Asali mbichi hii
Namsubiri siku mbili mbele atakuja na uzi wa bodaboda kuongeza nauli..😂😂😂Kuna mwamba alileta uzi humu yan alfajiri alikua hospital akimuangalia mke wake akaja na uzi malalamiko humu kwamba madokta wazembe....
Saa 5 asubuh wakati anatoka hospital akaleta nyuzi ya kukamatwa na polisi...
Saa 9 mchana eti yupo entebbe anaenda tijuana-mexico kuangalia kombe la dunia....
Namsubiri siku mbili mbele atakuja na uzi wa bodaboda kuongeza nauli..
Haha! Hiyo wine nimeinywa sana lakini kaka mbona white wine unakunywa yamoto unamatatizo gani..??
Sio kweli kuna Platoon hazijawasha Data.No vayolensi today😂
Nimefika ankal 😹Ankal lamo yuko wapi mjukuu😂