Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

kupiga simu chooni, kuvuta mjani, kugonja walimu wa kikeni waliokuwa wakija field, kuuza biskuti, kuvunja makontena ya vilaza, watu tulikuwa na funguo zaid ya 500 hizi ni za kupampu makufuli, wakati tuko shule, tunamiliki shamba bondeni, la nyanya na miwa, kupiga walimu wanoko mida ya prep, kutoroka usiku tunaenda mlima zinaa, kulala ktk mabweni ya wasichana na wasichana kujichanganya ktk mabweni ya masela, kuingia class na vi bom, kupiga simu chooni, disko vumbi, kuwekeana mafta ya taa ktk chakula, kuchambia godoro, kulamba sahani baada ya kula, kupiga passpot size, njuka mnyonge alibanduliwa au kunyonya rungu, kufunga mawe ktk mataulo kisha taa inazimwa dakika tano, muda wa kufunzana adabu, hii kila siku saa tano usiku, kupakana losheni, au kuvunjiwa yai ukilala kisha wanasingiziwa vibwengo, kuuza magodoro ya walioingia darasani wiki dume, godoro linabadilishwa na sahani ya wali maharage, mchaka mchaka saa kumi za usiku kisha mnafuata maji ya kuoga chini ya mlima..na mwisho tukachoma shule moto kisa hawakutupikia wali wiki mbili mfululizo
Mweeee
 
Nilisahau Shamba dress. Jamani ila kwa kweli tulisoma boarding za Kayumba we are strong than ever. Shida ya maji sasa acha kabisa. O level nilisoma Rugambwa girls yaani kule maji tulikuwa tunafuata kwenye kijito fulani hivi kina mawe makubwa kabisa. Halafu sasa kule vyoo vilikuwa vinaziba, kuzibua sasa. Imagine mavi yanajaa hadi yanatokezea kwenye pavements. O My God sitaki kukumbuka.Ila namkumbuka sana mpishi Kaka hansi na Samaki wa mama nelly, jongwe, blue band. Vyoo vya Ihungo vilikuwa vichafu balaa.
 
sisi tuliosoma Boarding za miaka ya warrant za Govt ndio tulifaidi
mnakutana na watoto wa Tabora girls, Jangwani, Weruweru, Korogwe nk
na mawasiliano ni barua unachora na moyo uliochomwa na mkuki.
[emoji3][emoji3][emoji3] Mtata kweli
 
kipindi nasoma Tanga pale muheza kuna jamaa alikua na kawaida ya kubakisha maharage yake ili akitoka prepo aje kula na alikua mnoko balaa wenzie wakimuomba tule wote anawakatalia....
sasa bana siku iyo kuna dogo mmoja aliamua kumfanyizia na ili aweze kutoa aibu ya alichotaka kufanya akaenda kula sana ganja ili apate choo kama mwenyewe alivyosema na kweli alifanikiwa kupata choo sie tupo prepo yeye kaenda bwenini kachukua ile sahani ya dogo yenye maharage akaitia chini ya uvungu wa matako yake akaachia kinyesi cha maana tu.....
kurudi prepo wote tupo bwenini dogo kapanga vitu vyake fresh katulia anavuta sahani yake kula maharage lahaula lakwata anakutana na mzigo wa mavi........itaendelea mechoka kuandika

Nasubiri part two
 
Nilisahau Shamba dress.Jamani ila kwa kweli tulisoma boarding za Kayumba we are strong than ever.Shida ya maji sasa acha kabisa.O level nilisoma Rugambwa girls yaani kule maji tulikuwa tunafuata kwenye kijito flani hivi kina mawe makubwa kabisa.Halafu sasa kule vyoo vilikuwa vinaziba,kuzibua sasa.Imagine mavi yanajaa hadi yanatokezea kwenye pavements.O My God sitaki kukumbuka.Ila namkumbuka sana mpishi Kaka hansi na Samaki wa mama nelly,jongwe,blue band.Vyoo vya Ihungo vilikuwa vichafu balaa.
What an experience. Halafu hutaki wanao wasome huko!!
 
Boarding school(boys) ya advance ndio imenifundisha puny....E t 0...
Kuna kipindi tulikuwa tunaweka mashindano kabisa ya kurusha sperm kwa umbali mrefu mshindi anapata hela ya maandazi ili asipulize(asinywe uji mkavu) dah yale maisha ya kijinga sana sasa sijui kwann tulikuwa tunafanya vile
 
Maisha yana mengi way back 97 nipo njuka nimetoka mmnazmoja s/m na usela wangu mpaka boarding barid kali ajabu bado nipo kwenye balehe wakubwa wanaomba sukar wakaange tupige chai rangi kwa kuwa nilikuwa na uncle yupo six a kaniambia toa Fresh chai imeiva mgao nimepta lahaula ghafla nikashtukia ngumi tatu za kichwaa kutoka kwa mbabe chai kuchukua kipondo nimepigwa kweli baada ya hapo ndio mwisho wa maisha ya boarding kwan niliokata tofali 1/2 mwaba nikampasulia kichwani jamaa network inakatka baada ya hapo nilikuwa suspended nikahamishiwa kwa mzee kipingu makongo
 
Boarding hatari Sana nilivofika advance sijawah miliki sahani wala matumizi Kama vle mafuta, sabuni, dawa ya mswaki, kiwi, sijawahi fua nguo za shule hiyo ni kazi ya form one
 
Back
Top Bottom