girls school full kuji pimp
 
kipindi nasoma Tanga pale muheza kuna jamaa alikua na kawaida ya kubakisha maharage yake ili akitoka prepo aje kula na alikua mnoko balaa wenzie wakimuomba tule wote anawakatalia....
sasa bana siku iyo kuna dogo mmoja aliamua kumfanyizia na ili aweze kutoa aibu ya alichotaka kufanya akaenda kula sana ganja ili apate choo kama mwenyewe alivyosema na kweli alifanikiwa kupata choo sie tupo prepo yeye kaenda bwenini kachukua ile sahani ya dogo yenye maharage akaitia chini ya uvungu wa matako yake akaachia kinyesi cha maana tu.....
kurudi prepo wote tupo bwenini dogo kapanga vitu vyake fresh katulia anavuta sahani yake kula maharage lahaula lakwata anakutana na mzigo wa mavi........itaendelea mechoka kuandika
ze-dudu.
Kwa hiyo Avatar lazima uchoke[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kibaha Sec, kila form four au form six anataka kuwa T.O.
kila form two anataka kuwa top. Wenye muda form three na five,.....
Vurugu sio nyiingi,form one life lilikuwa tamu na una adapt kujua kusoma tuu.
...........................................................................
 
Uji wa muda wa breakfast " Sifongo " yaani bila kitafunio , kupiga walimu flash ( kuwamwagia maji machafu wanafunzi na walimu wanoko ) , week 3 bila kuoga , foleni isiyoisha siku za Wali au nyama , kugomea zamu za usafi , kubishana na skauti mwisho wake ilikuwa corporal punishment , kupiga walimu Wanoko muda wa prepo, kugoma kunyoa ndevu / mzuzu, kurudia chakula ,vyoo na mabafu machafu , kukesha kuangalia movies siku za weekend,migomo , misuli chamber dah ! Tosamaganga ilikuwa noma sana
Uji bila kitafunio, tuliita kupiga mluzi, hii ilitokea sana sana tulipokaribia kufunga shule, hapo mtu umebakiza nauli tuu, Wee acha tu
 
Poleni sanaa dooh, mie nlikuaga zangu day both o level na high level, alaf shule za serikali za maana tu... nakula vizuri home na nna tia sanaa watoto wa watu mitaani... kumbe nyie mlikua mnaangaika na maisha kiasi iki? Daaah.
Umekosa mengi mkuu
 
Kilosa sec school,asikwambie mtu alipigwa Mwalimu Mkuu mpaka wakamnyea live! Tulipigwa sitasahau hao askari mpaka leo sina undugu na askari yeyote!
 
Enzi hizo kantalamba secondary uboyzin huko, siku moja tumechoka kukaa shule hao tukatoka nanyege zetu tukaenda sehemu moja ilikua maarufu sana inaitwa chanji , basi tukaenda kuangalia muv za x, wakati tupo mle ndani walikuwepo na malaya flani kama wa3 hv, basi mshkaji wetu mmoja kamchomoa malaya mmoja ili akampige vitu, ile wameenda tu chemba jamaa kaanza romance kula mate, sasa kumbe yule malaya alikua kanywa kimpumu bwana wakati jamaa ananyonya mate yule demu kaanza kumtapikia mdomon jamaa matapish yananuka kimpumu tu, ile m nmetoka kuelekea kwenye ile chocho ili nkalige nyeto afu nrudi mumalizia mkanda ndo nkakuta jamaa kaloa matapish mdomoni huku anamdunda yule demu.
 
Nakumbuka tulikuwa tunasoma na Mmasai mmoja hivi shule ya sekondari moringe, alikuwa anajifanya mbabe, tukaenda Monduli Mjini tukanunua kufuli aina ya solex moja matata, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua kufuli na kulibana kwenye sikio lake, asubuhi bweni zima tukawa wa kwanza kutoka na kumwacha mshikaji akiwa peke yake bwenini, tumekaa kidogo tukaona vumbi tu nje jamaa anakuja mbio huku shingo imekaa upande kwa uzito wa kufuli, kila mmoja akaanza kutafuta upenyo wake maana tukajua damu itamwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai, basi akashinda na kufuli siku nzima maana hakuna aliyethubutu kusema nani ana funguo wa wa lile kufuli, ile tumepiga mbonji mwenzetu mmoja akachukua funguo akampenyezea kwenye blanketi lake, kufika asubuhi hamadi anakuta funguo, lakini aliyeuweka hakumjua hadi tunamaliza maana angemjua damu ingemwagika kwa hasira alizokuwa nazo yule Mmasai,
 
Back
Top Bottom